jinola hamza
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 657
- 439
Unaropoka wew sasa kwa tarifa yako ukrain ishaanza kupigwa uyo cow boy yupo wapi sasa ?wanataka kuanza kuleta ubabe wa Hittler hawa wameshashiba vodka...Cow boy aka mzee wa mipango anawachora tu, waangalia Russia isijekugeuka DRC nyingine ya Ulaya mashariki.