Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,193
- 12,378
Hakuna anayesikiliza radio tena wala kuangalia TV za bongo.Tumerudi nyuma mika 50 kidemokeasia.Hatuna tena uwezo wa kujenga hoja.Debate za upande mmoja tu bila kualika upande wa pili ni mbaya.Mange kakununulia smatifoni?