Watanzania waliohukumiwa China, Jack Cliff na Binti Kiziwi wanaendeleaje?

Hong Kong na Macau hawanyongi.. Na hata China mainland Wabongo hawanyongwi
 
Duh kuna mtu namjua anaitwa simba kasanzu alikamatwaga China mpaka sahv ni zaidi ya miaka 20 hajarudi duh

Ova
 
Back
Top Bottom