Watanzania wenye asili ya bara la Asia tujuane hapa!

Najua wanakupenda kwakua unawapa kisamvu ila taabu na shida zinakukosesha amani kwakua huna mfuniko unaogopa hata kujamba
Wewe utakuwa ni mpishi wa ndani. Sasa unapika chakula kibaya usiambiwe!
 
Wewe utakuwa ni mpishi wa ndani. Sasa unapika chakula kibaya usiambiwe!
Watu huwapendi utakuaje mpishi wao mbona ningewapa sumu ya kuwaua taratibu,au nungechanganya na nyama kipande cha kinyonga waanze kunyonyoka nywele kama Mwakyembe
 
Kwani hapa kwetu wafanyakazi hawateswi? Kama unaishi mkoani nenda dar kajionee mabinti wanavyonyanyaswa na hawa hawa weusi wenzetu na mishahara wanapewa kidogo...labda kama una reason zingine. Ungeniambia wahindi hapo ningekukubalia, wahindi wana roho mbaya sana, kwanza huwezi mkuta mhindi amejichanganya na mtu mweusi,;ni wao kwa wao tu.
Wahindi nao ni hao hao bora hata kama wanapewa mshahara kidogo lkn waarabu wanawapa chakula na mavazi waliyoyachoka wao pia na kazi ngumu
 
Wahindi nao ni hao hao bora hata kama wanapewa mshahara kidogo lkn waarabu wanawapa chakula na mavazi waliyoyachoka wao pia na kazi ngumu


Basi nimegundua wewe una chuki tu, tena bila sababu...lakini usiseme wananyanyasa wakati huo huna ushahidi wowote...alafu hii mitumba tunayoletewa huku inatoka uzunguni na imeshatumika ndio tunaletewa tena kwa PESA, Lakini mbona tunanunua tunavaa! Au tususie kuvaa kwakuwa ni makombo kutoka kwa wazungu!!!

Kabla ya kuwasema waarabu, tujitathmini sisi kwanza kamanda!

niah
 
Basi nimegundua wewe una chuki tu, tena bila sababu...lakini usiseme wananyanyasa wakati huo huna ushahidi wowote...alafu hii mitumba tunayoletewa huku inatoka uzunguni na imeshatumika ndio tunaletewa tena kwa PESA, Lakini mbona tunanunua tunavaa! Au tususie kuvaa kwakuwa ni makombo kutoka kwa wazungu!!!
Kumbe unanunua nilujua unapewa hizo nguo, pia mitumba sio nguo pekee naona bado hujanunua hata ndinga

Kabla ya kuwasema waarabu, tujitathmini sisi kwanza kamanda!

niah
 
Nikianza na mimi... Nina asili ya Uarabuni ... Babu yangu mzaa Baba katoka Oman akaja Zanzibar then akazaliwa Baba yangu then Mimi... Sina nia mbaya ila tu nataka tujuane... Sorry no picture today!
Nimefurahi jana napita posta nawaona watz wenye asili ya asia, wakishuka na watoto wao kwenye VX moja matata. Kizuri kilichonifurahisha, wanabonga kiswahili wao kwa wao. Inaonekana kama wameamua kiswahili ndìo lugha ya nyumbani.
 
Najua wanakupenda kwakua unawapa kisamvu ila taabu na shida zinakukosesha amani kwakua huna mfuniko unaogopa hata kujamba
Acha matusi wewe! Ni kesi ngapi Tanzania zimepata kutokea za Watanzania kuwanyanyasa tena kwa kiwango cha kutisha ma-house girls ambao ni Watanzania wenzao?! Tena hizo ni kesi zinazoripotiwa lakini kuna zingine kadhaa ambazo haziripotiwi!
 
Wabaguzi sana kuliko hata wazungu and other spices, kwakua nipata kuishi nao na kwa matendo walikua na wanayowafanyia wafanyakazi wao wa ndani ni ya kinyama zaidi kuwapa chakula tuu tena sio mile wanachokula wao waarabu.nk
Siwapendi
Sio wote mkuu
 
Duniani hakuna watu siwapendi kama Waarabu na makazi yao,hili nimejitahidi kulizuia ila nimeshindwa maana hii chuki nimezaliwa nayo, narudia tena nyie waarabu siwapendi japo Mimi Nina sali na kumtumikia Mungu lkn hii kama ni dhambi imeshindikana kutubu.
siwapendi waarabu
Mkuu kwa nini huwapendi mabeberu wenye asili ya eshia? Konde boy mchumbiji mie nmechanga na u cr7.
 
mludego, Si bora ya wao wanapewa bure wakati huku tunanunua kwa pesa! Acha chuki za kijinga fanya kazi...mwanaume ni aibu kulialia..mpaka wakina niah wanakucheka bwana, acha hizo mtoto wa kiume!
 
Kuwa mwarabu alafu hamna hata maroli nyumbani ni zaidi ya kujipendekeza. Mm wazazi wangu wote ni waarabu ila mimi si mwarabu ni Mnyalu
 
mludego, Si bora ya wao wanapewa bure wakati huku tunanunua kwa pesa! Acha chuki za kijinga fanya kazi...mwanaume ni aibu kulialia..mpaka wakina niah wanakucheka bwana, acha hizo mtoto wa kiume!
Kwa hiyo waarabu wanawapa mitumba? Nani anaelia hao kina niah na wewe mnatofauti gani?
 
Kwa hiyo waarabu wanawapa mitumba? Nani anaelia hao kina niah na wewe mnatofauti gani?


Nimekuambia hivi! acha kulialia mtoto wa kiume unamwaibisha mwenye jukwaa...au ninyi ndio wale mnaotokea vijijini na vis-creen tochi kuja kutusumbua huku mitaani!!! Maana mkishapaga vihela vya korosho/pamba mnakimbilia techno na kutusumbua wakubwa zenu humu. ebu kuwa mwanaume aliekamilika, acha kulialia mtoto wa kiume!
 
Back
Top Bottom