Kwa mliosoma Machiavellianism: Mbinu mojawapo ya kutawala kirahisi kabisa ni kuwasahaulisha wanachi mambo ya msingi ama "kuwalewesha" na kuhakikisha unahamisha fikra zao kutoka katika mambo ya msingi kwenda katika mambo yasiyo na maana na yasiyo na athari kwa watawala.
Bila kusema mengi, nasikitika kubaini kuwa serikali imeweza kutumia mbinu hii kuwasahaulisha wabunge na wananchi kwa ujumla ubadhirifu mkubwa katika wizara ya mali asili na utalii hususan swala la "kutoroshwa" kwa wanyama zaidi ya mia moja kwenda ngambo. Sote tumelewa pombe aina ya "Jairo" tuliyonyweshwa na Luhanjo na Kikwete. At the end of it all tutakuwa tumejifunga magoli mawili sisi wenyewe.
Je ni lini katika historia ya nchi yetu wizara nyeti kama utalii na maliasili imeongozwa na waziri bila naibu? What is the justification?
Bila kusema mengi, nasikitika kubaini kuwa serikali imeweza kutumia mbinu hii kuwasahaulisha wabunge na wananchi kwa ujumla ubadhirifu mkubwa katika wizara ya mali asili na utalii hususan swala la "kutoroshwa" kwa wanyama zaidi ya mia moja kwenda ngambo. Sote tumelewa pombe aina ya "Jairo" tuliyonyweshwa na Luhanjo na Kikwete. At the end of it all tutakuwa tumejifunga magoli mawili sisi wenyewe.
Je ni lini katika historia ya nchi yetu wizara nyeti kama utalii na maliasili imeongozwa na waziri bila naibu? What is the justification?