Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Wewe ushapata hiyo green card?Viongozi wa "serikali ya wanyonge" ndio wametuponza na wataendelea kutuponza. Wangepigwa ban za greencard visa wao peke yao na familia zao ila sasa wanyonge wote wamo ndani ya mkumbo. Halafu kuna mijitu bado inawaimbia nyimbo za kusifu na kuabudu kama mazombi s.h.e.n.z.i kabisa