FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,793
- 5,366
hata mie naipenda sana nchi yangu ya TZ lakini watu wake loh hata hatupendani hata kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lazima kwa kila mtz na mtu mwingine yeyote kuwa mzalendo kwa nchi yake kwani ''MJENGA NCHI NI MWANANCHI NA MBOMOA NCHI NI MWANANCHI HUYOHUYO'' huwezi kujivua utaifa eti kwa sababu nchi yako ni masikini kwani wewe ni sehemu ya tatizo.....na kama wewe ni mtz na umeulizwa kuhusu uzalendo wako kwa taifa lako ukajibu unependa kuwa mmarekani utakuwa unachemka kwani wamarekani walijenga taifa lao kwa kuweka mbele uzalendo kipindi walipo kuwa masikini....hata nchi ambazo inaaminika wananchi wake sio wazalendo inawezekana wamejibu kuwafurahisha waulizaji lakini ukweli unabaki moyoni mwao kwamba hawawezi kuisaliti nchi yao.....hapa bado sijaamini..........utafiti ulifanyika kwa watz waishio ng'ambo ambao hawajui kinachoendelea hapa nchini.Lazima tufikie mahali tujiulize namna tulivyo saidia kuijenga nchi na tuende mbali zaidi kwa kujiuliza ''SISI TUMEIFANYIA NINI NCHI YETU KABLA YA NCHI YETU KUTUFANYIA KITU'' mmoja mmoja pale alipo ajielize alivyo shiriki kulijenga taifa................hizo takwimu ni ubabaishaji tu....