The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 613
- 1,776
Ubalozi wa Tanzania mjini Roma nchini Italia imewatahadharisha raia wake waishio nchini humo dhidi ya Ugonjwa wa Covid-19 ambao umeshagharimu maisha ya watu watano (raia wa Italia)
Ubalozi huo umewataka Watanzania kuchukua tahadhari, kuondoa hofu, na kuwataka ikibidi wavae ‘mask’, kuepuka maeneo yenye misongamano mikubwa ya watu na kufuatilia tahadhari zinazotolewa na vyombo mbalimbali vya habari.
Ubalozi huo umewataka Watanzania kuchukua tahadhari, kuondoa hofu, na kuwataka ikibidi wavae ‘mask’, kuepuka maeneo yenye misongamano mikubwa ya watu na kufuatilia tahadhari zinazotolewa na vyombo mbalimbali vya habari.