Watanzania "wazagaa" nje ya nchi yao!!

watanzania wanazagaa nchi za nje kwa sababu nchini kwao hawatengezewi nafasi ya kujiendeleza
viongozi wanatnga sheria ambazo zinawabana sana watu wachini na kuwafanya washindwe kujinyanyua kiuchumi.
nafikiri biashara ndogo ndogo nyingi tanzania ndio zinazotoa ajira kwa watu wenye elimu ndogo......wakati serikali imewasahau kabisa watu hawa.
 
...mtanzania mambo yamebadilika (not 100%),kuna promise kubwa yatendelea kubadilika for the better,mfano TIC wanajua wanafanya nini na sio wababaishaji na kama ni serious investor watakupatia red carpet,kama wewe ni investor nakushauri fanya kazi na hao jamaa sio wababishaji wengine watakumalizia kila kitu,kumbuka Banks nyingi ni private kwa hiyo nao sio rahisi kukutupa mteja bila sababu ingawaje mikopo bado ni very expensive na managing risk kwa TZ ni ngumu sana ndio maana sometimes nao wanakuwa wagumu kudeal na establishment zisizoeleweka

Koba,

Sidhani kama mambo yamebadilika. Mimi nimefanya kazi na TIC toka mwaka 2003 na nimeshaandika mara nyingi kwamba ni institution pekee ya serikali ambayo naona inajitahidi kufanya kazi ipasavyo. Wanaweza kuwa na matatizo yao kwa mfano kuweka nguvu zaidi kwa wageni badala ya kufanya matangazo ya maana ili hata wazawa wajue kuna chombo kama hicho. Sisi wametusaidia sana ingawaje naamini wangeweza hata kusaidia zaidi ya hapo, lakini sio mbaya.

Kuhusu banks huko ndiko kulikojaa ujinga. Wanapata pesa za bure za wafanyakazi mjini na wakisikia miradi iliyoko nje ya mjini matatizo yanaanza. Nikupe mfano kuna bank moja ya maana hapo mjini walitunyima sisi overdraft ya milioni 10 pamoja na kuwa na account nao, kupitisha kwao pesa zaidi ya milioni 100, kuwa na assets zenye thamani ya zaidi ya milioni 200 na pia kuwa na contract ya kampuni ambayo walitaka kupanga ofisi ambayo ndio tulikuwa tunaomba hizo pesa ili kumalizia haraka haraka. Wakatupotezea muda wetu bure mpaka mimi nikapata hizo pesa na kumalizia ofisi na baada ya mwezi tukalipwa.

Hiyo sio mara ya kwanza, nina mifano ya bank kibao. Kuna matatizo mengi sana kuanzia rushwa mpaka ukabila. Kuna jamaa mmoja STANBIC kazi yake ilikuwa kupitisha miradi ya kwao tu. Ukija TRA ndio kabisa, wana ku frustrate mpaka unataka kurusha ngumi.

Serikali yenyewe ndio kabisa, kuna safari nilifunga safari yangu toka UK kuja kuonana na kigogo mmoja wa serikali, nikaahidiwa nitamwona. Nilipofika, mizunguko ikaanza na mpaka likizo ikaisha hakukuwa na kitu. Nilikuwa tayari kupiga gari mpaka kumfuata kule alikokuwa mahali popote TZ, lakini hakuna kitu.

Mimi ni mwendaji wa mikutano ya investors hasa hapa UK, akina Mramba hao wababaishaji tu, anakwambia tunataka vijana kama nyie, siku ametua Dar, huwezi kumwona tena. Wanaahidi ujinga ambao hawawezi kutimiza.

