Watanzania wepesi kusahau

gimanini

JF-Expert Member
Jun 20, 2015
1,741
1,754
Ni wakati wa uchaguzi,trh 25 oktoba tutawachagua viongozi wapya tangu rais hadi diwani,tumekuwa tukilalamika sana,hivyo ni wakati wa kufanya maamuzi kwa mstakabari wa maendeleo yetu,lazima tuwapime wale wanaotaka tuwachague,kumbuka uchaguzi wetu leo ni hatma yetu kesho.
 
Back
Top Bottom