Watanzania Wanachangia Milioni 300 za harusi lakini hawawezi kuchangia Milioni 20 za kujenga darasa

Kutokujitambua kwako hakukupa haki ya kushangaa na kubeza uwezo wa watu wengine!

Unaweza ukawa vipi Tutor ukashindwa kuona falsafa ya andishi langu?...kwa nini ujibu juu juu kwa jazba?

Kama umeshindwa kuhoji, kupigania na kuisimamia serikali itimize majukumu yake kwako kupitia kodi unayolipa, unawezaje kuona uhovyo wa akili za wengine wakati za kwako tu hazikusaiidii hata kudai kile kilichostahili kwako?

Kama unashindwa jambo dogo namna hii, hilo kubwa la kuisimamia serikali kutumia vizuri kodi yako na hata kukuletea miundombinu muhimu ili ujiendeleze utaweza?

Sioni u Tutor ndani yako!
Nimekuelewa mkuu inaonekana wewe ndo wale wale mabingwa wa matusi! Endeleeni kuchangia harusi wakati elimu nchini inaendelea kushuka.
 
MARADHI MABAYA SANA KWA WATANZANIA …

“Hawataki kusoma vitabu na hawako tayari kuchangia elimu”

Wamarekani wana kiu ya kusoma vitabu tofauti na Watanzania na huu utamaduni wa kutosoma vitabu sijui tumerithishwa na nani. Lakini hiyo ndiyo dalili ya awali ya utamaduni wa Mtanzania kutothamini elimu.

Mfano angalia sherehe za harusi za watoto wa wakubwa ama familia za matajiri utaona siku moja tu harusi inagharimu mamilioni ya shilingi lakini wakubwa hao hao hawawezi kuchangia mamilioni kujenga darasa wala choo cha wanafunzi wako radhi kuandika "writeup" na kuiwasilisha USAID, DANIDA JICA UNDP wakiomba milioni chache kama msaada wa kujenga choo!

Mtu unashangaa harusi ya milioni 300 Watanzania wanazo wanachangia lakini choo au darasa linalogharimu milioni 20 wanataka mfadhili ajitolee haya ni maradhi mabaya tuombe Mungu atusaidie.

Inaandaliwa semina kwa ajili ya kutoa elimu kombozi ... watu hawataki kuhudhuria. Ukiwaambia wachangie kidogo hapo huoni mtu ... ukiwatangazia kuwa ni bure ... wanauliza kama kuna chakula na posho!

Kama wewe ni mmoja wa watu wa namna hii ujue wazi kuwa una matatizo makubwa sana kwenye mfumo wako wa kufikiri.

Mbona jibu ni dogo sana
Harusi ni jukumu Lao na madarasa ni jukumu la chombo kinachokusanya pesa zetu za kodi
 
MARADHI MABAYA SANA KWA WATANZANIA …

“Hawataki kusoma vitabu na hawako tayari kuchangia elimu”

Wamarekani wana kiu ya kusoma vitabu tofauti na Watanzania na huu utamaduni wa kutosoma vitabu sijui tumerithishwa na nani. Lakini hiyo ndiyo dalili ya awali ya utamaduni wa Mtanzania kutothamini elimu.

Mfano angalia sherehe za harusi za watoto wa wakubwa ama familia za matajiri utaona siku moja tu harusi inagharimu mamilioni ya shilingi lakini wakubwa hao hao hawawezi kuchangia mamilioni kujenga darasa wala choo cha wanafunzi wako radhi kuandika "writeup" na kuiwasilisha USAID, DANIDA JICA UNDP wakiomba milioni chache kama msaada wa kujenga choo!

Mtu unashangaa harusi ya milioni 300 Watanzania wanazo wanachangia lakini choo au darasa linalogharimu milioni 20 wanataka mfadhili ajitolee haya ni maradhi mabaya tuombe Mungu atusaidie.

Inaandaliwa semina kwa ajili ya kutoa elimu kombozi ... watu hawataki kuhudhuria. Ukiwaambia wachangie kidogo hapo huoni mtu ... ukiwatangazia kuwa ni bure ... wanauliza kama kuna chakula na posho!

