Lighondi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 581
- 184
Mimi sioni shida ya Lipumba kuongoza mkutano.
Ni kama kwenye kikao cha harusi tu. Ni hali ya kawaida palipo na watu zaidi ya mmoja kwa lengo linalofanana kuwa na mtu wa kuongoza/kuelekeza/kusimamia mjadala uende kwa mpangilio waliokubaliana/wanavyotaka washiriki au mwaandaaji wa hiyo shughuli. Sasa hapo tukajazane pale eapoti kwa sababu gani?
Ni kama kwenye kikao cha harusi tu. Ni hali ya kawaida palipo na watu zaidi ya mmoja kwa lengo linalofanana kuwa na mtu wa kuongoza/kuelekeza/kusimamia mjadala uende kwa mpangilio waliokubaliana/wanavyotaka washiriki au mwaandaaji wa hiyo shughuli. Sasa hapo tukajazane pale eapoti kwa sababu gani?