Watanzania Wanapenda vya bure au Hawanacha kufanyanya???

The Khoisan

JF-Expert Member
Jun 5, 2007
15,393
12,977
10.JPG 10.JPG

Hii ni sehemu ya Watanzania waliokuwa Coco beach kwenye onyesho la bahatika na Tigo
Source: Michuzi

Swali langu: Huu umati wote unafuata burudani ya bure, bahati nasibu au ndiyo kukosa la kufanya?? Inaelekea kabisa hata mikutano ya siasa inawezekana watu ni sehemu tu ya kupotezea siku.

Naomba mod unisaidie kukuza picha!
 
simple ans!watanzania wavivu na hakuna ajira viwanda hakuna,kilimo cha mvua hakilipi utawala uliopo unaendekeza hayo uliyaona
 
Back
Top Bottom