Kama wewe ni mmoja wa watu wa namna hii ujue wazi kuwa una matatizo makubwa sana kwenye mfumo wako wa kufikiri.
Watanzania ni watu wa ajabu sana.

Binafsi sichangii harusi wala mazishi ya yeyote yule.

Ni michango isiyokuwa na tija.
 
Naona wengi mme-base kwenye madarasa na vyoo; vipi kuhusu kuchangia warsha na semina kwa ajili ya kuongeza maarifa?
Au hata semina / warsha inabidi zichangiwe na serikali?
Kumbuka mwanao anapokuwa anasomea kwenye mazingira magumu - faida ni kwa serikali kwa sababu inaendelea kuzalisha mbumbumbu wataoendelea kuiweka madarakani - hasara ni kwako na kwa taifa zima kwa sababu tutakosa watu wa kuliendeleza taifa letu.
Iwaingieni akilini kwamba serikali sio taifa! serikali sio nchi - serikali ni kikundi kidogo chenye uwezo wa kuwarubuni watu wengi kukiamini na kukipa ridhaa ya kutawala (sio kuongoza)
 
Nilipita kwenye kata fulani Mkoani Dodoma nilikuta vyoo vya shule ya msingi vina nembo ya OXFAM na USAID.Ni aibu kubwa.Ajabu zaidi eneo hilo ni ngome ya wale 'kijani na njano'.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Michango ya harusi ni Mila ngeni kwa watanzania iliingia Tanzania ikitokea Kenya ambako Wana kauli mbili kabisa ya michango ya harambee.Harusi kabla lilikuwa swala la ndugu wa karibu hasa wazazi mashangazi na wajomba hao ndio walikuwa waozaji na watoa Kila kitu hata vijana waoaji na waolewaji walikuwa hawatoi chochote hata mahari kijana alilipiwa na wazazi.Michango ikatoka Kenya ikatua Kilimanjaro hapo ndipo ikadaka ulimbukeni.Wakawa wanachangisha Kila mtu uwe jirani mlikutana barabarani au bar Toa michango!!!! Kutokana na mwingiliano makabila mengine nayo yakadakia hilo.Sasa hivi vikao vya michango ni vingi kuliko ibada za misikitini au makanisani.Iko haja kurudi kule ambako wazazi na ndugu wa karibu tu ndio waoze wengine waalikwe sherehe tu mwenye zawadi aje nayo akipenda maana zamani ilikuwa hivyo unaalika kwenye sherehe watu wanakuja na zawadi kibao kwa maharusi kama madebe ya Michele,mikungu ya ndizi,mikeka ya kulalia nk wakati hawakuombwa mchango kabisa wanatoa kwa roho nzuri Bila kukabwa Koo kuwa usipotoa shauri yako kama ilivyo sasa!!!!! Sasa hivi wafuatilia michango utafikiri magaidi wa alshabab wanavyokomalia hela ya mchango mtu utoe.
 
Nilipita kwenye kata fulani Mkoani Dodoma nilikuta vyoo vya shule ya msingi vina nembo ya OXFAM na USAID.Ni aibu kubwa.Ajabu zaidi eneo hilo ni ngome ya wale 'kijani na njano'.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unashangaa nini Tundu Lisu nguo anazovaa za kuomba kwa Wamarekani hukumsikia akiomba mchango wa hela za mavazi? Sema zile nguo anazovaa Lisu kaondoa label za Oxfam na USAID wakati hivyo vyoo Label za Oxfam na USAID hazijatolewa.Tundu Lisu ni CCM?
 
