Watanzania waaswa kula nyama. Ulaji wa wafikia wastani wa Kilo 15 kwa mtu kwa mwaka

Sina imani Na takwimu hizi zilizotaja baada ya Magufuli kuingia madarakani. Kuna jitihada gani zimefanyika katika ufugaji mpaka ulaji upande kutoka 10kg/yr mwaka 2017/18 mpaka 15kg/yr. Na hizo data za maziwa ndo siamini kabisa eti 2017/18 tulikunywa lita 54M na mwaka huu lita 200M.
 
Ukiwasikiliza madaktari watakuchanganya kuna siku nimekaa daktari bingwa wa figo akawa anaongelea kuongezeka magonjwa ya figo akasema watu wajitahidi kunywa maji kwa wingi kwani inasaidia kupunguza magonjwa ya figo kipindi kilekile wakawa wamemwalika daktari bingwa wa moyo akawa anasema kunywa sana maji kunaweza kuleta hatari ya magonjwa ya moyo nikasema kuanzia leo sitasikiliza upuuzi wa madaktari
 
Ukiwasikiliza madaktari watakuchanganya kuna siku nimekaa daktari bingwa wa figo akawa anaongelea kuongezeka magonjwa ya figo akasema watu wajitahidi kunywa maji kwa wingi kwani inasaidia kupunguza magonjwa ya figo kipindi kilekile wakawa wamemwalika daktari bingwa wa moyo akawa anasema kunywa sana maji kunaweza kuleta hatari ya magonjwa ya moyo nikasema kuanzia leo sitasikiliza upuuzi wa madaktari
Hahaha sasa utamsikiliza nani mkuu?
 
Ukiwasikiliza madaktari watakuchanganya kuna siku nimekaa daktari bingwa wa figo akawa anaongelea kuongezeka magonjwa ya figo akasema watu wajitahidi kunywa maji kwa wingi kwani inasaidia kupunguza magonjwa ya figo kipindi kilekile wakawa wamemwalika daktari bingwa wa moyo akawa anasema kunywa sana maji kunaweza kuleta hatari ya magonjwa ya moyo nikasema kuanzia leo sitasikiliza upuuzi wa madaktari
Mkuu, kila kitu lazima kifanyike kwa kiasi. Unaambiwa unywe lita sita-saba za maji kwa siku si unaumiza figo zako? Unakunywa maji kwa kiasi, kulingana na shughuli zako i.e mbeba zege na mkaa ofisini lazíma wawe na tofauti katika ulaji na unywaji.
 
Mkuu, kila kitu lazima kifanyike kwa kiasi. Unaambiwa unywe lita sita-saba za maji kwa siku si unaumiza figo zako? Unakunywa maji kwa kiasi, kulingana na shughuli zako i.e mbeba zege na mkaa ofisini lazíma wawe na tofauti katika ulaji na unywaji.
Uliambiwa na nani unywe Lita 7 za maji? Acha kutunga vitu
 
Mchina ataleta ng'ombe wake sasa hivi nyama kilo itauzwa 1500

habari za hivi huwa zinakuaga fursa sana kwa mchina,we ngojea.
 
ULAJI wa nyama hapa nchini uko kwa kiwango cha chini ambapo sasa ulaji umefikia kilo 15 huku Shirika la Afya Duniani (WHO) likitaja mtu wa kawaida anatakiwa kula angalau kilo 50 kwa mwaka.

Akizungumza jana kwenye paredi ya mifugo kwenye maonesho ya mifugo na wakulima maarufu Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo, Profesa Elisante ole Gabriel alisema kwa mujibu wa WHO kwa Tanzania bado ulaji si mzuri ambapo takwimu zinaonesha mwaka 2017/ 18 ulaji wa nyama ulikuwa kilo 10 kwa mwaka.

"Angalau sasa tumefikisha kilo 15 kwa mwaka, bado tuko chini sana. Watanzania wajitahidi kula nyama ambayo ni sahihi," alisema.

Pia alisema sasa unywaji wa maziwa umefikia lita 200 kwa mwaka, lakini mwaka 2018/19 unywaji wa maziwa ulikuwa lita 54 kwa mwaka.