Naweza kuandika kurasa 100 juu ya ujinga wa sisi Watanzania. Mimi wengine wanasena niko arrogant, sawa ukiniletea ujeuri na mimi ninakuwa jeuri. Mimi huwa nasema mtu kama mimi nisipokataa huo upuzi nani wataukataa? Nina kazi yangu ambayo ni gurantee ya maisha yangu, hivyo kila ninachofanya cha ziada hakuna pressure kubwa ya kupata faida haraka haraka, hivyo sioni umuhimu wa kutoa rushwa au kuwanyeyekea watu kama miungu.

Ninaamini nakuwa treated fairly na wazungu huku Ulaya kuliko hao ndugu zetu vigogo hapo Tanzania.

Bila ya ujinga huo kuondoka, tusitegemee maendeleo makubwa. Wewe fikiria kule ninakoinvest mimi, labda mradi wetu ndio mkubwa lakini toka tuanze sijawahi kumwona hata kiongozi wa serikali akija na kutuuliza tunaendeleaje, tuna matatizo gani nk. Unategemea viongozi wa namna hiyo ndio wafanye mabadiliko TZ? Badala yake wanafanya kila kitu kukukwamisha.Wewe nenda kawaaambie wakusaidia barua ya recomendation kwasababu inatakiwa sehemu, watakizungusha na urasimu kibao.

Wachawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe. Nenda mabaraza ya wafanyabiashara yale ya akina Musiba na wengine, wanajifagilia wenyewe badala ya kuwasaidia investors vijana na wapya ili waweze kushinda urasimu wa pale mwanzoni. Kazi zio kuongozana na rais na kutoa hotuba za mambo ambayo hawayafanyi. Wacha niache maana nimelelemika sana! kwi kwi kwi!!!
 
Ni sawa.

Nami nionavyo ni kama ifuatavyo:

A- Upper Class ambayo mali na utajiri unaweza kurithiwa kizazi na kizazi. hapa namaanisha property na assets zingine na hawa watu wana nguvu sana kiuchumi. Hawa watu wanaweza wasifanye kazi na huwa wanajichanganya na makundi ya watu wanaoeleweka.

B- Upper Middle Class ambayo inajumuisha wafanya biashara ( waliofanikiwa), wataalam wa fani mbalimbali, mabosi wa mashirika na makampuni,viongozi wa juu serikalini na jeshini.

C-Middle Class ambayo inajumuisha wafanya biashara wa kawaida, wataalam wa kawaida, walimu, maofisa wa polisi na wengine wenye kazi za maofisini. Na hili kundi ndio utakuna hata wewe mama umo au mimi na wengine.

D-Working Class hii inajumuisha makarani, wafanyakazi kwenye viwanda, maofisa masoko na vibarua wengine. Hawa watu kazi zao hizi hazina guarantee na husimamiwa wakati wote na ma-supervisor.

E- Lower Class ambao ni wale uliowaelezea kwenye point (a) na pia ni maskini wa kutupwa na hata wakienda shule hufeli.[/QUOTE]

Mkuu umeniacha Hoi KWELI HAPO. SINA LA ZIADA! Duuuhhh, Hii kali mkuu. Ila umesahau hao ndo wapiga kura waaminifu! kwa yeyote anayetaka uongozi inabidi adeal na hili group!
 
Koba,

Sidhani kama mambo yamebadilika. Mimi nimefanya kazi na TIC toka mwaka 2003 na nimeshaandika mara nyingi kwamba ni institution pekee ya serikali ambayo naona inajitahidi kufanya kazi ipasavyo. Wanaweza kuwa na matatizo yao kwa mfano kuweka nguvu zaidi kwa wageni badala ya kufanya matangazo ya maana ili hata wazawa wajue kuna chombo kama hicho. Sisi wametusaidia sana ingawaje naamini wangeweza hata kusaidia zaidi ya hapo, lakini sio mbaya.

