Watanzania wengi wanapenda sana mabadiliko lakini viongozi wa upinzani hawapendi mabadiliko ila pesa

mtoto wa mchungaji

JF-Expert Member
Oct 24, 2020
279
480
Katika wakati huu ambao dunia ipo kama kijiji kidogosana na watu wamekuwa na ufahamu mkubwa wa mambo ni mgumu sana kuwadanganya kirahisi, matumizi makubwa ya teknolojia, storeji ya kumbukumbu za matukio ni kubwa, mitandao ya kijamii ni mingi.
Ukweli nikuwa kuanzia 1992 inaonyesha wazi kuwa wananchi wanataka mageuzi wamechoshwa na chama kimoja CCM yaani ni kama ilivyo ngumu kwa wanaume kuwa na mwanamke mmoja maishani. Lakini tofauti ni kuwa viongozi wa upinzani wao wanafokasi zaidi kupata pesa na maslai yao binafsi ikiwa kuonge vitu wasivyo viamini au kujua ambapo ni hatari kuwa na viongozi wa namna hiyo, na wahenga walisema njia ya muongo ni fupi.

Alikuja Lyatonga akisaidiwa na wale wanasharia kama Mabele Nyaucho Malandu kupitia NCCR MAGEUZI watanzania walijitoa na ilikuwa heka heka patashika nguo kuchanika, watanzania walikuwa wanataka mageuzi na bado wanyata.

Ilikuja KAFU NA Profesa wa uchumi duniani tuliaminishwa kuwa huyo jamaa ni noma yaani akichukuwa tu nchi uchumi wa nchi utapaa kama bombadia. Yaani wanasiasa ni kama waganga wa kienyeji ni fix tupu kuelekea katika ubinafsi. Nakumbuka nilikuwa ndogo darasa la sita lakini nilikuwa naelewa kwani tuliambiwa profesa huyo anagombaniwa dunia yaani tukizubaatu amechukuliwa,Kha! Lakini mpaka leo yupo bongo hajachkuliwa bado miaka 30 sasa anafanya siasa za sarakasi.

Chadema ndiyo sitaki hata kusema mi mwenyewe naona aibu, maana kacha zote na utamaduni wote wa kanisani waliukopi na kupesti kwao. Sisi watu wa kanisa kabla ya kuja kwa Chadema na vyama vingi ndiyo sisi pekee tulikuwa na mamlaka ya kuitisha makongamano, semina, mikutano na yote hiyo ilikuwa ni ukusanyaji wa sadaka. Nikashangaa Chadema nao ikawa sera yao kuu kila kona wanatembe na kapu kama huku kanisani, jamani.




1630495764685.png

Unaweza waonea uruma hawa vijana wenzetu, hapo kama wangeweza kujua dakika chache mbele kuna nini au wangejua dhamira ya viongozi wao wasinge yaacha makalio yao bila usalama, na kusimamisha shughuli zote za kutafuta kipato kuja kupiga deki barabara wakati si kazi yao ni kazi ya manispaa. Inadharirisha sana watu hivi vyama vya upinzani.

1630495889295.png

Ona hawa viongozi ndiyo wako fronti laini tunawaamini kuwa ni wakweli kupitia kauli zao na uongozi wao, angalia wanavyotoa povu utazani kweli. Hii inatosha sana kuelewa kuwa hawa ni viongozi wa aina gani si lazima uende shule. Neno moja ni viongozi feki wanataka kuindoa CCM feki.
Tatizo nikweli tunataka mageuzi ila wakuleta mageuzi bongo bado, hata wale vijana watakao nitupia mitusi kutoka Ufipa ila akikaa pekeyake ananielewa.

