The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,393
- 12,977
Hii ni sehemu ya Watanzania waliokuwa Coco beach kwenye onyesho la bahatika na Tigo
Source: Michuzi
Swali langu: Huu umati wote unafuata burudani ya bure, bahati nasibu au ndiyo kukosa la kufanya?? Inaelekea kabisa hata mikutano ya siasa inawezekana watu ni sehemu tu ya kupotezea siku.
Naomba mod unisaidie kukuza picha!