Watanzania wengi walikuwa na tabia ya kukebehi sana hawa wazungu wakitukosoa kwenye lolote hata kama Watanzania wengi wanakubaliana nao. Kumbe ukweli ni kwamba kuna pesa nyingi sana bado tunategemea za msaada.
Kwasababu zamani zilikuwa zinakuja tu ilikuwa rahisi kila kitu kusema ni cha chama au ni pesa yetu. Sasa tunaona misaada ya US, EU, Sweden na pesa za miradi ya bank ya dunia ambayo tulikuwa tujifanya ni zetu zote. Vilevile kuna pesa nyingi za Japan na bank ya Africa kwenye miradi mingi sana.
Tusiwe tunabeza hii Dunia imekuwa moja na nashauri tusipende kuwaita hawa mabeberu wakati huohuo tunakaa nao na kuongelea maendeleo yetu.
Hawa ni wadau maana magojwa ya kuambukiza hayachagui nchi wala rangi.
Kwasababu zamani zilikuwa zinakuja tu ilikuwa rahisi kila kitu kusema ni cha chama au ni pesa yetu. Sasa tunaona misaada ya US, EU, Sweden na pesa za miradi ya bank ya dunia ambayo tulikuwa tujifanya ni zetu zote. Vilevile kuna pesa nyingi za Japan na bank ya Africa kwenye miradi mingi sana.
Tusiwe tunabeza hii Dunia imekuwa moja na nashauri tusipende kuwaita hawa mabeberu wakati huohuo tunakaa nao na kuongelea maendeleo yetu.
Hawa ni wadau maana magojwa ya kuambukiza hayachagui nchi wala rangi.