johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,430
Mimi ni mmoja wao nimeamua kufuatilia ziara ya Rais wetu mpendwa Dr Magufuli katika ziara yake ya kukagua miradi na kufungua miradi iliyokamilika kadhalika kuweka mawe ya msingi kwa miradi mipya.
Leo Rais Magufuli yuko mkoani Njombe nami nafuatilia ziara hiyo mubashara kupitia luninga ya ITV.
Maendeleo hayana vyama!
Leo Rais Magufuli yuko mkoani Njombe nami nafuatilia ziara hiyo mubashara kupitia luninga ya ITV.
Maendeleo hayana vyama!