Nsam
JF-Expert Member
- Oct 25, 2018
- 212
- 286
Narudia tena; tukidhani wanasiasa pekee ndio wenye jukumu lakujenga nchi yetu, basi TUTAHARIBIKIWA.
NI wajibu wa kila mmoja wetu kusimamia maendeleo ya nchi yetu. Tupigane kuilinda nchi yetu, wanasiasa wanatuchezea sana! Maisha yamekuwa magumu tukisema wanasema tunalalamika.
NI wajibu wa kila mmoja wetu kusimamia maendeleo ya nchi yetu. Tupigane kuilinda nchi yetu, wanasiasa wanatuchezea sana! Maisha yamekuwa magumu tukisema wanasema tunalalamika.