"Wakati Rais John Magufuli akiingia madarakani wizara ilikuwa ikichangia Sh bilioni 14 lakini imeongezeka hadi kufikia Sh bilioni 44.5, sawa na ongezeko la asilimia zaidi ya 200,”alisema.

Pia mifugo imeongezeka sasa kuna ng'ombe milioni 33, mbuzi milioni 23, kondoo zaidi ya milioni sita, kuku milioni 83 na kuku mayai yamefika bilioni nne.

"Mayai peke yake ni bilioni 800 hii ni jambo kubwa sana, lazima juhudi ziongezwe," alisema

Kwa upande wake, mgeni rasmi katika maonesho hayo ambaye ni Kaimu Mkuu wa mkoa ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Munkunda alisema sekta ya mifugo ikisimamiwa vizuri itachangia fedha za kutosha katika pato la taifa.

Alisema kwa wilaya ya Bahi asilimia 80 ya makusanyo ya ndani yanatokana na mifugo.

Angelina Lutambi Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida alisema maonesho hayo yamekuwa ni elimu kwa wananchi na watendaji wa ngazi mbalimbali za serikali na yamekuwa njia nzuri ya kujifunza.

Mkoa wa Singida uchumi wake unategemea kilimo na sekta ya mifuko ikiwa na idadi ya mifugo zaidi ya milioni 1.3.

Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga alisema wataendelea kuhamasisha ufugaji wenye tija.
WHO has now turned to Mediocrity. Corona episode has reveled that they are not relevant and we should not take them seriously. Trump na JPM wamewaumbua kwa kuanzia
 
ULAJI wa nyama hapa nchini uko kwa kiwango cha chini ambapo sasa ulaji umefikia kilo 15 huku Shirika la Afya Duniani (WHO) likitaja mtu wa kawaida anatakiwa kula angalau kilo 50 kwa mwaka.

Akizungumza jana kwenye paredi ya mifugo kwenye maonesho ya mifugo na wakulima maarufu Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo, Profesa Elisante ole Gabriel alisema kwa mujibu wa WHO kwa Tanzania bado ulaji si mzuri ambapo takwimu zinaonesha mwaka 2017/ 18 ulaji wa nyama ulikuwa kilo 10 kwa mwaka.

"Angalau sasa tumefikisha kilo 15 kwa mwaka, bado tuko chini sana. Watanzania wajitahidi kula nyama ambayo ni sahihi," alisema.

Pia alisema sasa unywaji wa maziwa umefikia lita 200 kwa mwaka, lakini mwaka 2018/19 unywaji wa maziwa ulikuwa lita 54 kwa mwaka.

"Wakati Rais John Magufuli akiingia madarakani wizara ilikuwa ikichangia Sh bilioni 14 lakini imeongezeka hadi kufikia Sh bilioni 44.5, sawa na ongezeko la asilimia zaidi ya 200,”alisema.

Pia mifugo imeongezeka sasa kuna ng'ombe milioni 33, mbuzi milioni 23, kondoo zaidi ya milioni sita, kuku milioni 83 na kuku mayai yamefika bilioni nne.

"Mayai peke yake ni bilioni 800 hii ni jambo kubwa sana, lazima juhudi ziongezwe," alisema

Kwa upande wake, mgeni rasmi katika maonesho hayo ambaye ni Kaimu Mkuu wa mkoa ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Munkunda alisema sekta ya mifugo ikisimamiwa vizuri itachangia fedha za kutosha katika pato la taifa.

Alisema kwa wilaya ya Bahi asilimia 80 ya makusanyo ya ndani yanatokana na mifugo.

Angelina Lutambi Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida alisema maonesho hayo yamekuwa ni elimu kwa wananchi na watendaji wa ngazi mbalimbali za serikali na yamekuwa njia nzuri ya kujifunza.

Mkoa wa Singida uchumi wake unategemea kilimo na sekta ya mifuko ikiwa na idadi ya mifugo zaidi ya milioni 1.3.

Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga alisema wataendelea kuhamasisha ufugaji wenye tija.
pesa mchaw
 
Back
Top Bottom