Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,667
- 13,064
Kuna vitu vingine vina shangaza sana mpaka unajiuliza maswali..Unakuta mtaa una lalamika mitaro imeziba wanaiomba serikali wakati jambo lipo ndani ya uwezo wao ndani wana acha mpaka wana pata kipindu pindu vitu vya upuuzi ndio wanajitoa vigodoro na sherehe zingine zisio kuwa na maana..
Haya ni mawazo ya kike, kwani kodi tunalipa kwenye michango ya harusi au kwa serikali? Ulishawahi omba kinywaji kwa serikali au kuomba barabara kwa kamati ya harusi? Kaa kwa jinsia yako
Sent using Jamii Forums mobile app