Kuhusu banks huko ndiko kulikojaa ujinga. Wanapata pesa za bure za wafanyakazi mjini na wakisikia miradi iliyoko nje ya mjini matatizo yanaanza. Nikupe mfano kuna bank moja ya maana hapo mjini walitunyima sisi overdraft ya milioni 10 pamoja na kuwa na account nao, kupitisha kwao pesa zaidi ya milioni 100, kuwa na assets zenye thamani ya zaidi ya milioni 200 na pia kuwa na contract ya kampuni ambayo walitaka kupanga ofisi ambayo ndio tulikuwa tunaomba hizo pesa ili kumalizia haraka haraka. Wakatupotezea muda wetu bure mpaka mimi nikapata hizo pesa na kumalizia ofisi na baada ya mwezi tukalipwa.

Hiyo sio mara ya kwanza, nina mifano ya bank kibao. Kuna matatizo mengi sana kuanzia rushwa mpaka ukabila. Kuna jamaa mmoja STANBIC kazi yake ilikuwa kupitisha miradi ya kwao tu. Ukija TRA ndio kabisa, wana ku frustrate mpaka unataka kurusha ngumi.

Serikali yenyewe ndio kabisa, kuna safari nilifunga safari yangu toka UK kuja kuonana na kigogo mmoja wa serikali, nikaahidiwa nitamwona. Nilipofika, mizunguko ikaanza na mpaka likizo ikaisha hakukuwa na kitu. Nilikuwa tayari kupiga gari mpaka kumfuata kule alikokuwa mahali popote TZ, lakini hakuna kitu.

Mimi ni mwendaji wa mikutano ya investors hasa hapa UK, akina Mramba hao wababaishaji tu, anakwambia tunataka vijana kama nyie, siku ametua Dar, huwezi kumwona tena. Wanaahidi ujinga ambao hawawezi kutimiza.

Naweza kuandika kurasa 100 juu ya ujinga wa sisi Watanzania. Mimi wengine wanasena niko arrogant, sawa ukiniletea ujeuri na mimi ninakuwa jeuri. Mimi huwa nasema mtu kama mimi nisipokataa huo upuzi nani wataukataa? Nina kazi yangu ambayo ni gurantee ya maisha yangu, hivyo kila ninachofanya cha ziada hakuna pressure kubwa ya kupata faida haraka haraka, hivyo sioni umuhimu wa kutoa rushwa au kuwanyeyekea watu kama miungu.

Ninaamini nakuwa treated fairly na wazungu huku Ulaya kuliko hao ndugu zetu vigogo hapo Tanzania.

Bila ya ujinga huo kuondoka, tusitegemee maendeleo makubwa. Wewe fikiria kule ninakoinvest mimi, labda mradi wetu ndio mkubwa lakini toka tuanze sijawahi kumwona hata kiongozi wa serikali akija na kutuuliza tunaendeleaje, tuna matatizo gani nk. Unategemea viongozi wa namna hiyo ndio wafanye mabadiliko TZ? Badala yake wanafanya kila kitu kukukwamisha.Wewe nenda kawaaambie wakusaidia barua ya recomendation kwasababu inatakiwa sehemu, watakizungusha na urasimu kibao.

Wachawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe. Nenda mabaraza ya wafanyabiashara yale ya akina Musiba na wengine, wanajifagilia wenyewe badala ya kuwasaidia investors vijana na wapya ili waweze kushinda urasimu wa pale mwanzoni. Kazi zio kuongozana na rais na kutoa hotuba za mambo ambayo hawayafanyi. Wacha niache maana nimelelemika sana! kwi kwi kwi!!!

