Watanzania wanapenda "molestation"

jogi

JF-Expert Member
Sep 25, 2010
25,558
25,320
Wameisherehekea vizuri sana siku ya uhuru wa kujiamulia mambo including molestation.

Kiongozi mkuu amewasamehe huku akijivunia na kujipiga kifua kutumia vifungu vya katiba!
Of all criminal mlawiti aliyethibitika!

Yaani watanzania mna maana mlawiti miongoni mwa hawa hawa anaowasaka mkuu wa mkoa wa dar?

Kwani wezi wa kuku wameaamehewa wooote!
Mbona hatukuambiwa!

Kah jamani walawiti wa watoto! (proven beyond reasonable doubt) wanaachiwa huru kabisaaa! Sio hata kupunguziwa adhabu!

Hivi hakuna vifungu vya katiba vinavyompa mamlaka magufuli kuwapa tu hata fidia waliovunjiwa vibanda vyao pembezoni mwa barabara ya morogoro? Kwakweli vingeshangiliwa kupita maelezo.

Uatawi wa jamii unaovurugwa na kukosekana makazi kwa mamia kama sio maelfu ya familia zilizobomolewa nyumba zao kweli haikugusa mshipa wa huruma ya magufuli isipokuwa walawiti! Na watanzania wamelipuka kwa shangwe!

Ulawiti umezijaza nyoyo za watanzania kupita maelezo.

Huruma za aina kwa wahanga wa tetemeko zingeongeza mshikamano wa kitaifa, tena mshikamano chanya.

Sawa bwana ngoja nijite kwenye kupongeza.

Nakupongeza magufuli kwa kutufelisha.

Nakupongeza magufuli kwa kumzidi chifu mangungo.

======Msishangae ikipelekwa kusikojulikana.

Au kuunganishwa na thread nyingine hata kama hazifanani========
 
Watanzania wameshaachana na matumizi ya akili zao muda mrefu sana uliopita.......

Vichwa vyao wamewakabidhi wanasiasa hivyo basi wamegeuka wanasesere wa wanasiasa.......

Iwe alisingiziwa au alifanya kweli( kwa mujibu wa mahakama)....lakini lile hali kuwa jambo la kushangilia kiasi kile.......nadhani lile jambo limeleta picha mbaya sana kwenye nchi yetu kwa ujumla.........
 
Watanzania wameshaachana na matumizi ya akili zao muda mrefu sana uliopita.......

Vichwa vyao wamewakabidhi wanasiasa hivyo basi wamegeuka wanasesere wa wanasiasa.......

Iwe alisingiziwa au alifanya kweli( kwa mujibu wa mahakama)....lakini lile hali kuwa jambo la kushangilia kiasi kile.......nadhani lile jambo limeleta picha mbaya sana kwenye nchi yetu kwa ujumla.........
kweli kabisa ni aibu tupu mkuu.mtu amefiira watoto wadogo unamuachia huru tena kwenye jukwaa kubwa kabisa la siku ya uhuru? yule babu seya anaonekana alifanya kweli bora hata nguza
 
Watanzania wameshaachana na matumizi ya akili zao muda mrefu sana uliopita.......

Vichwa vyao wamewakabidhi wanasiasa hivyo basi wamegeuka wanasesere wa wanasiasa.......

Iwe alisingiziwa au alifanya kweli( kwa mujibu wa mahakama)....lakini lile hali kuwa jambo la kushangilia kiasi kile.......nadhani lile jambo limeleta picha mbaya sana kwenye nchi yetu kwa ujumla.........
Ingekuwa afadhali awapunguzie kifungo kiwe zaidi kidogo ya kifungo cha lulu say miaka mnne au mitano.
Yeye kawatoa mazima!!!

Wafungwa waliotgibitika kuwa ninihiliyuu watoto!!

Thamani ya mtoto imelindwaje jamani?

