Bowbow
JF-Expert Member
- Oct 20, 2007
- 541
- 32
Ndugu wanaJf,
Watanzania ni wakati sasa umefika wa kudhamini maisha yetu zaidi kuliko pesa. Ugumu wa maisha usiwe ni chanzo cha kurisk maisha yetu kwa sababu ya hela za haraka haraka.
Nikianzia kwa wale ndugu zetu walio njee ya Tanzania: huko umatumbini kazi ni nyingi mno za kujipatia kipato, kuanzia proffessional job to non proffessional. Ukifagia utapata hela, ukibeba mabox utapata hela, haiiingi akilini eti tunapigana kuuuza madawa ili upate utajiri. Yeyote anayesupport hili NASEMA HANA AKILI; ANASTYLE KUWA DEPORTED HUKO ALIPO NA ASIRUDISHWE TANZANIA bali apelekwe Colombia au Afganistan
Sasa hivi Netherlands, Denmark, Sweden, Germany, UK, Belgium watanzania tunajulikana kama wasambazaji ama wauzaji madawa kwa kushirikiana na wanigeria. Lakini wanaofanya hiyo biashara ni wachache hivyo wanaharibu reputation ya watanzania wengine.
Pili, kwa ndugu zetu mlio nyumbani, msidanganywe kutumiwa kubeba, kusambaza, kutumia au hata kusaidia kwa namna yeyote kusambaza madawa hayo. Najua kwenye jamii yeyote kuna watu waliofanikiwa kupata fedha kwa njia hiyo lakini tuangalia yafuatayo.
Moja hiyo hela yake aliyoipata kutokana na hiyo biashara imekuwa sustainable ama imeisha ghafla baada ya kusimama au kukamatwa na pilisi?????
Pili, Kwa nini unaangalia walipata utajiri tu usiangalie waliotumia hayo madawa leo wako kwenye hali gani? wanaweza kufanya kazi za kawaida tena au ndio mwisho wao, hawana nguvu tena??
Tatu, Ni wanajamii wangapi wamefariki kutokana na madawa hayo either kwa kutumia kiwango kikubwa kupita kiasi, kupasukiwa kwa kete za madawa hayo tumboni wakiwa njiani katika harakati za kusafirisha ama kurushana fedha zitokanazo na biashara hiyo????
Ni watu wangapi wametamani kujinasua kutoka kwenye biashara/matumizi ya mdawa hayo sasa wameshindwa matokeo yake wamekuwa mzigo kwa wana familia husika?????
Madawa ya kulevya yapo aini nyingi kuanzia bangi, mirungi, kuberi, heroine, cocaine n.k. wengi tumezoea kufukiria cocaine au heroine na kidogo bangi. Lakini vyote vina madhara na vyote vinasababisha vifo vingi katika process zote(kuzalisha, kusambaza, kuuza, kutumia, na hata kugawana mapato yatokanayo na biashara hiyo). Mimi sijui kuandika makala, lakini napenda kutoa ombi kwa wanajamii
Tuache unafiki, narua tena watanzania tuache unafiki na kutoa sifi za kijinga eti ni mpiganaji alikuwa anatafuta fedha. Umasikini tulionao pia unachangiwa na watu hawa. Mfano
Anapoathirika mwanajamii tunatumia fedha nyingi kumsaidia muathirika huyo wa madawa either kwa fedha aweze kupata dozi, tunatumia muda wetu mwingi kuhakikisha hatuiibiii, haibi kwa majirani. Pindi anapokamatwa tunatumia muda kufuatilia kesi mahakani, gerezani na kwingineko badala ya kutumia resources hizo kwa ajili ya vitu vingine
Hela hizo chafu hazitumiki kihali kwenye system, so alot of foreign money zinaenda nje kinyemela na kusababisha kushuka kwa thamani ya shillingi yetu which to economic difficulties
pale inapotokea kifo tena inapokuwa nje ya nchi inawagharimu wanandugu, watanzania wengine pamoja na taifa kwa ujumla na wakati mwingine hata watu kupoteza kazi.
Hiki ndio chanzo kikubwa cha coruption hapa Tanzania, na pale mtu anapokataa kupokea rushwa zao hufanya juu chini kummaliza, ingawa haiwekwi wazi nini chanzo zh mtu kuuwawa(sina uhakika lakini linasemwa Amina chifupa chanzo cha kifo ni madawa hayo)
So watanzania tuendelee kufa hadi lini????
Tutaacha huuu unafiki wa kuwatetea watumiaji, wasambazaji, wauzaji wa madawa hadi lini?????
kama wewe unamfahamummojawapo kwa nini usiwape polisi tips iwe ndani ya Tanzania au nje ya Tanzania. Tena walio nje ya Tanzania ndio chanzo kikubwa cha matatizo Tanzania. Hivyo tuchukue hatua sasa
watazania wanaokufa kila kukicha kwa sababu ya madawa ya kulevya kwa sababu ya kuingia kwenye hiyo biashara
Watanzania ni wakati sasa umefika wa kudhamini maisha yetu zaidi kuliko pesa. Ugumu wa maisha usiwe ni chanzo cha kurisk maisha yetu kwa sababu ya hela za haraka haraka.
