AMANI YRTU NI MUHIMU KULIKO INTERNET KATIKA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI. it is security door against Peace distroyersTanzania ndio nchi ya Kwanza kufunga internet kwnye ichaguzi ???
Hivi serikali na idara zake zote hawana akili wewe ndio mjuvi sana auvipi ? Isaac Newton Ausio ?
Una lalamika sana jamaa kila siku unatukana wewe tuu
Kwanini unajibebesh Mzigo mkubwa sana kaka hama Nchi nenda Russia Au Canada wanataka watu kule