Balozi Chriss
Senior Member
- Jan 21, 2011
- 153
- 16
Naunga mkono hoja ila natoa angalizo kwa wachangiaji kwamba tusimshambulie mleta mada ebu tujaribu kuweka jazba pembeni halafu hiyo mada yake tuiasili ktk mazingira yetu ya kitanzania.
#.Je fursa za kuwekeza Tanzania tumezitumia vizuri?
Mimi nimeamua kuwekeza kwenye kilimo cha kuku wa kienyeji pamoja na kuandaa juice ya matunda(fruit pulp) kwa ajili ya kuiuza viwandani UAE.
#.Kwa nini viongozi wetu mbona wanawapapatikia wageni?
Mzawa hawezi mudu 10%,nikikupa 10% utanimalizia mtaji wangu.
#.Je,elimu tunayoipata ni jibu la umaskini wetu au inatakiwa iwe chaji ktk bongo zetu ili tuzidi kupambanua mambo kwa kina?
Mmh hapa ni tatizo maana walimu wangu wa Chuo kikuu wapo tu kutimiza siku na kujidai wao ndio wanashikilia kesho yako.Nyoko mbona wananifelisha kila kukicha kisa ninawapa changamoto kuanzia za kijamii,kisiasa na kiuchumi.
#.Je unaweza tengeneza ajira ktk soko la ajira Tanzania?
Nina baiskeli 100 ambazo wanaendesha vijana waliomaliza sekondari huku wakingokea kuendelea na masomo baadaye,kazi yao ni kusambaza bidhaa za bakery yangu(chapati,vitumbua,karanga,sambusa,popcorn nk) kwa wateja wangu wapatao 2500 kila siku hapa mjini .Ujira ni Tshs 5000/= per day per each bicyle kid.
Labda haya machache yatatusaidia sote wapenda maendeleo.
#.Je fursa za kuwekeza Tanzania tumezitumia vizuri?
Mimi nimeamua kuwekeza kwenye kilimo cha kuku wa kienyeji pamoja na kuandaa juice ya matunda(fruit pulp) kwa ajili ya kuiuza viwandani UAE.
#.Kwa nini viongozi wetu mbona wanawapapatikia wageni?
Mzawa hawezi mudu 10%,nikikupa 10% utanimalizia mtaji wangu.
#.Je,elimu tunayoipata ni jibu la umaskini wetu au inatakiwa iwe chaji ktk bongo zetu ili tuzidi kupambanua mambo kwa kina?
Mmh hapa ni tatizo maana walimu wangu wa Chuo kikuu wapo tu kutimiza siku na kujidai wao ndio wanashikilia kesho yako.Nyoko mbona wananifelisha kila kukicha kisa ninawapa changamoto kuanzia za kijamii,kisiasa na kiuchumi.
#.Je unaweza tengeneza ajira ktk soko la ajira Tanzania?
Nina baiskeli 100 ambazo wanaendesha vijana waliomaliza sekondari huku wakingokea kuendelea na masomo baadaye,kazi yao ni kusambaza bidhaa za bakery yangu(chapati,vitumbua,karanga,sambusa,popcorn nk) kwa wateja wangu wapatao 2500 kila siku hapa mjini .Ujira ni Tshs 5000/= per day per each bicyle kid.
Labda haya machache yatatusaidia sote wapenda maendeleo.