Tarehe 28 hiyooo imefika,
Misimamo ya watanzania haitabiriki,
Hii inatokana na kukosa uhuru wa kuongea,
Watanzania wakikutana kwenye vijiwe wanamsifia Magufuli,
Ukimdadisi mmoja mmoja kwa wakati tofauti msimamo unapingana na wakiwa wengi,
.
Wanahofu ya kupata majanga ya kushtakiwa, kufungwa, au kutekwa,
Je, wampigia nani kwenye chumba cha kupigia kura?,
Nawakumbuka Wajumbe,
"Tupo pamoja, unakubalika, wewe ndiye mbunge",
Na maneno mengine mengi,
Mwisho wake mtia nia kapigwa spana,
Hajapigiwa kura hata na ndugu yake,
Kuna vilio vinasikika Lumumba,
.
Polepole akimlilia mshindwaji,
Bashiru akigalagala vumbini kwa uchungu,
Hawataki kufarijiwa kwa kuwa wameangukia pua,
Wajumbe wanewafundisha tabia nzuri watanzania,
Ni spana kwenda mbele,
Watu hawa hunisifia mdomoni tu,
Lakini moyoni wapo kwa Lissu,
Hunidhihaki nijaribiwapo,
Huniwekea vikao vya masimango,
Nao watasema umeanguka ewe Babeli umeanguka,
Ewe uliyewazamisha wafalme,
Ewe shujaa mwenye nguvu,
Umeanguka kama unyasi wa asubuhi,
Umeanguka ewe nyota ya alfajiri,
Ndugu zako watakudhihaki,
Yeye aliyewachukua mateka ndugu zake aneingia kwenye mtego wa mwindaji,
Watawala wa dunia watastaajabu,
Ni huyu ndiye aliyejiinua juu ya kiti cha enzi,
Ona sasa umeshuka mpaka mavumbini.
Wajumbe pigeni spana, watanganyika pigeni spana, wazanzibari pigeni spana.
Misimamo ya watanzania haitabiriki,
Hii inatokana na kukosa uhuru wa kuongea,
Watanzania wakikutana kwenye vijiwe wanamsifia Magufuli,
Ukimdadisi mmoja mmoja kwa wakati tofauti msimamo unapingana na wakiwa wengi,
.
Wanahofu ya kupata majanga ya kushtakiwa, kufungwa, au kutekwa,
Je, wampigia nani kwenye chumba cha kupigia kura?,
Nawakumbuka Wajumbe,
"Tupo pamoja, unakubalika, wewe ndiye mbunge",
Na maneno mengine mengi,
Mwisho wake mtia nia kapigwa spana,
Hajapigiwa kura hata na ndugu yake,
Kuna vilio vinasikika Lumumba,
.
Polepole akimlilia mshindwaji,
Bashiru akigalagala vumbini kwa uchungu,
Hawataki kufarijiwa kwa kuwa wameangukia pua,
Wajumbe wanewafundisha tabia nzuri watanzania,
Ni spana kwenda mbele,
Watu hawa hunisifia mdomoni tu,
Lakini moyoni wapo kwa Lissu,
Hunidhihaki nijaribiwapo,
Huniwekea vikao vya masimango,
Nao watasema umeanguka ewe Babeli umeanguka,
Ewe uliyewazamisha wafalme,
Ewe shujaa mwenye nguvu,
Umeanguka kama unyasi wa asubuhi,
Umeanguka ewe nyota ya alfajiri,
Ndugu zako watakudhihaki,
Yeye aliyewachukua mateka ndugu zake aneingia kwenye mtego wa mwindaji,
Watawala wa dunia watastaajabu,
Ni huyu ndiye aliyejiinua juu ya kiti cha enzi,
Ona sasa umeshuka mpaka mavumbini.
Wajumbe pigeni spana, watanganyika pigeni spana, wazanzibari pigeni spana.