Watanzania wenye asili ya bara la Asia tujuane hapa!

Baba wa bibi yangu alitoka Ethiopia alislimi akiwa Korogwe na kuoa binti wa kisambaa
Kumbe ndio maana mbishi mbishi kama waabeshi.

Hawakubali kuunga juhudi kirahisi tahisi tu hata kama midege ya Ethiopian Airways inaleta faida.

Si unaona majuzi wamemuuwa Jenerali mmoja.
 
Kumbe ndio maana mbishi mbishi kama waabeshi.

Hawakubali kuunga juhudi kirahisi tahisi tu hata kama midege ya Ethiopian Airways inaleta faida.

Si unaona majuzi wamemuuwa Jenerali mmoja.
Mkuu nisije nikahojiwa uraia wangu
 
Mkuu inside nikahojiwa uraia wangu
Kwani unafikiri sisi sote wakitafuta asili ya babu wa bibi kuna raia wa TZ hapa?

Kelele zako wala sio hatari kwa nchi, usiogope mkuu.

Tatizo wale wa wenye plani za kumvuruga nambari wani.
 
Nikianza na mimi... Nina asili ya Uarabuni ... Babu yangu mzaa Baba katoka Oman akaja Zanzibar then akazaliwa Baba yangu then Mimi... Sina nia mbaya ila tu nataka tujuane... Sorry no picture today!

Mkuu upande wa mama vipi!?

Kuna Mbantu anywhere?
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom