Watanzania wavamiwa na kupewa kichapo Ugiriki

Haya rudini sasa tugange njaa wote huku, huko hamtakiwi Mpwa
hii inanikumbusha wakati flani nilipo rejea home kusalimia jamii,ndg.mmoja ndani ya familia yangu badala ya kunipa moyo kwa mafanikio machache niliyo yapata akaniambia "kama maisha magumu huko rudi nyumbani''.....mwee!wabongo kwa kuvunjana moyo.:frusty:
 
Sidhani kama imefikiwa kiwango hicho, nchi za ulaya vijana mitaani wamekuwa choka ile mbaya, wakishavuta ile kitu kwenye magenge yao siwezi kushagaa kwa yaliyojilia sana sana wakishahamasishana kwa kisingizio fulani kama kilichotokea Dar kwani kitakuwa kimeonyeshwa live kwenye vyobo vya habari huko kwao.

Mkuu, kwani definition ya terrorism ni nini?
Hii ofisi ingekuwa ni ya jumuiya ya wamarekani waishio Ugiriki hii habari ingehit vyombo vya habari duniani kote...
 
No no Mpwa mimi nilikua natania bhana hahahahaaaa MUNGU akutanguliena katika kipindi hiki cha mpito
hii inanikumbusha wakati flani nilipo rejea home kusalimia jamii,ndg.mmoja ndani ya familia yangu badala ya kunipa moyo kwa mafanikio machache niliyo yapata akaniambia "kama maisha magumu huko rudi nyumbani''.....mwee!wabongo kwa kuvunjana moyo.:frusty:
 
Lakini hawa jamaa wamekuwa kwenye maandamano na mapambano na Polisi muda mrefu na jana walikuwa wakirusha mawe na wapizidi kupambana na Polisi so inawezekana hayo ya watz yamekutana na dhahma hiyo!!!!
 


Rudi home kuna makao mazuri Tunafurah , Njooni Nyumbani.
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu wewe ndiye huyu jamaa mwenye Rasta??

578344_408018332585236_646539818_n.jpg
 
Hii ni ishara kuwa mahusiano ya nchi yetu na baadhi ya matifa siyo mazuri.Pengine ni kwa sababu za kisiasa au kwa ujinga wa baadhi ya watu katika mataifa hayo.Kama kitendo cha yule daktari wa kingiri kuvamiwa barabarani kinapelekea watanzania wenzetu kufanyiwa jambo kama lile basi ni ujinga maana wizi ni wizi tu kwani hata sisi tunavamiwa ndani ya nchi yetu,ila vitendo hivyo ni vya wizi wa kawaida basi asilaumiwe mtu bali tuimarishe ulinzi.

Vinginevyo mimi nawapa pole watanzania wenzetu na tuviachie vyombo husika vifanye kazi yake.
 
Greece was once a great nation. Ni nini kilichoiboronga hii nchi?
 
Greece was once a great nation. Ni nini kilichoiboronga hii nchi?

Kila chenye mwanzo hakikosi mwisho na sasa ni zamu ya Africa kuitumia nafasi hii kukuza uchumi kwa kutumia rasilimali ikiwa viongozi watakuwa na nia pamoja na wananchi.
 
Kweli na zamu ya Afrika sasa kujikomboa kwa kutumia rasilimali zake vinginevyo tutapigika nch za watu mpaka tuchoke
 
mbona mnahangaika ivo? mnafanya nini kwa watu nyie? rudini home mjenge nchi yenu...ona sasa mnahangaikahangaika tu ugenini huko? nini mmefata huko? hadi mnataka kuzeekea huo, ona wengine wameshakuwa wazee, manafanya nini ugenini?
 
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu! Tanzania imegeuka nchi ya mizaha. Tunauwa watu wetu hakuna kinachofanyika. Tumewaulia wao na sasa wanaanza kutuambia kwa matendo tutafute njia ya kurudi kwetu ambako uhai ni mzaha na usanii mtupu.
 
Bora huku kuliko yaliyotokea Nyololo iringa.
yaani mmechoka ivo, mnaonekana mnabaguliwa, nchi yenyewe hiyo inafilisika, mnaonekana sura za kizee,...halafu bado tu unasema ugiriki bora kuliko kwenu?..hahaha, au mnafurahia kuona hayo majengo mazuri ambayo wenzenu walijengea nchi yao na nyie mnafaidi kuyakalia tu...njoni mjenge nchi yenu na wao waje kukaa huku, wazamie box...
 
Back
Top Bottom