RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Hili si la kusubili updates swala hapa majimbo yote kesho wanaharakati wakaombe kibali cha maandamano kuwashinikiza wabunge wetu, jpili tulianzishe wote Tanzania nzima barabarani.
Mbunge wangu ni lusinde sijui nifanyeje? Kudadadeki
Hizi porojo peleka kwenye vijiwe vya kahawa kule kariakooChadema mnataka kuleta vita,nyie watu inabidi mdhibitiwe mapema kabla amjavunja amani yetu na magwanda yenu ya uasi.
Mustache wake utafikiri mdogo wake Hitler hahahahaMie wangu hata sina wasiwasi. HATAJIANDIKISHA KUMUONDOA PINDA.
Jamaa ana GAMBA gumu sana hadi KOBE wanamuonea wivu. Sijui yeye na Kapuya, nani ni zaidi.
Anaitwa Said Juma Nkumba, mbunge wangu wa SIKONGE. Simu ya Ofisini ni : +255 787 770707
Mustache wake unakukumbusha nani?
Mpigie tu inawezekana na yeye amechoka alikuwa anasubiri chance kama hii.mbunge wangu mizengo pinda, sijui nifanyeje
Mustache wake utafikiri mdogo wake Hitler hahahaha
Nina imani kubwa signature 70 zitapatikana, kuna 48 za CDM kuna 4 za NCCR kuna 6 za kufikia toka CCM za kina Zambi, Fulikunjombe nk. Yaani kabla ya kampeni tayari kuna kura 58. Anazotafuta ni kama kura 12 tu,
atazitoa wapi......
1. Kuna kina Januari, Kigwangallah wanaojipambanua kwa kutumia jukwaa la ujana sidhani kama watamtupa Zitto...tutawaona.
2. KUB na CDM kwa ujumla lazima wataingia mstuni kufanya kampeni la nguvu.
3. Lowassa hatakuwa nyuma kuwaomba rafiki zake wamsaidie ili Pinda awajibishwe kama yeye ili kutoa aibu ya kuwa waziri mkuu peke yake aliyewajibishwa.
4. Kuna makundi ndani ya CCM ambayo yatafaidika kwa namna moja au nyingine iwapo baraza la mawaziri litavunjwa.