Nimewaza sana na kujiuliza nini Tofauti ya Mtanzani na Mhindi(Mtanzania mwenye asili ya India).Inaonekana Serikali na makampuni mengi ya yamekuwa yakipiga deal na wahindi kuibia fedha na mali za wananchi watanzania hawakufanya big deal for long time..Hii ishu ya Balali inaonekana Watanzani ambao hawana asili ya kihindi ndio wamepiga deal na imekuwa BIG DEAL!!mimi sipendi kuona Mtanzania yoyote anafuja mali ya uma kwa sababu ya cheo na nafasi yake...lakini pia nisingependa kuona Wananchi wanakuwa Bias kwenye kuhukumu Deal ikipigwa na wahindi inakuwa poa ila ikipigwa na mmatumbi inakuwa sio poa..
Nnaombamaoni yako ya dhati
Nnaombamaoni yako ya dhati