Waafrika wanaweza elimika lakini si viongozi wazuri katika kuongoza jumuiya zao za kiafrika na ndio matokeo ya nchi za kiafrika kua nyuma.
Viongozi wa Ki-Afrika hawapendi kuambiwa ama kushauriana ama kuwa na mazungumzo na raia wao hasa kwa kuogopa kua changamoto zitakazotolewa zitakua tofauti na yale wayafikiriayo. Pia hupenda wao waonekane kama ndio class ya wenye uwezo kiuchumi na kimadaraka na wanapenda kutukuzwa kama vile wanajua kila kitu kiasi kwamba hawataki mawazo tofauti wala hawataki kumkomboa mtu yeyote kwani manaogopa ushindani. Ukiwauliza watakataa na watasema wapo kwa ajili ya watu wakati wanajua si kweli wanachosema.
Ukiwa Mhindi, Mwarabu ama Mzungu kwao si tatizo maana sio mwafrika, maana hata ukiwa na pesa lakini bado yeye anazo kuzidi waafrika wengine. Hasa huo ndio Utanzania: Viongozi wapo kwa ajili yao wenyewe na si watu wao.
 
...haya ndio naita majungu ,nani kakuambia walioko States/Europe wamekimbia nchi na hiyo akili ya kusema wanakimbilia huku kufaidika as if kuna chochote kinakuwa handed freely is plain stupid,wewe mzalendo ambaye hujakimbia nchi inawezekana mchango wako ni mdogo kuliko yule unaye muita mbinafsi na mlowezi,najua watu kibao wanasomesha ndugu zao na wanatuma pesa nyingi sana nyumbani kwa ajiri ya kufanya kazi nje na wasingeweza kusaidia chochote kama wangeendelea kukaa hapo,kumbuka watu wana haki ya kuishi popote wanapotaka!

Waafrica wengi kila leo wanakufa huko visiwa vya kanary wakijaribu kuvuka kwenda ulaya!Sasa na jana mawaziri wa immigration wamepitisha sheria ya kudhibiti uhamiaji nchi zote 27 za umoja wa ulaya zimepitisha masharti yatakuwa kibao!Kwa nini tusiendeleze nchi zetu hadi tunawekewa masheria hivyo?Hivi sisi Watanzania na waafrica kwa ujumla hatujiulizi?
Watu wangekuwa na na haki ya kuishi popote jana Mawaziri wa umoja wa ulaya wangekaa huko CANNES ufaransa kuwewekea masheria waafrica wasije ulaya?
 
Hivyo suala linakuja ni kwa nini hapa tanzania ni vigumu sana kutoka kwenye ziro point? Kwa nini vijana wetu kama wanaweza kufanya kazi kwa bidii wakiwa nje hapa nyumbani washindwe? Naamini kuna kitu zaidi ya kufanya kazi kwa bidii.

One factor inayochangia kuchacharika Watz nje ni kuwa, whereas Bongo usipohangaika bado utaishi maana kuna mjomba, shangazi, rafiki wa kukubeba etc..nje usipochacharika utakufa njaa! Everybody for himself and God for us all.
Its all about struggling to survive..Bongo life is made too simple na ndio maana maneno ni mengi kuliko vitendo..hata kupigania haki..there is more of lip service than real action.
 
Koba,

Sidhani kama mambo yamebadilika. Mimi nimefanya kazi na TIC toka mwaka 2003 na nimeshaandika mara nyingi kwamba ni institution pekee ya serikali ambayo naona inajitahidi kufanya kazi ipasavyo. Wanaweza kuwa na matatizo yao kwa mfano kuweka nguvu zaidi kwa wageni badala ya kufanya matangazo ya maana ili hata wazawa wajue kuna chombo kama hicho. Sisi wametusaidia sana ingawaje naamini wangeweza hata kusaidia zaidi ya hapo, lakini sio mbaya.

Kuhusu banks huko ndiko kulikojaa ujinga. Wanapata pesa za bure za wafanyakazi mjini na wakisikia miradi iliyoko nje ya mjini matatizo yanaanza. Nikupe mfano kuna bank moja ya maana hapo mjini walitunyima sisi overdraft ya milioni 10 pamoja na kuwa na account nao, kupitisha kwao pesa zaidi ya milioni 100, kuwa na assets zenye thamani ya zaidi ya milioni 200 na pia kuwa na contract ya kampuni ambayo walitaka kupanga ofisi ambayo ndio tulikuwa tunaomba hizo pesa ili kumalizia haraka haraka. Wakatupotezea muda wetu bure mpaka mimi nikapata hizo pesa na kumalizia ofisi na baada ya mwezi tukalipwa.

