Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 27,844
- 66,900
Kwema Wakuu!
Nazungumza Kwa uzoefu wàngu binafsi.
Úkiwa mkosoaji wa viongozi wa serikali au serikali Kwa ujumla Bila kujali Nia yako kuwa ni Njema au mbaya, Bila kujali upo Chama gàni au hauna Chama.
Watu kuanzia Wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wàtakuambia Bila kificho kuwa unajiingiza kwèñye matatizo Makubwa, yani NI kuwa unakanyaga waya weñye umeme Mkubwa àmbao Kwa hakika utakuangamiza.
Watanzania wanaamini kuwa serikali Yao haihitaji kukosolewa. Watanzania wengi hujua kuwa serikali inateka, kuangamiza, kukuwekea zengwe na kukutia matatizo endapo utakuwa kinyume nayo hasa ukiwa Frontline.
Watanzania wengi huamini kuwa mkosoaji asiyepatwa na panga la serikali Basi atakuwa sehemu ya serikali yàani Mtu wa kitengo.
Ni lini mitazamo hiii ya Watañzania kuhusu serikali yao itaondoka?
Yàani Watañzania wasomi kwa wasiosoma wengi waô huogopa kueleza maoni Yao juu ya serikali
Mfano. Huwezi kukuta mtangazaji wa kipindi cha redio au luninga akiweka Msimamo wake wa kutomkubali labda Rais au Chama kilichopo madarakani. NI ngumu
Au Kiongozi wa Dini au Mwalimu, au Daktari au Mwanamuziki au muigizaji umkute akiwa Huru kujieleza kuihusu serikali. Asilimia kûbwa hushindwa ila wachache Sana ndîo hujieleza Kwa Uhuru.
Je, viongozi u serikali kama serikali inachukuliaje uwèpo wa Jambo hili katika wananchi wake?
Mchana mwema.
Nazungumza Kwa uzoefu wàngu binafsi.
Úkiwa mkosoaji wa viongozi wa serikali au serikali Kwa ujumla Bila kujali Nia yako kuwa ni Njema au mbaya, Bila kujali upo Chama gàni au hauna Chama.
Watu kuanzia Wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wàtakuambia Bila kificho kuwa unajiingiza kwèñye matatizo Makubwa, yani NI kuwa unakanyaga waya weñye umeme Mkubwa àmbao Kwa hakika utakuangamiza.
Watanzania wanaamini kuwa serikali Yao haihitaji kukosolewa. Watanzania wengi hujua kuwa serikali inateka, kuangamiza, kukuwekea zengwe na kukutia matatizo endapo utakuwa kinyume nayo hasa ukiwa Frontline.
Watanzania wengi huamini kuwa mkosoaji asiyepatwa na panga la serikali Basi atakuwa sehemu ya serikali yàani Mtu wa kitengo.
Ni lini mitazamo hiii ya Watañzania kuhusu serikali yao itaondoka?
Yàani Watañzania wasomi kwa wasiosoma wengi waô huogopa kueleza maoni Yao juu ya serikali
Mfano. Huwezi kukuta mtangazaji wa kipindi cha redio au luninga akiweka Msimamo wake wa kutomkubali labda Rais au Chama kilichopo madarakani. NI ngumu
Au Kiongozi wa Dini au Mwalimu, au Daktari au Mwanamuziki au muigizaji umkute akiwa Huru kujieleza kuihusu serikali. Asilimia kûbwa hushindwa ila wachache Sana ndîo hujieleza Kwa Uhuru.
Je, viongozi u serikali kama serikali inachukuliaje uwèpo wa Jambo hili katika wananchi wake?
Mchana mwema.