mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Miaka kadhaa watu walimchukia Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kumsema vibaya kila kona, lakini leo hii yupo Rais Magufuli bado tu watu wanalalamika kila kona.
Sasa sijui aje Rais gani tena au ndiyo unafiki wa Watanzania na kulalamika kila kukicha.
Mimi kama Mtanzania mwenzenu nataka kufahamu ni kipi hasa hitaji lenu nyie watu wa humu mtandaoni mnachokitaka hasa na mwishoe mtaacha kupiga kelele na kuisema vibaya serikali.
Nawasilisha.
Sasa sijui aje Rais gani tena au ndiyo unafiki wa Watanzania na kulalamika kila kukicha.
Mimi kama Mtanzania mwenzenu nataka kufahamu ni kipi hasa hitaji lenu nyie watu wa humu mtandaoni mnachokitaka hasa na mwishoe mtaacha kupiga kelele na kuisema vibaya serikali.
Nawasilisha.