Kagemro
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 1,433
- 633
Nafikiri, siyo siasa wala maisha...bali ni utamaduni uliojengeka vichwani mwa watanzania wengi.
Akili finyu za kudadavua mambo, ukosefu Wa elimu ya nadharia, maudhui na machimbuko ya wengi yanaathiri nchi , wakazi na maendeleo.
Watanzania msipo badili maisha na kila mtu kujifunza kupambana na mazingira yanayomzunguka basi maendeleo mtayasikia kwa majirani zenu.
Hii tabia ya ujuaji, umbea, uwongo, uzadiki na uchawi unarudisha nyuma maendeleo.
Tujifunze kuchunguza maneno, na zaidi kujali yanayokuhusu moja kwa moja otherwise let it go.
Guys dunia inakimbia mbona ninyi mnatembea?
Haiti mgeweza kuwa watu Wa kujituma na kuaminika basi, mngekuwa mbali.
Akili finyu za kudadavua mambo, ukosefu Wa elimu ya nadharia, maudhui na machimbuko ya wengi yanaathiri nchi , wakazi na maendeleo.
Watanzania msipo badili maisha na kila mtu kujifunza kupambana na mazingira yanayomzunguka basi maendeleo mtayasikia kwa majirani zenu.
Hii tabia ya ujuaji, umbea, uwongo, uzadiki na uchawi unarudisha nyuma maendeleo.
Tujifunze kuchunguza maneno, na zaidi kujali yanayokuhusu moja kwa moja otherwise let it go.
Guys dunia inakimbia mbona ninyi mnatembea?
Haiti mgeweza kuwa watu Wa kujituma na kuaminika basi, mngekuwa mbali.