toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,798
- 10,163
Ni nadra sana zaidi ya sana mtz kushinda dv lottery hivyo haina impact yoyote iwepo au lah ila wangeisitisha nchi kama Kenya nadhani jamaa wangeandamana kama sio kuuana kabisa.
Mkuu impact ipo, manake walikuwepo watu wanashinda hiyo kitu, yan ile tu kuwa denied from involvement ni problem aisee
Sent from my iPhone using JamiiForums