NgumiJiwe
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 871
- 305
europe yote...watanzania wana compllicate wenyewe elimu yao.
taratibu mazee,usilete zileee za o-level/form six tulikuwa tunaongopeana eti elimu ya bongo form six sawa na ya chuo kikuu ulaya,mweh!
babu kuna shule zinatoa dozi mpaka utajuta kwanini uli enroll