Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau wote wa
*JF
*Wana CCM
*Wazalendo
*Watanzania
Jamani poleni na pilika za siku nzima na pia nawapongexa sana kwa ushindi wa kishindo na pia natoa shukrani kwa kuunga mkono agenda yangu ya kuhimiza zoezi la kupiga kura na pia naomba umoja na ari mliyoionesha ktk zoezi hili basi pindi tutakapoleta jambo lingine litakalohtaji umoja wetu kama wa Tanzania basi tuitikie kwa kishindo kama mlivyoonyesha mfano.
Ila pia nalazimika kufuatilia kwa karibu watanzania ambao hawakumuunga mkono kwa kutompigia kura Rais wetu mpendwa tena kwa makusudi walimaanisha nini kwani hatuwezi kujiita familia ya Mh John Pombe Magufuli ambaye ni baba yetu halafu tukawa hatuitakii mema nchi yetu na chama chetu. Hivyo tusije laumiana tukitolewa kwa kutokua na vigezo.
Natoa wito kuwa kwa siku za usoni Watanzania wote tutangulize uzalendo kwanza badala ya kutanguliza maslahi binafsi. Mh Dkt John Pombe Magufuli ndiye Rais wetu mpendwa mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake na ambaye amejitolea kwa kila namna kutetea na kulinda rasilimali zetu ili zitumike kwa manufaa ya walio wengi. Kimsingi ni wajibu wa kila Mtanzania kumuunga mkono kiongozi na Jenedari wetu mkuu
Siamini Kuna Mnyarwanda hats mmoja aliyethubutu kutompigia kura Rais Kagame hata kama hampendi pengine kutokana na tofauti za kiitikadi au kikabila au Kilimani.
Nimeshangazwa sana na kampeni zilizoongozwa na baadhi ya Watanzania wenzetu wakiongozwa na Yericko Nyerere mtanzania msaliti asiye na haya wala aibu aliyewahamasisha Watanzania eti wasimpigie kura Rais wao. Hi ni aibu kubwa sana kuona kuwa wenzetu wanatusaliti tena hadharani.
**Ukweli waliompigia kura Rais wetu hatutawasahau kwa uzalendo wao.
Niwatakie usiku mwema
Uzalendo kwanza
Viva JPM
Viva CCM
*JF
*Wana CCM
*Wazalendo
*Watanzania
Jamani poleni na pilika za siku nzima na pia nawapongexa sana kwa ushindi wa kishindo na pia natoa shukrani kwa kuunga mkono agenda yangu ya kuhimiza zoezi la kupiga kura na pia naomba umoja na ari mliyoionesha ktk zoezi hili basi pindi tutakapoleta jambo lingine litakalohtaji umoja wetu kama wa Tanzania basi tuitikie kwa kishindo kama mlivyoonyesha mfano.
Ila pia nalazimika kufuatilia kwa karibu watanzania ambao hawakumuunga mkono kwa kutompigia kura Rais wetu mpendwa tena kwa makusudi walimaanisha nini kwani hatuwezi kujiita familia ya Mh John Pombe Magufuli ambaye ni baba yetu halafu tukawa hatuitakii mema nchi yetu na chama chetu. Hivyo tusije laumiana tukitolewa kwa kutokua na vigezo.
Natoa wito kuwa kwa siku za usoni Watanzania wote tutangulize uzalendo kwanza badala ya kutanguliza maslahi binafsi. Mh Dkt John Pombe Magufuli ndiye Rais wetu mpendwa mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake na ambaye amejitolea kwa kila namna kutetea na kulinda rasilimali zetu ili zitumike kwa manufaa ya walio wengi. Kimsingi ni wajibu wa kila Mtanzania kumuunga mkono kiongozi na Jenedari wetu mkuu
Siamini Kuna Mnyarwanda hats mmoja aliyethubutu kutompigia kura Rais Kagame hata kama hampendi pengine kutokana na tofauti za kiitikadi au kikabila au Kilimani.
Nimeshangazwa sana na kampeni zilizoongozwa na baadhi ya Watanzania wenzetu wakiongozwa na Yericko Nyerere mtanzania msaliti asiye na haya wala aibu aliyewahamasisha Watanzania eti wasimpigie kura Rais wao. Hi ni aibu kubwa sana kuona kuwa wenzetu wanatusaliti tena hadharani.
**Ukweli waliompigia kura Rais wetu hatutawasahau kwa uzalendo wao.
Niwatakie usiku mwema
Uzalendo kwanza
Viva JPM
Viva CCM