mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,395
- 3,197
Sasa si uache Ku reply ww kubwa kubwa jinga tuachie watotoWengine hapa tunawaza future wewe unatuletea maswali ya kitoto bwana!!
Sasa si uache Ku reply ww kubwa kubwa jinga tuachie watotoWengine hapa tunawaza future wewe unatuletea maswali ya kitoto bwana!!
Unamfahamu niah ni nani?
Nipe 0713 ujue ni mwanaume au mvulana
Sasa si uache Ku reply ww kubwa kubwa jinga tuachie watoto
Unayajua matusi weweUzuri wa mimi huwa situkani, kukejeli wala kukashifu mtu...napoona mtu amekosea au kuongea vitu bila facts lazima nimrekebishe...siku nyingine jitahidi uje na facts za kueleweka mkuu!
Tugwisanga nkoi...Wagishage kaya!
Unayajua matusi wewe
wewe huku umefuata nini?lzm Ku reply any post jifunze kuwa na hata na kolomeo la vidole gumba hii itakusaidia endapo una kinyongo kwakua wewe ni great thinker nenda huko jukwaani kwa ma GT kama unaona huku ni jokes chembaOna sasa, mwanaume mzima unaongea ujinga tu...kweli mkeo atakuheshimu kama uko hivyo mkuu!! kama huna hoja za msingi ni heri ukae kimya, pia kuna majukwaa mengi tu humu (jokes, mapenzi na mapishi) i think huko panakufaa mkuu.
Braza KYaishe tuendelee na maisha...ila ushauri wangu uufanyie kazi!
Na wewe uache tabia za kina
Braza K
Kwani nimehusisha na ukuu au nimeuliza kama unanifahamu maana unanihusisha na waasia.Ili iweje mshazoea kujipachika ukuu potea huko
Hainisaidii kukufahamuKwani nimehusisha na ukuu au nimeuliza kama unanifahamu maana unanihusisha na waasia.
Babu yangu ni mwarabu kabila la kahlani(anaishi oman now) na bibi ni mwarabu wa zanzibar. walikutania zazibar ,baba yangu ni mwarabu ila mama yangu ni chotara wa kiarabu mimi binafsi ni mtanzania .
Mnataka kupindua nchi?Nikianza na mimi... Nina asili ya Uarabuni ... Babu yangu mzaa Baba katoka Oman akaja Zanzibar then akazaliwa Baba yangu then Mimi... Sina nia mbaya ila tu nataka tujuane... Sorry no picture today!
MogadishuSisi wenye asili ya Somaliland tunakoment wapi?
Baba wa bibi yangu alitoka Ethiopia alislimi akiwa Korogwe na kuoa binti wa kisambaa