Watanzania wenye asili ya bara la Asia tujuane hapa!

Duniani hakuna watu siwapendi kama Waarabu na makazi yao,hili nimejitahidi kulizuia ila nimeshindwa maana hii chuki nimezaliwa nayo, narudia tena nyie waarabu siwapendi japo Mimi Nina sali na kumtumikia Mungu lkn hii kama ni dhambi imeshindikana kutubu.
siwapendi waarabu
 
Duniani hakuna watu siwapendi kama Waarabu na makazi yao,hili nimejitahidi kulizuia ila nimeshindwa maana hii chuki nimezaliwa nayo, narudia tena nyie waarabu siwapendi japo Mimi Nina sali na kumtumikia Mungu lkn hii kama ni dhambi imeshindikana kutubu.
siwapendi waarabu

Utamchukiaje mtu without a specific reason! Lazima kutakuwa na sababu..mimi nina marafiki wengi wa kiarabu wako very smart.
 
Hivi Waburushi ni watu wa wapi hasa?

Kama ni Waarabu ni wa wapi hasa?


Al Balushi (Arabic: البلوشي‎; alternatively Baloushi, Balooshi, Bloushi or Blooshi) is a tribal surname common in Arab states of the Persian Gulf, particularly Oman, the United Arab Emirates, Kuwait, Qatar and Bahrain. It is a nisba and is Arabized from the term Balochi,[a] denoting someone who has Baloch ancestry.[1]

People carrying this surname trace their tribal origins to Balochistan, a region located between southwestern Pakistan and southeastern Iran across the Persian Gulf.[1] Their ancestors predominately came from the Makran coast in the 19th century.[1] The Al Balushi speak Arabic, while some also use Balochi or Persian. They are mainly Sunni Muslims.[1] They are a populous tribe in Oman, the UAE and Bahrain.[2]
 
Utamchukiaje mtu without a specific reason! Lazima kutakuwa na sababu..mimi nina marafiki wengi wa kiarabu wako very smart.
Wabaguzi sana kuliko hata wazungu and other spices, kwakua nipata kuishi nao na kwa matendo walikua na wanayowafanyia wafanyakazi wao wa ndani ni ya kinyama zaidi kuwapa chakula tuu tena sio mile wanachokula wao waarabu.nk
Siwapendi
 
"Kila mtu bongo bahati mbaya kama tugepewa fursa ya kuchagua pakuzaliwa sote tungechagua kuzaliwa ulaya" by Ananias Edger global tv
 
Duniani hakuna watu siwapendi kama Waarabu na makazi yao,hili nimejitahidi kulizuia ila nimeshindwa maana hii chuki nimezaliwa nayo, narudia tena nyie waarabu siwapendi japo Mimi Nina sali na kumtumikia Mungu lkn hii kama ni dhambi imeshindikana kutubu.
siwapendi waarabu
Umepata faida gani mpaka sasa? Kwa kuwachukia,nakupa ushauri wa bure acha chuki usije kufa kwa ugonjwa wa moyo mkuu
 
Other spices !!!!!!?????
Wabaguzi sana kuliko hata wazungu and other spices, kwakua nipata kuishi nao na kwa matendo walikua na wanayowafanyia wafanyakazi wao wa ndani ni ya kinyama zaidi kuwapa chakula tuu tena sio mile wanachokula wao waarabu.nk
Siwapendi
 
Duniani hakuna watu siwapendi kama Waarabu na makazi yao,hili nimejitahidi kulizuia ila nimeshindwa maana hii chuki nimezaliwa nayo, narudia tena nyie waarabu siwapendi japo Mimi Nina sali na kumtumikia Mungu lkn hii kama ni dhambi imeshindikana kutubu.
siwapendi waarabu
Na wewe hawakupendi, pumbaffff
 
Faida ni nyingi mkuu asante kwa ushauri ila SIWAPENDI na nilishasema chuki hii nimezaliwa nayo hivyo kuna watu huzaliwa na maladhi mbalimbali lkn wengine hawafi kwa hayo maladhi
Umepata faida gani mpaka sasa? Kwa kuwachukia,nakupa ushauri wa bure acha chuki usije kufa kwa ugonjwa wa moyo mkuu
 
Wabaguzi sana kuliko hata wazungu and other spices, kwakua nipata kuishi nao na kwa matendo walikua na wanayowafanyia wafanyakazi wao wa ndani ni ya kinyama zaidi kuwapa chakula tuu tena sio mile wanachokula wao waarabu.nk
Siwapendi


Kwani hapa kwetu wafanyakazi hawateswi? Kama unaishi mkoani nenda dar kajionee mabinti wanavyonyanyaswa na hawa hawa weusi wenzetu na mishahara wanapewa kidogo...labda kama una reason zingine. Ungeniambia wahindi hapo ningekukubalia, wahindi wana roho mbaya sana, kwanza huwezi mkuta mhindi amejichanganya na mtu mweusi,;ni wao kwa wao tu.
 
Back
Top Bottom