Watanzania Waasia kwenye vyombo vya Usalama

Kumbuka sanasana wahindi hawana nchi, hata kama amezaliwa Tanzania au Kenya. Mfano wakati wa uchaguzi wakati wowote Kenya wahindi hufungasha vilago na kuja Tanzania au nchi za Ulaya mpaka pale uchaguzi utakapokwisha ndio wanarudisha majembe. Je huu ni uzalendo? na je huyu yuko tayari kufa kwa ajili ya nchi yake? utakuta mababu zao wamezaliwa pale baba zao na wao pia.
 
Kumbuka sanasana wahindi hawana nchi, hata kama amezaliwa Tanzania au Kenya. Mfano wakati wa uchaguzi wakati wowote Kenya wahindi hufungasha vilago na kuja Tanzania au nchi za Ulaya mpaka pale uchaguzi utakapokwisha ndio wanarudisha majembe. Je huu ni uzalendo? na je huyu yuko tayari kufa kwa ajili ya nchi yake? utakuta mababu zao wamezaliwa pale baba zao na wao pia.

Wahindi hawana nchi maana yake nini?

Wahindi wangapi hao wanaofungasha virago wakati wa Uchaguzi? Unaweza kutupatia statistics za wahindi waishio Kenya na wangapi kati yao hukimbia wakati wa Uchaguzi?

Kukimbia kwao wakati wa machafuko hayo yana justify vipi na hii subject matter? Ungekuwa wewe ungefanyaje wakati wa machafuko hayo?
 
What I can say kuhusu wahindi ni kwamba hawa si wenzetu wala hawajawahi kuwa wenzetu.
Najua wengi watapinga lakini hivi ndivyo ilivyo sina lugha rahisi ya kulemba ili niwapambe. Ndivyo walivyo tunapenda hatupendi.
Wahindi wapo wengi sana katika nchi hii. WEngine mpaka uko vijijini:D na wala si mjini tu kama wengi tunavyotaka kuamini, ingawa kweli ni wachache.
Wahindi wengi sana wamesoma na wako educated saaaana kuliko hata hawa govt officials wetu wanaoshinda wanatuhubiria habari ya visomo vyao visivyokuwa na faida nasi.
Lakini ijulikane si wote wenye pesa na maduka au viwanda. Ila ijulikane siku zote wote wana dreams za kuishi UK, US, na Canada.
Hata hivyo wahindi wanatabia ya kubebana wao kwa wao. Mmoja atakuwa na kijikampuni chake na atahakikisha waajiriwa wote ni wahindi wenzake, kama biashara yake hiyo inahitaji waajiriwa.
Na akiweza kumuajiri mwafrika mmoja jua kuna sababu. Yawezekana ni relative wa wa kigogo au mtu anayefahamiana naye. Na ni kwa sababu anataka connection ya kupata deal furani humo humo kwa huyo mtu. Lakini pia usisahau kuwa kwa nafasi hiyo pia atamwajiri mhindi mwenzie na kama mwafrika analipwa sh. 60,000 kwa nafasi hiyo, mhindi atalipwa 200,000 kwa nafasi hiyo hiyo.
Kuna wale ambao wazazi wao wanawasomesha kwa makusudi ya kuja kuendeleza biashara za kifamilia. Lakini najua wengi ambao wanafanya kazi kwa wahindi wenzao tu hapa wala suala la biashara halipo.
Nimeshuhudia siku hizi wameanza hata kamtindo kwa kwenda kuwaleta wahindi wenzao toka India kwa ajili ya kuajiriwa tu kuuza duka:eek:
Mimi nasema wahindi ni wabaguzi wakubwa kuliko hata makaburu na tuendelee kuwaona kama ndugu zetu, tutabaki hivi hivi kila kukicha tunapigia kelele scandal za rushwa ambazo initiators ni wao wahindi na rafiki zao wa chama tawala.
Na hapa utaona ndio sababu hata siku moja hutamkuta mhindi hata mmoja akisema habari za Chadema na Cuf bali watakwambia chama muzuri ni sisi Mafisadi (sisi M)
 
