Watanzania wala EID kwa furaha sana sijasikia malalamiko...kwani kumetokea nini kiuchumi??

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,317
Watanzania ktk kusherekea Eid ya mwaka huu naona kweli walijipanga maana mpaka leo Kuna baadhi ya watoto wana endelea na sherehe za Eid kwani nini siri ya furaha hii??

Sijasikia eti bei za nguo zilikuwa juu,sijui,nyama bei juu,sijui watoto nimeshindwa kuwapa pesa za kutembea wala nini kila Mzazi alijimwaga apendavyo!!

Najiuliza kumetokea nini maana tulikuwa tunaambiwa hakuna pesa,bei zinapaa za bidhaa,nguo hazinunuliki,kodi nyingi,ilimradi kila lawama kwa Serikali ya Dr John Magufuli.

Nini siri ya mafanikio hayo na furaha hii??
 
Watanzania ktk kusherekea Eid ya mwaka huu naona kweli walijipanga maana mpaka leo Kuna baadhi ya watoto wana endelea na sherehe za Eid kwani nini siri ya furaha hii??

Sijasikia eti bei za nguo zilikuwa juu,sijui,nyama bei juu,sijui watoto nimeshindwa kuwapa pesa za kutembea wala nini kila Mzazi alijimwaga apendavyo!!

Najiuliza kumetokea nini maana tulikuwa tunaambiwa hakuna pesa,bei zinapaa za bidhaa,nguo hazinunuliki,kodi nyingi,ilimradi kila lawama kwa Serikali ya Dr John Magufuli.

Nini siri ya mafanikio hayo na furaha hii??
Ni mkumbo tu,
Ila pia wameanza kukubali kuwa walicho nacho ndo wamekipata halali.
 
Watanzania ktk kusherekea Eid ya mwaka huu naona kweli walijipanga maana mpaka leo Kuna baadhi ya watoto wana endelea na sherehe za Eid kwani nini siri ya furaha hii??

Sijasikia eti bei za nguo zilikuwa juu,sijui,nyama bei juu,sijui watoto nimeshindwa kuwapa pesa za kutembea wala nini kila Mzazi alijimwaga apendavyo!!

Najiuliza kumetokea nini maana tulikuwa tunaambiwa hakuna pesa,bei zinapaa za bidhaa,nguo hazinunuliki,kodi nyingi,ilimradi kila lawama kwa Serikali ya Dr John Magufuli.

Nini siri ya mafanikio hayo na furaha hii??
Waisilamu miaka yote Tangu zama na zama waliowengi wanajitafutia riziki zao kwa njia halali mbali mbali hasa zakujiajiri.uchumi umekuwa mgumu wa wale wenzetu ambao walio wengi wameajiriwa hasa na serikali na ukizingatia serikali imebana mianya mingi ya wizi .hata ukiangalia watumishi wengi walio nakashfa za ufisadi walio wengi si waisilamu .ni upande wa pili tu.hata ukiangalia pesa ya escrow vinara waliokwepua na walio gawiwa hakuna sheikh hata mmoja.
 
Waisilamu miaka yote Tangu zama na zama waliowengi wanajitafutia riziki zao kwa njia halali mbali mbali hasa zakujiajiri.uchumi umekuwa mgumu wa wale wenzetu ambao walio wengi wameajiriwa hasa na serikali na ukizingatia serikali imebana mianya mingi ya wizi .hata ukiangalia watumishi wengi walio nakashfa za ufisadi walio wengi si waisilamu .ni upande wa pili tu.hata ukiangalia pesa ya escrow vinara waliokwepua na walio gawiwa hakuna sheikh hata mmoja.
Mtazamo Mzuri tu.ila unaweza ukapata changamoto toka kwa wengine.
 
Back
Top Bottom