1630495992001.png

kila mtu alisoma na kuona Mzee mamvi hakuja hivi hivi alikuja na kitita kizito Chadema au hamjui. Alafu kama kweli ninyi wana chama na viongozi wa upinzani inabidi muwe siriazi kidogo kwa sababu mambo mengine siyo siri kwa sasa. Huyo mzee ndiyo aliaminiwa kama kachero na mzee Nyelele baba wa taifa kumpeleka Uganda kuwa msimamizi wa vita, yaani alikuwa anamwakilisha Rais akiwa Uganda, hilo si jambo dogo. Na kwa taarifa msimuangalie kwa huruma huyo mzee wakati wote wa vita alikuwa front line kule Uganda hakuwa Dar wala Munduli, mi sitaki kusema sana ila.. huyo mzee wakati wake amelifanyia taifa hili mambo mengi makubwa mengi mtayasikia akilala.
Yeye ndiyo alikuwa anawapokea makachero kutoka vyama vya ukombozi Afrika kama ZANU PF, ANC na vingine kupanga mikakati hata ile ya kumwondoa Kaburu kule kusini ya Afrika, huwezi kusema lolote kuhusu ukombozi wa Arika ya kusini bila kumtaja Manvi aliyekuwa akipigana nyuma ya pazia, alafu kilaini mkajua eti mmeokota dodo kumbe ni..

1630496121593.png

Biashara kamaliza mwanangu, 'Mzee kazi mliyonitima nimekwisha imaliza'. na Mzee Nyerere alikuwa anamwambiaga hivyo hivyo akimaliza poeresheni alizotumwa. Huyo ndiyo Mzee Lowasa.

Mungu wabarika watanzania hili tuje tupate wapinzani wa kweli kuitoa CCM madarakani
1630495764685.png
1630495889295.png
1630495992001.png
1630496121593.png
, Amina.
 
Mtoa hoja hii ni mpumbavu,kwa mwenye akili inayofanya kazi anaona in a naked eye's kuwa playing field haiko level moja chama dola wafanye yafuatayo machache tu,polisi walinde haki na raia,tume ya uchaguzi iwe independent,watanzania wapiga kura watumie IDs kupiga kura,kampeni huru ziwepo then itisha uchaguzi mkuu within 6mth tuone nani ataibuka kidedea.
 
Ndugu mtoto wa mchungaji, kwani hukuwahi kusikia kwenye msafara wa mamba na kenge huingiamo. Sasa nikuulize hujui kama ipo kijani a, b, c..... Sasa usitake kufanya ulinganifu wa jumlajumla, na usitake kusema hujui chama kinachoishi kwa pumzi ya mbeleko saidizi, vinginevyo endelea kumshauri mchungaji jinsi ya kuboresha malisho ya kondoo, hapo machungani kwenu, muionefaida yake.
 
Da kuna ugumu kueleweshana lakini ww unaonekana una ka aQ flani. Hata kungekuwa na d, e, f...wote mkigeukia kila maka hakuna shida.
Angalia juzi mama alivyotoka katika kikao cha kamati kuu taifa na kusema katiba mpya hapana, ile si yeye ni chama kimeamua tofauti na huku upinzanini mwenyekiti akiamua pinga kama ukunyang'any'wa kadi.
 
Kiongozi gani wa Chadema alishawahi pokea rushwa mahali?

Umtaje na hapo mahali alipochukua

Tanzania upinzani ni Chadema pekee yake,wengine wote ni akina Lipumbani wachukua chochote serikalini
Rushwa ni jina moja la upokeaji pesa ili utoe upendeleo, sasa uzito wa akilizako ndiyo shida, matumizi ya pesa tu bila utaratibu ni tatizo ndiyo maana CCM wana hati chafu lakini watoto wadogo Chadema pia wana hati chafu kwa haraka huwezi kumpaa nchi mtoto mdogo alieanza kuvuta sigara kabla ya umli ni hatari.
 
UPUUZI MTUPU!!!
Katika wakati huu ambao dunia ipo kama kijiji kidogosana na watu wamekuwa na ufahamu mkubwa wa mambo ni mgumu sana kuwadanganya kirahisi, matumizi makubwa ya teknolojia, storeji ya kumbukumbu za matukio ni kubwa, mitandao ya kijamii ni mingi.
Ukweli nikuwa kuanzia 1992 inaonyesha wazi kuwa wananchi wanataka mageuzi wamechoshwa na chama kimoja CCM yaani ni kama ilivyo ngumu kwa wanaume kuwa na mwanamke mmoja maishani. Lakini tofauti ni kuwa viongozi wa upinzani wao wanafokasi zaidi kupata pesa na maslai yao binafsi ikiwa kuonge vitu wasivyo viamini au kujua ambapo ni hatari kuwa na viongozi wa namna hiyo, na wahenga walisema njia ya muongo ni fupi.