Nikianzia kwa wale ndugu zetu walio njee ya Tanzania: huko umatumbini kazi ni nyingi mno za kujipatia kipato, kuanzia proffessional job to non proffessional. Ukifagia utapata hela, ukibeba mabox utapata hela, haiiingi akilini eti tunapigana kuuuza madawa ili upate utajiri. Yeyote anayesupport hili NASEMA HANA AKILI; ANASTYLE KUWA DEPORTED HUKO ALIPO NA ASIRUDISHWE TANZANIA bali apelekwe Colombia au Afganistan
Sasa hivi Netherlands, Denmark, Sweden, Germany, UK, Belgium watanzania tunajulikana kama wasambazaji ama wauzaji madawa kwa kushirikiana na wanigeria. Lakini wanaofanya hiyo biashara ni wachache hivyo wanaharibu reputation ya watanzania wengine.
Pili, kwa ndugu zetu mlio nyumbani, msidanganywe kutumiwa kubeba, kusambaza, kutumia au hata kusaidia kwa namna yeyote kusambaza madawa hayo. Najua kwenye jamii yeyote kuna watu waliofanikiwa kupata fedha kwa njia hiyo lakini tuangalia yafuatayo.
Moja hiyo hela yake aliyoipata kutokana na hiyo biashara imekuwa sustainable ama imeisha ghafla baada ya kusimama au kukamatwa na pilisi?????
Pili, Kwa nini unaangalia walipata utajiri tu usiangalie waliotumia hayo madawa leo wako kwenye hali gani? wanaweza kufanya kazi za kawaida tena au ndio mwisho wao, hawana nguvu tena??
Tatu, Ni wanajamii wangapi wamefariki kutokana na madawa hayo either kwa kutumia kiwango kikubwa kupita kiasi, kupasukiwa kwa kete za madawa hayo tumboni wakiwa njiani katika harakati za kusafirisha ama kurushana fedha zitokanazo na biashara hiyo????
Ni watu wangapi wametamani kujinasua kutoka kwenye biashara/matumizi ya mdawa hayo sasa wameshindwa matokeo yake wamekuwa mzigo kwa wana familia husika?????
Madawa ya kulevya yapo aini nyingi kuanzia bangi, mirungi, kuberi, heroine, cocaine n.k. wengi tumezoea kufukiria cocaine au heroine na kidogo bangi. Lakini vyote vina madhara na vyote vinasababisha vifo vingi katika process zote(kuzalisha, kusambaza, kuuza, kutumia, na hata kugawana mapato yatokanayo na biashara hiyo). Mimi sijui kuandika makala, lakini napenda kutoa ombi kwa wanajamii
Tuache unafiki, narua tena watanzania tuache unafiki na kutoa sifi za kijinga eti ni mpiganaji alikuwa anatafuta fedha. Umasikini tulionao pia unachangiwa na watu hawa. Mfano
Anapoathirika mwanajamii tunatumia fedha nyingi kumsaidia muathirika huyo wa madawa either kwa fedha aweze kupata dozi, tunatumia muda wetu mwingi kuhakikisha hatuiibiii, haibi kwa majirani. Pindi anapokamatwa tunatumia muda kufuatilia kesi mahakani, gerezani na kwingineko badala ya kutumia resources hizo kwa ajili ya vitu vingine
Hela hizo chafu hazitumiki kihali kwenye system, so alot of foreign money zinaenda nje kinyemela na kusababisha kushuka kwa thamani ya shillingi yetu which to economic difficulties
pale inapotokea kifo tena inapokuwa nje ya nchi inawagharimu wanandugu, watanzania wengine pamoja na taifa kwa ujumla na wakati mwingine hata watu kupoteza kazi.
Hiki ndio chanzo kikubwa cha coruption hapa Tanzania, na pale mtu anapokataa kupokea rushwa zao hufanya juu chini kummaliza, ingawa haiwekwi wazi nini chanzo zh mtu kuuwawa(sina uhakika lakini linasemwa Amina chifupa chanzo cha kifo ni madawa hayo)
So watanzania tuendelee kufa hadi lini????
Tutaacha huuu unafiki wa kuwatetea watumiaji, wasambazaji, wauzaji wa madawa hadi lini?????
kama wewe unamfahamummojawapo kwa nini usiwape polisi tips iwe ndani ya Tanzania au nje ya Tanzania. Tena walio nje ya Tanzania ndio chanzo kikubwa cha matatizo Tanzania. Hivyo tuchukue hatua sasa
watazania wanaokufa kila kukicha kwa sababu ya madawa ya kulevya kwa sababu ya kuingia kwenye hiyo biashara