Michango ya harusi ni Mila ngeni kwa watanzania iliingia Tanzania ikitokea Kenya ambako Wana kauli mbili kabisa ya michango ya harambee.Harusi kabla lilikuwa swala la ndugu wa karibu hasa wazazi mashangazi na wajomba hao ndio walikuwa waozaji na watoa Kila kitu hata vijana waoaji na waolewaji walikuwa hawatoi chochote hata mahari kijana alilipiwa na wazazi.Michango ikatoka Kenya ikatua Kilimanjaro hapo ndipo ikadaka ulimbukeni.Wakawa wanachangisha Kila mtu uwe jirani mlikutana barabarani au bar Toa michango!!!! Kutokana na mwingiliano makabila mengine nayo yakadakia hilo.Sasa hivi vikao vya michango ni vingi kuliko ibada za misikitini au makanisani.Iko haja kurudi kule ambako wazazi na ndugu wa karibu tu ndio waoze wengine waalikwe sherehe tu mwenye zawadi aje nayo akipenda maana zamani ilikuwa hivyo unaalika kwenye sherehe watu wanakuja na zawadi kibao kwa maharusi kama madebe ya Michele,mikungu ya ndizi,mikeka ya kulalia nk wakati hawakuombwa mchango kabisa wanatoa kwa roho nzuri Bila kukabwa Koo kuwa usipotoa shauri yako kama ilivyo sasa!!!!! Sasa hivi wafuatilia michango utafikiri magaidi wa alshabab wanavyokomalia hela ya mchango mtu utoe.
Wachache watakaokuelewa ... wengi wanaishia kwenye kushabikia mambo ya ajabu.
 
Unashangaa nini Tundu Lisu nguo anazovaa za kuomba kwa Wamarekani hukumsikia akiomba mchango wa hela za mavazi? Sema zile alizovaa alikuwa kaondoa label za Oxfam na USAID.T Tundu Lisu ni CCM?
Seen
 
MARADHI MABAYA SANA KWA WATANZANIA …

“Hawataki kusoma vitabu na hawako tayari kuchangia elimu”

Wamarekani wana kiu ya kusoma vitabu tofauti na Watanzania na huu utamaduni wa kutosoma vitabu sijui tumerithishwa na nani. Lakini hiyo ndiyo dalili ya awali ya utamaduni wa Mtanzania kutothamini elimu.

Mfano angalia sherehe za harusi za watoto wa wakubwa ama familia za matajiri utaona siku moja tu harusi inagharimu mamilioni ya shilingi lakini wakubwa hao hao hawawezi kuchangia mamilioni kujenga darasa wala choo cha wanafunzi wako radhi kuandika "writeup" na kuiwasilisha USAID, DANIDA JICA UNDP wakiomba milioni chache kama msaada wa kujenga choo!

Mtu unashangaa harusi ya milioni 300 Watanzania wanazo wanachangia lakini choo au darasa linalogharimu milioni 20 wanataka mfadhili ajitolee haya ni maradhi mabaya tuombe Mungu atusaidie.

Inaandaliwa semina kwa ajili ya kutoa elimu kombozi ... watu hawataki kuhudhuria. Ukiwaambia wachangie kidogo hapo huoni mtu ... ukiwatangazia kuwa ni bure ... wanauliza kama kuna chakula na posho!

Kama wewe ni mmoja wa watu wa namna hii ujue wazi kuwa una matatizo makubwa sana kwenye mfumo wako wa kufikiri.
Fedha za kujenga darasa wanachanga kila siku kupitia VAT
 
Haya ni maradhi mabaya sana kwa kizazi kilichopita - kilichopo ... na sasa kijacho tujaribu kukipa kinga. Ona hii ... kuna madarasa kama sita hivi Sengerema yamejengwa kwa nguvu ya wananchi wachache - lakini uongozi unashindwa kutoa shinikizo kwa serikali kumalizia kazi iliyobaki ili wanafunzi waondokane na changamoto ya kutembea umbali mrefu.
Ukiongea na baadhi ya viongozi - wanakwambia hii tuiandikie write-up ili tupate ufadhili toka kwa donors ....
Kodi zinafanya nini? Niache kuandaa harusi yangu ya milion 5 nikachangie madarasa kutafuta nini? Niache starehe nichangie halafu hayo madarsa yawe mali ya serikali na siku ya uzinduzi waje ccm wazindue? Usifanye una uchungu sana na hii nchi wakati serikali yenyewe haina uchungu na wananchi wake. Mwenyekiti wako wa ccm amefuta ajira za walimu na madaktari ambazo hizi ajira zilikuwa zinakimbiliwa sana wanatanzania wenye kipato cha chini. (SIYO LAZIMA KUAJIRIWA NA SERIKALI KWAHIYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA MADARASA).TUSIPANGIANE CHA KUFANYA
Nikiwa sina hela, chakula au ninaumwa hiyo serikali yako mbona siioni kuja kunisaidia?Natoa pesa zangu mfukoni kujigharamia halafu niache starehe nichangie madarasa? Tuyaache hayo shule za private zipo na kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake. Watoto wa viongozi wanasoma shule za private halafu mm nichangie pesa kwa ajli ya shule ya kata ni bora pesa zichangwe zifungue shule ya private.
 