Alikuja Lyatonga akisaidiwa na wale wanasharia kama Mabele Nyaucho Malandu kupitia NCCR MAGEUZI watanzania walijitoa na ilikuwa heka heka patashika nguo kuchanika, watanzania walikuwa wanataka mageuzi na bado wanyata.

Ilikuja KAFU NA Profesa wa uchumi duniani tuliaminishwa kuwa huyo jamaa ni noma yaani akichukuwa tu nchi uchumi wa nchi utapaa kama bombadia. Yaani wanasiasa ni kama waganga wa kienyeji ni fix tupu kuelekea katika ubinafsi. Nakumbuka nilikuwa ndogo darasa la sita lakini nilikuwa naelewa kwani tuliambiwa profesa huyo anagombaniwa dunia yaani tukizubaatu amechukuliwa,Kha! Lakini mpaka leo yupo bongo hajachkuliwa bado miaka 30 sasa anafanya siasa za sarakasi.

Chadema ndiyo sitaki hata kusema mi mwenyewe naona aibu, maana kacha zote na utamaduni wote wa kanisani waliukopi na kupesti kwao. Sisi watu wa kanisa kabla ya kuja kwa Chadema na vyama vingi ndiyo sisi pekee tulikuwa na mamlaka ya kuitisha makongamano, semina, mikutano na yote hiyo ilikuwa ni ukusanyaji wa sadaka. Nikashangaa Chadema nao ikawa sera yao kuu kila kona wanatembe na kapu kama huku kanisani, jamani.




View attachment 1919519
Unaweza waonea uruma hawa vijana wenzetu, hapo kama wangeweza kujua dakika chache mbele kuna nini au wangejua dhamira ya viongozi wao wasinge yaacha makalio yao bila usalama, na kusimamisha shughuli zote za kutafuta kipato kuja kupiga deki barabara wakati si kazi yao ni kazi ya manispaa. Inadharirisha sana watu hivi vyama vya upinzani.

View attachment 1919522
Ona hawa viongozi ndiyo wako fronti laini tunawaamini kuwa ni wakweli kupitia kauli zao na uongozi wao, angalia wanavyotoa povu utazani kweli. Hii inatosha sana kuelewa kuwa hawa ni viongozi wa aina gani si lazima uende shule. Neno moja ni viongozi feki wanataka kuindoa CCM feki.
Tatizo nikweli tunataka mageuzi ila wakuleta mageuzi bongo bado, hata wale vijana watakao nitupia mitusi kutoka Ufipa ila akikaa pekeyake ananielewa.

View attachment 1919524
kila mtu alisoma na kuona Mzee mamvi hakuja hivi hivi alikuja na kitita kizito Chadema au hamjui. Alafu kama kweli ninyi wana chama na viongozi wa upinzani inabidi muwe siriazi kidogo kwa sababu mambo mengine siyo siri kwa sasa. Huyo mzee ndiyo aliaminiwa kama kachero na mzee Nyelele baba wa taifa kumpeleka Uganda kuwa msimamizi wa vita, yaani alikuwa anamwakilisha Rais akiwa Uganda, hilo si jambo dogo. Na kwa taarifa msimuangalie kwa huruma huyo mzee wakati wote wa vita alikuwa front line kule Uganda hakuwa Dar wala Munduli, mi sitaki kusema sana ila.. huyo mzee wakati wake amelifanyia taifa hili mambo mengi makubwa mengi mtayasikia akilala.
Yeye ndiyo alikuwa anawapokea makachero kutoka vyama vya ukombozi Afrika kama ZANU PF, ANC na vingine kupanga mikakati hata ile ya kumwondoa Kaburu kule kusini ya Afrika, huwezi kusema lolote kuhusu ukombozi wa Arika ya kusini bila kumtaja Manvi aliyekuwa akipigana nyuma ya pazia, alafu kilaini mkajua eti mmeokota dodo kumbe ni..

View attachment 1919525
Biashara kamaliza mwanangu, 'Mzee kazi mliyonitima nimekwisha imaliza'. na Mzee Nyerere alikuwa anamwambiaga hivyo hivyo akimaliza poeresheni alizotumwa. Huyo ndiyo Mzee Lowasa.

