Asylum ina grounds zake mkuu sasa nchi za watu huko ukiwe ka record za drug trafficking ni mtihani sana watu kukupa asylumHata wakitoka hao (kama kweli wako hai) watatafuta asylum nchi nyingine Bongo itakuwa fedheha sana kwao.
Sure binti alishapelekwa ahera
Binti kiziwi yule Dem aliye imba na kudet na Z Anton?Binti kiziwi she is ......... alikula kitanzi since mwaka jana mwanzoni huyo jack kifungo chake kiliongezwa kwa miaka mitatu zaidi
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Hata wakitoka hao (kama kweli wako hai) watatafuta asylum nchi nyingine Bongo itakuwa fedheha sana kwao.
Sure binti alishapelekwa ahera
Sent using my iPhone using jamiiforum app
.....?Binti kiziwi nilisikia walinyonga sasa hivi yupo huko na kina ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
siku hizi kamenenepa,hips matako,nyonyo zimejaa na kalivyo na sura nzuri kale kademu,kangekuwa karefu kadogo tu ingekuwa balaa,she is cute bana huwa nakatamani kweliJuksix yupo analelewa na mpare-mifupa mikavu hana time na wajela jela.
Zipi hizo ?wakirudi bongo kuna kesi nyingine zinawasubiri
Get rich or die tryin'Binti kiziwi she is ......... alikula kitanzi since mwaka jana mwanzoni huyo jack kifungo chake kiliongezwa kwa miaka mitatu zaidi
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Unajua maana ya neno 'asylum' na matumizi yake ama umebandika tu...Hata wakitoka hao (kama kweli wako hai) watatafuta asylum nchi nyingine Bongo itakuwa fedheha sana kwao.
China mainland wanapiga risasi kuna mtoto wa kibongo alirejeshwa afu baba na mama yake wakala shabaHong Kong na Macau hawanyongi.. Na hata China mainland Wabongo hawanyongwi
China mainland wanapiga risasi kuna mtoto wa kibongo alirejeshwa afu baba na mama yake wakala shabaHong Kong na Macau hawanyongi.. Na hata China mainland Wabongo hawanyongwi
Wanakufunga . China na Tanzania wana urafiki wa kudumu. . Ndio maana wapopo wanapenda kutumia mkoba wetu .wanafanywa nn? eleza kwa kina tukuelewe
watakuwa wanaua bila kutoa taarifa.Duh kuna mtu namjua anaitwa simba kasanzu alikamatwaga China mpaka sahv ni zaidi ya miaka 20 hajarudi duh
Ova