What I can say kuhusu wahindi ni kwamba hawa si wenzetu wala hawajawahi kuwa wenzetu.
Najua wengi watapinga lakini hivi ndivyo ilivyo sina lugha rahisi ya kulemba ili niwapambe. Ndivyo walivyo tunapenda hatupendi.
Wahindi wapo wengi sana katika nchi hii. WEngine mpaka uko vijijini:D na wala si mjini tu kama wengi tunavyotaka kuamini, ingawa kweli ni wachache.
Wahindi wengi sana wamesoma na wako educated saaaana kuliko hata hawa govt officials wetu wanaoshinda wanatuhubiria habari ya visomo vyao visivyokuwa na faida nasi.
Lakini ijulikane si wote wenye pesa na maduka au viwanda. Ila ijulikane siku zote wote wana dreams za kuishi UK, US, na Canada.
Hata hivyo wahindi wanatabia ya kubebana wao kwa wao. Mmoja atakuwa na kijikampuni chake na atahakikisha waajiriwa wote ni wahindi wenzake, kama biashara yake hiyo inahitaji waajiriwa.
Na akiweza kumuajiri mwafrika mmoja jua kuna sababu. Yawezekana ni relative wa wa kigogo au mtu anayefahamiana naye. Na ni kwa sababu anataka connection ya kupata deal furani humo humo kwa huyo mtu. Lakini pia usisahau kuwa kwa nafasi hiyo pia atamwajiri mhindi mwenzie na kama mwafrika analipwa sh. 60,000 kwa nafasi hiyo, mhindi atalipwa 200,000 kwa nafasi hiyo hiyo.
Kuna wale ambao wazazi wao wanawasomesha kwa makusudi ya kuja kuendeleza biashara za kifamilia. Lakini najua wengi ambao wanafanya kazi kwa wahindi wenzao tu hapa wala suala la biashara halipo.
Nimeshuhudia siku hizi wameanza hata kamtindo kwa kwenda kuwaleta wahindi wenzao toka India kwa ajili ya kuajiriwa tu kuuza duka:eek:
Mimi nasema wahindi ni wabaguzi wakubwa kuliko hata makaburu na tuendelee kuwaona kama ndugu zetu, tutabaki hivi hivi kila kukicha tunapigia kelele scandal za rushwa ambazo initiators ni wao wahindi na rafiki zao wa chama tawala.
Na hapa utaona ndio sababu hata siku moja hutamkuta mhindi hata mmoja akisema habari za Chadema na Cuf bali watakwambia chama muzuri ni sisi Mafisadi (sisi M)

Unajua kamanda ungekua unaandika kwa herufi za size na rangi ya kawaida ingekua rahisi zaidi kukusoma.
Jamani tufuate etiquette za mtandao, kwenye net ukiweka CAPS au font kubwa inamaanisha kuwa unashout, not to mention rangi nyekundu imeonyeshwa kuharibu mood, so please jamani.

Anyway ni kweli kuwa mambo mengi wanayafanya sio safi hawa jamaa zetu, ila hili la kutojoin vyombo vya usalama baseless.
 
Mjadala ni Wahindi hawa bother kuiiingia kwenye vyombo vya Usalama.

Mimi nakwambia huwezi kuanza huo mjadala kabla hujajibu swali hili, "wanaosema wahindi hawamo wao wenyewe wamo ? "

Wewe ulikuwa kwenye chombo cha Usalama lini na kipi, wapi ?

Muhindi hawezi kwenda kukufia wewe mwenye asili kama mwenyewe hujaamua kujifia bwana. I guess uliingia ukatoka, ukatokomea mtaa wa Maili Nane, Mji wa Magari. Mhindi katoka Kashmandur kaenda ishi mtaa wa Mindu.

Who is a truer patriot ? Who loves Tanzania more ?

Mr. Mtanzania wa asili, you have no moral courage to answer that question in a million years.

hutaki kujua ungetaka unajua cha kufanya..
 
Manake sio hao wa kiasia tu! utaratibu wa kujiunga na majeshi yenyewe ni mizengwe ya kufa mtu hata wabantu wapo wengi tu ambao wanauwezo wakulitumikia taifa kupitia majeshi lakini kikwazo kikubwa ni utaratibu mzima wa kujiunga na vyombo hivyo.

Utaratibu hauko wazi na hautoi fursa sawa kwa watu kujiunga. Kama hatuta badilisha mfumo na uendeshaji wa vyombo hivyo usitegemee waasia tu bali hata watu wenye sifa na uwezo hawatajiunga na taasisi hizo.

Ni kweli utaratibu wa kujiunga na majeshi yetu umejaa umimi sana. Hauna uwazi. Taratibu ni siri eti.
Kwa mfano ukienda jeshi la polisi wengi au baba au mama ni askari polisi pia.
Siku hizi ni jeshi la familia za mapolisi wenyewe. Anayebisha na aseme.
Sasa hata JWTZ wanaanza kuelekea huko.
Sielewi sana kwa UWT mbali na kwamba enzi zetu walikuwa wana recruit JKT na vyuoni. Siku hizi sijui. Sijui kwa nini hakuna kutuma maombi?:)
 
Unajua kamanda ungekua unaandika kwa herufi za size na rangi ya kawaida ingekua rahisi zaidi kukusoma.
Jamani tufuate etiquette za mtandao, kwenye net ukiweka CAPS au font kubwa inamaanisha kuwa unashout, not to mention rangi nyekundu imeonyeshwa kuharibu mood, so please jamani.