Mungu wabarika watanzania hili tuje tupate wapinzani wa kweli kuitoa CCM madarakaniView attachment 1919519View attachment 1919522View attachment 1919524View attachment 1919525, Amina.
 
Katika wakati huu ambao dunia ipo kama kijiji kidogosana na watu wamekuwa na ufahamu mkubwa wa mambo ni mgumu sana kuwadanganya kirahisi, matumizi makubwa ya teknolojia, storeji ya kumbukumbu za matukio ni kubwa, mitandao ya kijamii ni mingi.
Ukweli nikuwa kuanzia 1992 inaonyesha wazi kuwa wananchi wanataka mageuzi wamechoshwa na chama kimoja CCM yaani ni kama ilivyo ngumu kwa wanaume kuwa na mwanamke mmoja maishani. Lakini tofauti ni kuwa viongozi wa upinzani wao wanafokasi zaidi kupata pesa na maslai yao binafsi ikiwa kuonge vitu wasivyo viamini au kujua ambapo ni hatari kuwa na viongozi wa namna hiyo, na wahenga walisema njia ya muongo ni fupi.

Alikuja Lyatonga akisaidiwa na wale wanasharia kama Mabele Nyaucho Malandu kupitia NCCR MAGEUZI watanzania walijitoa na ilikuwa heka heka patashika nguo kuchanika, watanzania walikuwa wanataka mageuzi na bado wanyata.

Ilikuja KAFU NA Profesa wa uchumi duniani tuliaminishwa kuwa huyo jamaa ni noma yaani akichukuwa tu nchi uchumi wa nchi utapaa kama bombadia. Yaani wanasiasa ni kama waganga wa kienyeji ni fix tupu kuelekea katika ubinafsi. Nakumbuka nilikuwa ndogo darasa la sita lakini nilikuwa naelewa kwani tuliambiwa profesa huyo anagombaniwa dunia yaani tukizubaatu amechukuliwa,Kha! Lakini mpaka leo yupo bongo hajachkuliwa bado miaka 30 sasa anafanya siasa za sarakasi.

Chadema ndiyo sitaki hata kusema mi mwenyewe naona aibu, maana kacha zote na utamaduni wote wa kanisani waliukopi na kupesti kwao. Sisi watu wa kanisa kabla ya kuja kwa Chadema na vyama vingi ndiyo sisi pekee tulikuwa na mamlaka ya kuitisha makongamano, semina, mikutano na yote hiyo ilikuwa ni ukusanyaji wa sadaka. Nikashangaa Chadema nao ikawa sera yao kuu kila kona wanatembe na kapu kama huku kanisani, jamani.




View attachment 1919519
Unaweza waonea uruma hawa vijana wenzetu, hapo kama wangeweza kujua dakika chache mbele kuna nini au wangejua dhamira ya viongozi wao wasinge yaacha makalio yao bila usalama, na kusimamisha shughuli zote za kutafuta kipato kuja kupiga deki barabara wakati si kazi yao ni kazi ya manispaa. Inadharirisha sana watu hivi vyama vya upinzani.

View attachment 1919522
Ona hawa viongozi ndiyo wako fronti laini tunawaamini kuwa ni wakweli kupitia kauli zao na uongozi wao, angalia wanavyotoa povu utazani kweli. Hii inatosha sana kuelewa kuwa hawa ni viongozi wa aina gani si lazima uende shule. Neno moja ni viongozi feki wanataka kuindoa CCM feki.
Tatizo nikweli tunataka mageuzi ila wakuleta mageuzi bongo bado, hata wale vijana watakao nitupia mitusi kutoka Ufipa ila akikaa pekeyake ananielewa.