Hiyo sio mara ya kwanza, nina mifano ya bank kibao. Kuna matatizo mengi sana kuanzia rushwa mpaka ukabila. Kuna jamaa mmoja STANBIC kazi yake ilikuwa kupitisha miradi ya kwao tu. Ukija TRA ndio kabisa, wana ku frustrate mpaka unataka kurusha ngumi.

Serikali yenyewe ndio kabisa, kuna safari nilifunga safari yangu toka UK kuja kuonana na kigogo mmoja wa serikali, nikaahidiwa nitamwona. Nilipofika, mizunguko ikaanza na mpaka likizo ikaisha hakukuwa na kitu. Nilikuwa tayari kupiga gari mpaka kumfuata kule alikokuwa mahali popote TZ, lakini hakuna kitu.

Mimi ni mwendaji wa mikutano ya investors hasa hapa UK, akina Mramba hao wababaishaji tu, anakwambia tunataka vijana kama nyie, siku ametua Dar, huwezi kumwona tena. Wanaahidi ujinga ambao hawawezi kutimiza.

Naweza kuandika kurasa 100 juu ya ujinga wa sisi Watanzania. Mimi wengine wanasena niko arrogant, sawa ukiniletea ujeuri na mimi ninakuwa jeuri. Mimi huwa nasema mtu kama mimi nisipokataa huo upuzi nani wataukataa? Nina kazi yangu ambayo ni gurantee ya maisha yangu, hivyo kila ninachofanya cha ziada hakuna pressure kubwa ya kupata faida haraka haraka, hivyo sioni umuhimu wa kutoa rushwa au kuwanyeyekea watu kama miungu.

Ninaamini nakuwa treated fairly na wazungu huku Ulaya kuliko hao ndugu zetu vigogo hapo Tanzania.

Bila ya ujinga huo kuondoka, tusitegemee maendeleo makubwa. Wewe fikiria kule ninakoinvest mimi, labda mradi wetu ndio mkubwa lakini toka tuanze sijawahi kumwona hata kiongozi wa serikali akija na kutuuliza tunaendeleaje, tuna matatizo gani nk. Unategemea viongozi wa namna hiyo ndio wafanye mabadiliko TZ? Badala yake wanafanya kila kitu kukukwamisha.Wewe nenda kawaaambie wakusaidia barua ya recomendation kwasababu inatakiwa sehemu, watakizungusha na urasimu kibao.

Wachawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe. Nenda mabaraza ya wafanyabiashara yale ya akina Musiba na wengine, wanajifagilia wenyewe badala ya kuwasaidia investors vijana na wapya ili waweze kushinda urasimu wa pale mwanzoni. Kazi zio kuongozana na rais na kutoa hotuba za mambo ambayo hawayafanyi. Wacha niache maana nimelelemika sana! kwi kwi kwi!!!


Mtanzani You are quite right.
In almost all areas ..kuna mismatch between policy declarations and what is obtained on the ground.Wanasiasa wako wepesi sana kutamka kuwa wanataka kupromote wazalendo wawekeze, wajikwamue kiuchumi.TIC kwa mfano wanaweza wakajitahidi sana ku speed us things... utakapokuja kwa wengine kama vile TRA utachezeshwa rumba kali mpaka uweke mikono kichwani.Whether unakwamishwa kwa sababu ya rushwa au vipi..its another story! Serikali yetu inahitaji kufanya tathmini za mara kwa mara kuona ni vipi sera ziko supported na structures of implementation. Kama kuna vikwazo basi vishughulikiwe haraka ili kuepuka ku frustrate wazawa zaidi na kuwafanya waikimbie nchi yao waliyopewa na Muumba wao!
 
Back
Top Bottom