Dreamliner limejaa kiwese likapaa mpaka India kuwabeba watanzania wote waliokuwa wanaitaji kurudi kwao lakini wakakosa usafir kutokana na lockdown nchini India.Shukrani za pekee ziwaendee wote walioshiriki kuratibu zoezi hili la kizalendo lenye moyo wa kujali ubinadamu.
Link hii hapa
Wale jamaa wajaluo wa kaskazini mwa Tanzania inasemekana wamepandishiwa nauli ( double price) kutoka Kwa malikia kuja Kariobangi na hawana pesa.Huko waliko hawana chakula na wanakoelekea kuna njaa balaa plus mafuriko, nzige, na nyoka wanazaliana Kwa fujo kule county ya Baringo.Ni hayo Tu
Link hii hapa
Wale jamaa wajaluo wa kaskazini mwa Tanzania inasemekana wamepandishiwa nauli ( double price) kutoka Kwa malikia kuja Kariobangi na hawana pesa.Huko waliko hawana chakula na wanakoelekea kuna njaa balaa plus mafuriko, nzige, na nyoka wanazaliana Kwa fujo kule county ya Baringo.Ni hayo Tu