Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Kwa yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika natamani VOLCANO IENDELEE KUTOKEA WAKOSE SAFARI ZA NDEGE WAENDELEE NA MIKUTANO YAO...
Watanzania wote mnaombwa hizi siku 4 ni za kumuomba MUNGU aendelee kuwapa moyo wageni
wetu pale mliman city waendelee kubaki na kila wanachopanga kumaliza kwa siku wasifanikiwe
waweze kuongeza siku hapa nchini kwetu..kwa hotuba ya JK wanajitegemea kila kitu naamini...
hakuna hasara tunayopata kwa jamaa zetu hawa.....,kwa niaaba ya watanzania wenye mapenzi mema kwa nchi yao ewe mtanzania ukiwa nje ya nchi ndan ya Tanzania leo usiku kesho keshokutwa
siku maalumu kuwaombe watu hawa waendelee kula raha na huku na sisi tunakula raha kwa mambo mengi tu tunayotendewa na serikali kwa ujio huu
1),MASHIMO KUFUKIWA YALIOKAA MIEZI ZAIDI YA SITA
2)WATU KUONGEZEKA KUMUABUDU MUNGU IBADA ZA ASBH KWA KUWAHI MAPEMA NA KUSHINDWA KUINGIA KAZINI NA HIVYO KUMKUMBUKA MWENYEZI MUNGU
3)MUNGU AMEWAONYESHA SERIKALI KILIO CHA WATANZANIA CHA MUDA MREFU AMBACHO RAIS KIKWETE AJAWAHI KUKUTANA NACHO CHA FOLEN BARABARAN KWA KUONGOZWA NA KINGORA..HUKU WALIOWAH BARABARAN WAKIKAA PEMBENI....HAKUNA SIKU NILIOFURAH KAMA LEO HII NA SIKU 4 ZIJAZO..JAMANI BARABARA KILA UKIPITA ASKARI WANA JEZI MPYA SIJUI TRAFFIC WAMEPEWA JEZI MPYA AMA WAMEAMUA KUFUA NA BLICHI JAMANI..KILA UKIKARIBIA TRAFFICLIGHT NI UNAITWA NA TRAFFIC NA NIKWAMBIE YAANI KILA JUNCTION N WAWILIWAWILI TU WALA SI WENGI....AMANI MPAKA NYUMBAN KUMRADHI SIJUI UKIWA UNAINGIA KWAKO KAMA YALE MASHIMO YA MVUA YAMEFUKIWA KAMA BADO OMBA MUNGU AWAPITISHE WAGENI HUKO MTAKUMBUKWA KUFUKIWA MASHIMO..KAMA YA BP,LUGALO...KWELI SHETAN HANA ADABU MIEZI ZAIDI YA SITA LEO TUNAFUKIWA MASHIMO ...LOH..KAMA NI PEPO LILIWABANA KUANZIA RAIS MPAKA WAZIRI WA MIUNDOMBINU KWA WADADISI WA MAPEPO SIJUI HILI LINAITWAJE....LABDA TULIITE PEWEF
4)JAMANI JIJI LA DAR LIMEKUWA SAFI..YANI SIAMINI WAZIRI MKUU AMEAMUA KUKAGUA JIJI LA DAR TANGU ACHAGULIWE KISA WEF..JAMA WEF WEWE ULIKUWA WAPI..MBONA TUNAKUTAMANI HIVI
EEE MOLA WAONGEEZEE SIKU WASHINDWE KUMALIZA MIKUTANO YAO WALIVYOPANGA
Watanzania wote mnaombwa hizi siku 4 ni za kumuomba MUNGU aendelee kuwapa moyo wageni
wetu pale mliman city waendelee kubaki na kila wanachopanga kumaliza kwa siku wasifanikiwe
waweze kuongeza siku hapa nchini kwetu..kwa hotuba ya JK wanajitegemea kila kitu naamini...
hakuna hasara tunayopata kwa jamaa zetu hawa.....,kwa niaaba ya watanzania wenye mapenzi mema kwa nchi yao ewe mtanzania ukiwa nje ya nchi ndan ya Tanzania leo usiku kesho keshokutwa
siku maalumu kuwaombe watu hawa waendelee kula raha na huku na sisi tunakula raha kwa mambo mengi tu tunayotendewa na serikali kwa ujio huu
1),MASHIMO KUFUKIWA YALIOKAA MIEZI ZAIDI YA SITA
2)WATU KUONGEZEKA KUMUABUDU MUNGU IBADA ZA ASBH KWA KUWAHI MAPEMA NA KUSHINDWA KUINGIA KAZINI NA HIVYO KUMKUMBUKA MWENYEZI MUNGU
3)MUNGU AMEWAONYESHA SERIKALI KILIO CHA WATANZANIA CHA MUDA MREFU AMBACHO RAIS KIKWETE AJAWAHI KUKUTANA NACHO CHA FOLEN BARABARAN KWA KUONGOZWA NA KINGORA..HUKU WALIOWAH BARABARAN WAKIKAA PEMBENI....HAKUNA SIKU NILIOFURAH KAMA LEO HII NA SIKU 4 ZIJAZO..JAMANI BARABARA KILA UKIPITA ASKARI WANA JEZI MPYA SIJUI TRAFFIC WAMEPEWA JEZI MPYA AMA WAMEAMUA KUFUA NA BLICHI JAMANI..KILA UKIKARIBIA TRAFFICLIGHT NI UNAITWA NA TRAFFIC NA NIKWAMBIE YAANI KILA JUNCTION N WAWILIWAWILI TU WALA SI WENGI....AMANI MPAKA NYUMBAN KUMRADHI SIJUI UKIWA UNAINGIA KWAKO KAMA YALE MASHIMO YA MVUA YAMEFUKIWA KAMA BADO OMBA MUNGU AWAPITISHE WAGENI HUKO MTAKUMBUKWA KUFUKIWA MASHIMO..KAMA YA BP,LUGALO...KWELI SHETAN HANA ADABU MIEZI ZAIDI YA SITA LEO TUNAFUKIWA MASHIMO ...LOH..KAMA NI PEPO LILIWABANA KUANZIA RAIS MPAKA WAZIRI WA MIUNDOMBINU KWA WADADISI WA MAPEPO SIJUI HILI LINAITWAJE....LABDA TULIITE PEWEF
4)JAMANI JIJI LA DAR LIMEKUWA SAFI..YANI SIAMINI WAZIRI MKUU AMEAMUA KUKAGUA JIJI LA DAR TANGU ACHAGULIWE KISA WEF..JAMA WEF WEWE ULIKUWA WAPI..MBONA TUNAKUTAMANI HIVI
EEE MOLA WAONGEEZEE SIKU WASHINDWE KUMALIZA MIKUTANO YAO WALIVYOPANGA