Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Mkuu mimi nitaenda kumpokea. Nadhani kwa sasa hana itikadi ya kichama. Kama watu hujitokeza kwenda kuwapokea washiriki wa Big Btother (akina Bhoke) kwa nini tusimpokee huyu ambaye ameonyesha kwamba TZ kuna vichwa?
Hao wanao enda kuwapokea watu wa big brother na viongozi ni wale wasiokuwa na kazi.
Kwanza Airport yenyewe inanuka kweli,sigara kila mahari hovyo hovyo.
Naenda kumpokea ndugu yangu tu,maana najua tukitoka hapo tutakaa
nyumbani kubadilishana mawazo,....sasa unaenda kumpokea Lipumba ana kujua?