Mahakama imepuliziwa ganzi.
 
kweli kabisa ni aibu tupu mkuu.mtu amefiira watoto wadogo unamuachia huru tena kwenye jukwaa kubwa kabisa la siku ya uhuru? yule babu seya anaonekana alifanya kweli bora hata nguza

Mimi binafsi jambo lolote linalomhusu binaadamu silikatai wala kulikubali moja kwa moja.....
 
Those niccas were paedophiles, anayesema haiwezekani baba na mwana kushiriki ujinga hajui jinsi gani mental disorder inavyoweza kumharibu mtu.

Ila ndiyo katiba yetu ishampa mamlaka, tutaimba na kuimba ndiyo ishakua.
 
Kuna watu wanaozea jela bila sababu za msingi kwa kesi ndogo ndogo na kubwakubwa ziso mashiko na wameachwa huko waendelee kuozea huko lakini watu wanacheeeka.
 
Sawa tumejua kwamba umejifunza neno ,,molestation“ kwa hiyo tukupe hongera? Basi hongera, asshole!
Nampongeza pombe kwa kuonyesha huruma kwa walawiti. Uvccm wasije wakaanza kujihusisha na hii mambo wakitegemea sherehe za uhuru.
 
Ingekuwa afadhali awapunguzie kifungo kiwe zaidi kidogo ya kifungo cha lulu say miaka mnne au mitano.
Yeye kawatoa mazima!!!

Wafungwa waliotgibitika kuwa ninihiliyuu watoto!!

Thamani ya mtoto imelindwaje jamani?

Mahakama imepuliziwa ganzi.

Watanzania wameshakabidhi akili zao kwa wanasiasa......

Hakuna mwenye kujisumbua hata chembe kufikiria jambo hilo....hisia ziko juu sana na mihemko.......

Sasa hivi huyo anaonekana kama shujaa wa uhuru.........

Na huu ni moja ya udhaifu mkubwa wa katiba

Katiba inamfanya raisi kuwa sultan.....
 
No. Under Title 15-22-36 (effective January 1, 2012), the Board of Pardons and Paroles has no power or authority to approve or order any parole, pardon, remission of fine or forfeiture, or other favorable treatment for any person convicted of any felony sexual assault or lewd or unlawful sexual act of a child under the age of 16 years.

Nchini Marekani kuanzia mwaka 2012 kosa la kumlawiti mtoto halisameheki.
Kama ni kweli hawa jamaa walilawiti watoto msamaha wao ungefaa uwe kuwaongezea adhabu ya viboko hiyo siku ya Uhuru.
 
Watanzania wameshakabidhi akili zao kwa wanasiasa......

Hakuna mwenye kujisumbua hata chembe kufikiria jambo hilo....hisia ziko juu sana na mihemko.......

Sasa hivi huyo anaonekana kama shujaa wa uhuru.........

Na huu ni moja ya udhaifu mkubwa wa katiba

Katiba inamfanya raisi kuwa sultan.....

Rais anao uhuru wa kusamehe wafungwa. Lakini kwa hili labda kama kuna siasa iliingia kwenye kufungwa hawa jamaa. Vinginevyo rais atakuwa kavuruga sana.
 
Rais anao uhuru wa kusamehe wafungwa. Lakini kwa hili labda kama kuna siasa iliingia kwenye kufungwa hawa jamaa. Vinginevyo rais atakuwa kavuruga sana.

Sio itakuwa kavuruga bali kavuruga sana

Ukiacha sarakasi za kisiasa lakini hii kesi imebeba taswira ya kijamii.......so taarifa yoyote inayohusu hii kesi lazima ipokelewe kwa hisia kali kwenye jamii......jamii hiyo hiyo ambayo inachukuliwa kama mtaji kwa wanasiasa.....
 
kweli kabisa ni aibu tupu mkuu.mtu amefiira watoto wadogo unamuachia huru tena kwenye jukwaa kubwa kabisa la siku ya uhuru? yule babu seya anaonekana alifanya kweli bora hata nguza
rais katenda Jambo moja jema Sana. Walisingiziwa hata ukiona mwenendo was ile kesi. Yani yule mwalimu alipangwa kabisa. Rais anajua ukweli was it kes.

Big up Magufuli
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom