Watanzania /Wabongo wengi ni Washamba wa starehe

Azarel

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
26,097
34,035
Asalaam Alleykhum Watanzania....!

Wabongo wanashangaza katika starehe kwasababu zifuatazo:

• Starehe yao Ngono na Pombe tu

Kwa Watanzania, ukiwa Mtu mzima above 30 na hutumii kilevi cha pombe unaweza kuonekana mshamba. Starehe kubwa ya Wabongo tena zaidi wenye kipato cha kati (Middle class) na cha chini (Low class ctzns) ni kupata daily profit au Monthly salary na kwenda kunywa pombe na kulewaaa na kulewesha watu hata usiku mzima na kujitangaza kuwa ni tajiri kwishney

• Wabongo wanapenda kuiga starehe na eneo la starehe

Mtu anaanza kazi ya kuajiriwa au kujiajiri anakuwa hana hata hobby ya ulevi ila anafundishwa ulevi na kupelekwa sehemu zenye totoz na baadae hayo ndio yanakuwa maisha yake ya kudumu /lifestyle wakati before starehe yake ilikuwa kutoka na Watoto kila jioni kwenye playing grounds.

Pia Bar/ Eneo flan la starehe likisifiwa utashangaa watu wanahamia huko kama Manyumbu, siongelei Picnic, late La chaz wala Kipok

Nimeishi close na Westerners, Wabongo wenzangu, Kenyans (Nyang'aus), Turkish, Asians...wana vitu vingi vya ziada katika maisha ambavyo havina gharama

Unaweza kutoka na familia na Ukaenjoy na Wife + Watoto vizuri tu bila kulewa, mkaenda Gym pamoja, Picnic ya mbali, Local tourism, Water falls, sehemu za michezo na jioni mkanywa kahawa au uji tu na kubaki na picha na videos za kumbukumbu kwa familia

Hapo hujaingia gharama ya kumaliza 500K mwenyewe kwenye bar bila familia yako


Siwapangii maisha nimeamka tu na wenge la mchambo leo mazee
 
Ushamba ni mzigo kwa sasa ili wapate vya kupost maana mtu kaajiriwa anaona kujenga atachukua mkopo wacha apige mitungi... Actually ni ushamba pitiliza yaani huko maofisini ni kitu kidogo wanakuza sijui birthday basi wanachanga pesa ndefu kwenda viwanja, sijui harusi basi wanataka kujifaharisha walewe waone sifa wengi haswa wasomi wa bongo ni washamba wametokea vijijini hawajawai kuishi mijini ila baada ya kufika vyuoni basi Inakuwa kama fungulia mbwa kila starehe wanataka kufanya wao.. makundi makundi humaliza hundi
 
Wabongo huwa mnanishangaza mnavyowasifia Wakenya. Wana nini cha ziada? Unajua idadi za Bars zilizopo Nax wewe? Kila nyumba bar.

Sikuhizi nasoma nyuzi naona mnawasifia Wakenya saana......au mpo low saana. Kisa umeishi na Mkenya mmoja jirani basi unadhani Mikenya hainywi. Tena wanakunywa zaidi ya nyie.....Gongo/chan'gaa inatengenzwa Kenya kuzidi sehemu yoyote Afrika mashariki.
 
Ushamba ni mzigo kwa sasa ili wapate vya kupost maana mtu kaajiriwa anaona kujenga atachukua mkopow wacha apige mitungi... Actually ni ushamba pitiliza yaani huko maofisini ni kitu kidogo wanakuza sijui birthday basi wanachanga pesa ndefu kwenda viwanja ,sijui harusi basi wanataka kujifaharisha walewe waone sifa wengi haswa wasomi wa bongo ni washamba wametokea vijijini hawajawai kuishi mijini ila baada ya kufika vyuoni basi Inakuwa kama fungulia mbwa kila starehe wanataka kufanya wao ..makundi makundi humaliza hundi
Hilo boom lao 500k badala wa save wanunue hata pikipiki eti ndo wanahonga na kulewea wakati hawajui wametoka Famili ya za kimasikini

Hakuna watu wapumbavu kama wanafunzi wa chuo.
 
Mi kiukweli starehe yangu kubwa maishani ni maji....nahisi nilipaswa kuwa samaki
Hahahaha dunia tuko tofauti sana, labda sijakuelewa vizuri ni maji hayahaya spring water au maji gani?
 
Hilo boom lao 500k badala wa save wanunue hata pikipiki eti ndo wanaonga na kulewea wakati hawajui wametoka Familiya za kimasikini


Hakuna watu wapumbavu kama wanafunzi wa chuo .
Wengi Wana uhuni wa kishamba mtu hapo anajua kabisa kwao hawana pesa ila anajikuta mlevi na mtu wa gharama.
 
Afu pia wabongo tuna ushamba wa vyakula nadhani.
Unaweza kuta jitu limeenda mgahawani labda kula chakula let's say biriani..unaanza kuona linapiga mipicha na kuweka status afu unakuta ni baba zima au limama na heshima zake.unakua unajiuliza hicho chakula alichopost kwake ni adimu sana mpaka apige picha na kupost!
 
Wabongo huwa mnanishangaza mnavyowasifia Wakenya. Wana nini cha ziada? Unajua idadi za Bars zilizopo Nax wewe? Kila nyumba bar.

Sikuhizi nasoma nyuzi naona mnawasifia Wakenya saana......au mpo low saana. Kisa umeishi na Mkenya mmoja jirani basi unadhani Mikenya hainywi. Tena wanakunywa zaidi ya nyie.....Gongo/chan'gaa inatengenzwa Kenya kuzidi sehemu yoyote Afrika mashariki.
Ni wapi nimewasifia Wakenya? Nimesoma kwao throughout, ila sijaona nilipowasifia Wakenya
 
Back
Top Bottom