View attachment 1919524
kila mtu alisoma na kuona Mzee mamvi hakuja hivi hivi alikuja na kitita kizito Chadema au hamjui. Alafu kama kweli ninyi wana chama na viongozi wa upinzani inabidi muwe siriazi kidogo kwa sababu mambo mengine siyo siri kwa sasa. Huyo mzee ndiyo aliaminiwa kama kachero na mzee Nyelele baba wa taifa kumpeleka Uganda kuwa msimamizi wa vita, yaani alikuwa anamwakilisha Rais akiwa Uganda, hilo si jambo dogo. Na kwa taarifa msimuangalie kwa huruma huyo mzee wakati wote wa vita alikuwa front line kule Uganda hakuwa Dar wala Munduli, mi sitaki kusema sana ila.. huyo mzee wakati wake amelifanyia taifa hili mambo mengi makubwa mengi mtayasikia akilala.
Yeye ndiyo alikuwa anawapokea makachero kutoka vyama vya ukombozi Afrika kama ZANU PF, ANC na vingine kupanga mikakati hata ile ya kumwondoa Kaburu kule kusini ya Afrika, huwezi kusema lolote kuhusu ukombozi wa Arika ya kusini bila kumtaja Manvi aliyekuwa akipigana nyuma ya pazia, alafu kilaini mkajua eti mmeokota dodo kumbe ni..

View attachment 1919525
Biashara kamaliza mwanangu, 'Mzee kazi mliyonitima nimekwisha imaliza'. na Mzee Nyerere alikuwa anamwambiaga hivyo hivyo akimaliza poeresheni alizotumwa. Huyo ndiyo Mzee Lowasa.

Mungu wabarika watanzania hili tuje tupate wapinzani wa kweli kuitoa CCM madarakaniView attachment 1919519View attachment 1919522View attachment 1919524View attachment 1919525, Amina.
Angalau unge mention kweny issue zote za ufisadi NCHI hii je upinzani wamepiga pesa ngap? Maan ukifanya ufisad maana yake unapenda pesa mpaka ukaamua ufanye ufisadi!!
 
Rushwa ni jina moja la upokeaji pesa ili utoe upendeleo, sasa uzito wa akilizako ndiyo shida, matumizi ya pesa tu bila utaratibu ni tatizo ndiyo maana CCM wana hati chafu lakini watoto wadogo Chadema pia wana hati chafu kwa haraka huwezi kumpaa nchi mtoto mdogo alieanza kuvuta sigara kabla ya umli ni hatari.
Mtoto wa mchunga kondoo,ni vyema ukamsaidie mchungaji kondoo washibe wanywe na maji.
 
Rushwa ni jina moja la upokeaji pesa ili utoe upendeleo, sasa uzito wa akilizako ndiyo shida, matumizi ya pesa tu bila utaratibu ni tatizo ndiyo maana CCM wana hati chafu lakini watoto wadogo Chadema pia wana hati chafu kwa haraka huwezi kumpaa nchi mtoto mdogo alieanza kuvuta sigara kabla ya umli ni hatari.
Mimi bado naamini utabiri wa hayati Baba wa taifa, kwamba Upinzani wa kweli utatoka ndani ya chama tawala cha Ccm, sio kwa kutoka mtu mmoja au wawili Bali kwa mpasuko mkubwa utakaotokea siku za usoni,
 
Anzisha chama chako, acha kulalamika kama mke aliyeachwa.
 
Hasa mimi, napenda sana bei za mafuta zinavyopanda. Mabadiliko ni lazima
 
Katika wakati huu ambao dunia ipo kama kijiji kidogosana na watu wamekuwa na ufahamu mkubwa wa mambo ni mgumu sana kuwadanganya kirahisi, matumizi makubwa ya teknolojia, storeji ya kumbukumbu za matukio ni kubwa, mitandao ya kijamii ni mingi.
Ukweli nikuwa kuanzia 1992 inaonyesha wazi kuwa wananchi wanataka mageuzi wamechoshwa na chama kimoja CCM yaani ni kama ilivyo ngumu kwa wanaume kuwa na mwanamke mmoja maishani. Lakini tofauti ni kuwa viongozi wa upinzani wao wanafokasi zaidi kupata pesa na maslai yao binafsi ikiwa kuonge vitu wasivyo viamini au kujua ambapo ni hatari kuwa na viongozi wa namna hiyo, na wahenga walisema njia ya muongo ni fupi.

Alikuja Lyatonga akisaidiwa na wale wanasharia kama Mabele Nyaucho Malandu kupitia NCCR MAGEUZI watanzania walijitoa na ilikuwa heka heka patashika nguo kuchanika, watanzania walikuwa wanataka mageuzi na bado wanyata.

