Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Ukiondoa chipukizi na UVCCM ambalo huandaliwa toka wakiwa wadogo kuja kuwa viongozi.
Kuna kundi kubwa sana la Watanzania wakifikisha miaka 40 huamua kuwa Wanachama wa CCM kabla ya hapa hili kundi huwa halijishughulishi sana na siasa zaidi ya ushabiki wa mdogo mdogo tu.
Makatibu wengi wa CCM kwenye mashina wanakiri kuwa watu wengi wenye familia huwa wanaenda kujiandikisha kujiunga na CCM Kwasababu wanakuwa wameshakuwa na majukumu na wanaona CCM kuna uongozi bora.
Ndio maana vijana wengi wenye kupitia umri wa miaka 25 hadi 35 mpaka 39 ndio wanakuwa na mihemko ya kisiasa wakipita hapo basi hujiunga na CCM
Ni kupitia utafiti huu utakuta vijana wengi wanasema wazee ndio wanaibeba CCM ila sio kweli kuna kundi kubwa sana la watu wazima wanaojiunga na CCM hali inayopelekea CCM kuweza kuongoza kwa miaka mingine mia moja ijayo hapo ni nje ya lile kundi la chipkizi na UVCCM.
Asante CCM, bila wewe hatuwezi kuwa na amani. Vyama vya upinzani havifai kwani vinachezea amani yetu
Kuna kundi kubwa sana la Watanzania wakifikisha miaka 40 huamua kuwa Wanachama wa CCM kabla ya hapa hili kundi huwa halijishughulishi sana na siasa zaidi ya ushabiki wa mdogo mdogo tu.
Makatibu wengi wa CCM kwenye mashina wanakiri kuwa watu wengi wenye familia huwa wanaenda kujiandikisha kujiunga na CCM Kwasababu wanakuwa wameshakuwa na majukumu na wanaona CCM kuna uongozi bora.
Ndio maana vijana wengi wenye kupitia umri wa miaka 25 hadi 35 mpaka 39 ndio wanakuwa na mihemko ya kisiasa wakipita hapo basi hujiunga na CCM
Ni kupitia utafiti huu utakuta vijana wengi wanasema wazee ndio wanaibeba CCM ila sio kweli kuna kundi kubwa sana la watu wazima wanaojiunga na CCM hali inayopelekea CCM kuweza kuongoza kwa miaka mingine mia moja ijayo hapo ni nje ya lile kundi la chipkizi na UVCCM.
Asante CCM, bila wewe hatuwezi kuwa na amani. Vyama vya upinzani havifai kwani vinachezea amani yetu