Watanzania wote wanyeshwa pombe, walewa bila kujijua

matejoo

Member
Apr 19, 2008
68
4
Kwa mliosoma Machiavellianism: Mbinu mojawapo ya kutawala kirahisi kabisa ni kuwasahaulisha wanachi mambo ya msingi ama "kuwalewesha" na kuhakikisha unahamisha fikra zao kutoka katika mambo ya msingi kwenda katika mambo yasiyo na maana na yasiyo na athari kwa watawala.

Bila kusema mengi, nasikitika kubaini kuwa serikali imeweza kutumia mbinu hii kuwasahaulisha wabunge na wananchi kwa ujumla ubadhirifu mkubwa katika wizara ya mali asili na utalii hususan swala la "kutoroshwa" kwa wanyama zaidi ya mia moja kwenda ngambo. Sote tumelewa pombe aina ya "Jairo" tuliyonyweshwa na Luhanjo na Kikwete. At the end of it all tutakuwa tumejifunga magoli mawili sisi wenyewe.

Je ni lini katika historia ya nchi yetu wizara nyeti kama utalii na maliasili imeongozwa na waziri bila naibu? What is the justification?
 
Ngoja kwanza daku?????
Hizi siasa za bongo...................................
Karibuni tule daku
 
Kwa mliosoma Machiavellianism: Mbinu mojawapo ya kutawala kirahisi kabisa ni kuwasahaulisha wanachi mambo ya msingi ama "kuwalewesha" na kuhakikisha unahamisha fikra zao kutoka katika mambo ya msingi kwenda katika mambo yasiyo na maana na yasiyo na athari kwa watawala.

Bila kusema mengi, nasikitika kubaini kuwa serikali imeweza kutumia mbinu hii kuwasahaulisha wabunge na wananchi kwa ujumla ubadhirifu mkubwa katika wizara ya mali asili na utalii hususan swala la "kutoroshwa" kwa wanyama zaidi ya mia moja kwenda ngambo. Sote tumelewa pombe aina ya "Jairo" tuliyonyweshwa na Luhanjo na Kikwete. At the end of it all tutakuwa tumejifunga magoli mawili sisi wenyewe.

Je ni lini katika historia ya nchi yetu wizara nyeti kama utalii na maliasili imeongozwa na waziri bila naibu? What is the justification?
Ndio maaana babu wa Loliondo alipata chat sana miezi michache iliopita na watu wakasahau important issues. Babu was news and was everywhere. Babu wa Loliondo alitumika kama kisahaulisho na alipata sana attention wakati watu wakisahau yanayoendelea ktk serikali legelege ya JK
 
Hii ndio TZ bwana. Bongo lala, tutakapozindukana itakuwa kiama kimewasili. Usiku mwema.
 
Back
Top Bottom