Ilikuja KAFU NA Profesa wa uchumi duniani tuliaminishwa kuwa huyo jamaa ni noma yaani akichukuwa tu nchi uchumi wa nchi utapaa kama bombadia. Yaani wanasiasa ni kama waganga wa kienyeji ni fix tupu kuelekea katika ubinafsi. Nakumbuka nilikuwa ndogo darasa la sita lakini nilikuwa naelewa kwani tuliambiwa profesa huyo anagombaniwa dunia yaani tukizubaatu amechukuliwa,Kha! Lakini mpaka leo yupo bongo hajachkuliwa bado miaka 30 sasa anafanya siasa za sarakasi.

Chadema ndiyo sitaki hata kusema mi mwenyewe naona aibu, maana kacha zote na utamaduni wote wa kanisani waliukopi na kupesti kwao. Sisi watu wa kanisa kabla ya kuja kwa Chadema na vyama vingi ndiyo sisi pekee tulikuwa na mamlaka ya kuitisha makongamano, semina, mikutano na yote hiyo ilikuwa ni ukusanyaji wa sadaka. Nikashangaa Chadema nao ikawa sera yao kuu kila kona wanatembe na kapu kama huku kanisani, jamani.




View attachment 1919519
Unaweza waonea uruma hawa vijana wenzetu, hapo kama wangeweza kujua dakika chache mbele kuna nini au wangejua dhamira ya viongozi wao wasinge yaacha makalio yao bila usalama, na kusimamisha shughuli zote za kutafuta kipato kuja kupiga deki barabara wakati si kazi yao ni kazi ya manispaa. Inadharirisha sana watu hivi vyama vya upinzani.

View attachment 1919522
Ona hawa viongozi ndiyo wako fronti laini tunawaamini kuwa ni wakweli kupitia kauli zao na uongozi wao, angalia wanavyotoa povu utazani kweli. Hii inatosha sana kuelewa kuwa hawa ni viongozi wa aina gani si lazima uende shule. Neno moja ni viongozi feki wanataka kuindoa CCM feki.
Tatizo nikweli tunataka mageuzi ila wakuleta mageuzi bongo bado, hata wale vijana watakao nitupia mitusi kutoka Ufipa ila akikaa pekeyake ananielewa.

View attachment 1919524
kila mtu alisoma na kuona Mzee mamvi hakuja hivi hivi alikuja na kitita kizito Chadema au hamjui. Alafu kama kweli ninyi wana chama na viongozi wa upinzani inabidi muwe siriazi kidogo kwa sababu mambo mengine siyo siri kwa sasa. Huyo mzee ndiyo aliaminiwa kama kachero na mzee Nyelele baba wa taifa kumpeleka Uganda kuwa msimamizi wa vita, yaani alikuwa anamwakilisha Rais akiwa Uganda, hilo si jambo dogo. Na kwa taarifa msimuangalie kwa huruma huyo mzee wakati wote wa vita alikuwa front line kule Uganda hakuwa Dar wala Munduli, mi sitaki kusema sana ila.. huyo mzee wakati wake amelifanyia taifa hili mambo mengi makubwa mengi mtayasikia akilala.
Yeye ndiyo alikuwa anawapokea makachero kutoka vyama vya ukombozi Afrika kama ZANU PF, ANC na vingine kupanga mikakati hata ile ya kumwondoa Kaburu kule kusini ya Afrika, huwezi kusema lolote kuhusu ukombozi wa Arika ya kusini bila kumtaja Manvi aliyekuwa akipigana nyuma ya pazia, alafu kilaini mkajua eti mmeokota dodo kumbe ni..

View attachment 1919525
Biashara kamaliza mwanangu, 'Mzee kazi mliyonitima nimekwisha imaliza'. na Mzee Nyerere alikuwa anamwambiaga hivyo hivyo akimaliza poeresheni alizotumwa. Huyo ndiyo Mzee Lowasa.

Mungu wabarika watanzania hili tuje tupate wapinzani wa kweli kuitoa CCM madarakaniView attachment 1919519View attachment 1919522View attachment 1919524View attachment 1919525, Amina.
Sijui kabla ya kuandika kama mchungaji alikuombea
 
Back
Top Bottom