MARADHI MABAYA SANA KWA WATANZANIA …

“Hawataki kusoma vitabu na hawako tayari kuchangia elimu”

Wamarekani wana kiu ya kusoma vitabu tofauti na Watanzania na huu utamaduni wa kutosoma vitabu sijui tumerithishwa na nani. Lakini hiyo ndiyo dalili ya awali ya utamaduni wa Mtanzania kutothamini elimu.

Mfano angalia sherehe za harusi za watoto wa wakubwa ama familia za matajiri utaona siku moja tu harusi inagharimu mamilioni ya shilingi lakini wakubwa hao hao hawawezi kuchangia mamilioni kujenga darasa wala choo cha wanafunzi wako radhi kuandika "writeup" na kuiwasilisha USAID, DANIDA JICA UNDP wakiomba milioni chache kama msaada wa kujenga choo!

Mtu unashangaa harusi ya milioni 300 Watanzania wanazo wanachangia lakini choo au darasa linalogharimu milioni 20 wanataka mfadhili ajitolee haya ni maradhi mabaya tuombe Mungu atusaidie.

Inaandaliwa semina kwa ajili ya kutoa elimu kombozi ... watu hawataki kuhudhuria. Ukiwaambia wachangie kidogo hapo huoni mtu ... ukiwatangazia kuwa ni bure ... wanauliza kama kuna chakula na posho!

Kama wewe ni mmoja wa watu wa namna hii ujue wazi kuwa una matatizo makubwa sana kwenye mfumo wako wa kufikiri.
Wewe umechangia? Tunaona Mengi ndio mchangiaji mkubwa wa huduma za kijamii. Wengine wote maneno tu.
 
Tatizo wenye pato dogo wako tayari kuchangia mambo ya maendeleo,ila wenye pato kubwa hawako tayari kufanya hivyo zaidi ya kuwekeza kwenye miradi yao binafsi.
 
Kwa mfano,tungechukua matajiri 20 tu,hizi kero tunazolalamikia hapa zingeweza kutatuliwa ndani ya muda mfupi tu.
 
Matajiri wepi mkuu wale ambao mkiwaomba pesa wakiwawaambia pesa si zangu ni za familia subiri nikaongee nao.. ….. Mnawateka unadhani watatoa kweli? Na huku kodi wameshalipa bila shida..... Tutumie kile wanachotoa kwa matumizi sahihi na si kununua wapinzani na midege bila kuwa na uwazi!
Kwa mfano,tungechukua matajiri 20 tu,hizi kero tunazolalamikia hapa zingeweza kutatuliwa ndani ya muda mfupi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni maradhi mabaya sana kwa kizazi kilichopita - kilichopo ... na sasa kijacho tujaribu kukipa kinga. Ona hii ... kuna madarasa kama sita hivi Sengerema yamejengwa kwa nguvu ya wananchi wachache - lakini uongozi unashindwa kutoa shinikizo kwa serikali kumalizia kazi iliyobaki ili wanafunzi waondokane na changamoto ya kutembea umbali mrefu.
Ukiongea na baadhi ya viongozi - wanakwambia hii tuiandikie write-up ili tupate ufadhili toka kwa donors ....
Bilion 12 zinatumika kwenye chaguzi uchwara za kumfurahisha JIWE.

Milion 900 wanalipiwa tiketi ya ndege watu wa NEC kwenda kupora chaguzi uchwara.

Pesa nyingine zinakaa kwenye fuko la JIWE na BASHITE kuhonga watu mpaka MISIKITI.

Halafu muda huo eti wananchi ndio baada ya kulipa KODI ZA KUJENGA hivyo vitu, wachange tena WAJIJENGEE !
 
Back
Top Bottom