rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,889
- 3,412
wakuu hili jambo nimelifatilia kwa muda mrefu sasa
wengi wetu hapa jf tunapenda sana zile topic nyepesi hasa za mapenzi,utani na jokes,dini na nyingine kama hizo
ikitokea topic ya kuumiza kuchwa kufikiri wachache sana wanajitokeza
hii inanifanya niukubali usemi wa rais mstaafu mkapa kwamba watanzania ni wavivu wa kufikiri
wengi wetu hapa jf tunapenda sana zile topic nyepesi hasa za mapenzi,utani na jokes,dini na nyingine kama hizo
ikitokea topic ya kuumiza kuchwa kufikiri wachache sana wanajitokeza
hii inanifanya niukubali usemi wa rais mstaafu mkapa kwamba watanzania ni wavivu wa kufikiri