ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,087
- 12,990
😊😊 I bet,wewe siyo mzee..... utakua mdada wa miaka kama 28+,but anyway it might be true...Hizi ni tabia za kizee, huwa hatufikiri mara mbili na hatufichi hisia hata kidogo. Ni kama vile ambavyo hatuwezi kuhimili haja ndogo kwa muda mrefu kama tulivyokuwa vijana..... aahahahahhaaa.
Asante kwa mapendoo..