jamani yeye si alisema akishapata mbegu hataki tena anajitegemea au sikuelewa statement yakeSSH amewakumbatia Kigogo na Mange watu ambao walikuwa wanamtukana na kumdhihaki JPM kila kukicha, acha na yeye atukanwe tu.
jamani yeye si alisema akishapata mbegu hataki tena anajitegemea au sikuelewa statement yakeSSH amewakumbatia Kigogo na Mange watu ambao walikuwa wanamtukana na kumdhihaki JPM kila kukicha, acha na yeye atukanwe tu.
Lengo la kuchagua Rais siyo tumpe heshima bali asimamie haki na ajenge nchi yetu na hivyo ndiyo vina sababisha kueshimiwa au kutokueshimiwa kwakeKumstahi na kumpa heshima yake kunahusiana vipi na kueleza tatizo liko wapi? Au unaona ukieleza tatizo pasipo kumkosea heshima hatasikia?
Ulichomalizia ni ukweli unaoumiza, usitutoneshe donda mkuuUmeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.
Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.
Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.
Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
HakikaMatatizo yote ya nchi umsifie kiongozi utakuwa zuzu
︎ Ndiyo hivyo sasa aliwateua 11 na haukumfanya kitu, na hata sasa hauna cha kumfanya, utabaki kulialia tu mitandaoni.
︎ Hela aligawa kwa wananchi bila idhini ya Bunge and yet hauna chochote cha kumfanya, isipokuwa unaendelea kuteseka na chuki inayokutafuna kidogokidogo mpaka utakapokufa.
NB: Mwenzio amekufa akiwa na cheo namba moja kabisa nchini ambacho wewe hata ufanyaje utakaa ukisikie tu. Ni ushauri kwako ujikite kuitafutia familia yako mkate badala ya kuhangaika na marehemu.
Na wale waliokuwa wanamuabudu mungu mtu wajue sasa huyo mungu wao ameshakufa na hawezi kurudi tena na wakitaka kulia waende kaburini kwake.
Leo usiku taifa linahutubiwa na kiongozi mkuu wa nchi.
Maskini Ben alithubutu kumkumbusha akaliwa kichwa hata maiti haikuonekana! Mchakato wa kumshitaki Makonda uanze mara moja>Hahaha, Huyo Magufuli mwenyewe alikuwa na Masters and PhD fake, angeanza kujifukuza mwenyewe ingekuwa poa zaidi
Umemsoma vizuri Sana. Eti wengi! Ametaka kulikuza. Kumbe ni yeyeHuna lolote eti unamtetea wakati we ndo una chuki nae acha unafiki,,eti hata kama wengi hawamkubali!!! Eti hata kama hana uwezo kama viongozi waliopita!! Jipange 2030 si karibu
Wachaga bhanaNa Mbowe ana watoto na família kiujumla inamhitaji yeye sio aonewe kwasababu ya mitazamo tofauti na watawala.
Huyo Samia atakachokipanda ndicho atakachovuna na atakejeliwa bila ya kuangalia sura yake.
Hata hawo unaowataja siwajui kama unadhani kila anaetetea haki unamuona ni mchaga karambe viatu hapo lumumba utaonekana na kupewa uteuzi.Wachaga bhana
Ngoja tufanye reshafle Ili tuondoe wote wanaotukwamisha..
Ukimuona Waziri wa kilimo Mr nonsense kwenye cabinet mnitag
Unataka kumwondoa kwa utaratibu gani? Kumdhoofisha ni kulidhoofishsa taifa na haina maslahi kwa yeyote. Anapopungukiwa, tumpe nguvu ili tusonge mbele. Kosa lake kubwa ni lipi kwa mjibu wa kwako?Kwahiyo kwakua mama yako ni rais bila matayarisho unataka kila mtanzania aende naye? Dege moja litatosha wote mwende?