Anyway ni kweli kuwa mambo mengi wanayafanya sio safi hawa jamaa zetu, ila hili la kutojoin vyombo vya usalama baseless.

Sorry kama nimekukwaza lakini ndivyo nilivyo.
 
Hivi wahindi wanafanya asilimia ngapi ya Watanzania wote? Tunaweza kupata solid data au hata educated guesstimates?
 
Mjadala ni Wahindi hawa bother kuiiingia kwenye vyombo vya Usalama.

Mimi nakwambia huwezi kuanza huo mjadala kabla hujajibu swali hili, "wanaosema wahindi hawamo wao wenyewe wamo ? "

Wewe ulikuwa kwenye chombo cha Usalama lini na kipi, wapi ?

Muhindi hawezi kwenda kukufia wewe mwenye asili kama mwenyewe hujaamua kujifia bwana. I guess uliingia ukatoka, ukatokomea mtaa wa Maili Nane, Mji wa Magari. Mhindi katoka Kashmandur kaenda ishi mtaa wa Mindu.

Who is a truer patriot ? Who loves Tanzania more ?

Mr. Mtanzania wa asili, you have no moral courage to answer that question in a million years.

Na wewe mamlaka ya kumwambia mwenzako hawezi kuanza huo mjadala umeyatoa wapi?
 
Hivi wahindi wanafanya asilimia ngapi ya Watanzania wote? Tunaweza kupata solid data au hata educated guesstimates?

Wee vipi wewe? Mbona unakuwa mvivu hivyo wa kusoma? Hili swali lako nimeshaliuliza huko kwenye ukurasa wa kwanza....
 
Wee vipi wewe? Mbona unakuwa mvivu hivyo wa kusoma? Hili swali lako nimeshaliuliza huko kwenye ukurasa wa kwanza....

Si unajua tena "Great minds think alike" :) si rahisi kupitia kila ukurasa muheshimiwa, ila jibu la swali hili linaweza kutoa mwanga.

Like you pointed out in your earlier reply, a one percent minority may not feature in the forces without causing any statistically justified alarm.

On the same reasoning, they may prove overrepresented in the parliament and business circles, but you can't really knock them for that.In business their sprout is due to industriousness (OK, they are corrupt also) and in parliament we elect them.
 
...mwanakijiji nadhani kuna wakati tulikuwa so arrrogant kiasi cha kudhani hawa ndugu zetu wangetumika kijasusi hasa baada ya maasi....baadaye pia hali ya majeshi yetu na utumishi wa umma kwa ujumla ilkuwa duni kimaslahi kiasi cha kushindwa kuwavutia vijana wa race ..nyingine..

kama nchi ya kidemokrasia .....yenye uwakilishi wa dini na mabila yote kila sekta sasa inatakiwa tufanye deliberate effort kuhakikisha ...asilimia moja ya population yetu yenye [wahindi,wazungu ,waarabu]......hapo sijaongelea chotara ambao wanaweza kufika hata asilimia 3%..ya population..kule IRINGA kuna obamas wengi sana [machotara wa kizungu na kiafrika]...kuna wengi walikuwa maafisa jeshini hawa kina MAJ GEN JOHN WALDEN[RIP],MAJ GEN A.J.LOUIS [RIP]....na mdogo wake....SIDHANI kama siku hizi "wazungu" wa iringa bado wanaingia jeshi,hawa niliowataka waliingia enzi za mwalimu.

ndio tuhakikisha kila chombo angalau asilimia 1% inakuuwa ni minority representations.......JWTZ.,POLICE,PRISON,INTELLIGENCE...,HAYA ANGALIA ..walimu,na watumishi wengine wa umma....nadhani kosa ni la serikali..kwani huwa ipo makini sana wakati wa kuandikisha vijana hawa wanaazia kwenye kila wilaya kwa usawa..LAKINI SASA WATUPIE JICHO RACE...

jeshi la marekani hufanya recruitment yao pia kwa kuzingatia race zilizopo marekani..na iwapo wanaona kuna race haina interest na kazi ya jeshi...basi hufanya juhudi mahsusi za kuwatafuta..popote walipo na kuwahubiria juu ya utaifa....hadi wafanikiwe kuwapata...thats why jeshi la marekani lina waarabu,wachina ,wahindi..hispanics..etc according to there DEMOGRAPHIC datas.......

hata mwalimu siku zote aliheshimu hili thats why alikuwa na mawaziri kama derek bryson ...alnur kassam,amir jamal....etc ...nadhani kuna wazungu wazalendo tu...NEXT TIME MUHESHIMIWA KIKWETE ANAWEZA KUMPA UBUNGE RICHARD MABALA.......kawa waziri wa elimu ya juu ....au sio!
 
Kwa upande wa Zanzibar siwezi kulinganisha sana na sisi huku bara, watanzania wenye asili ya Asia kule visiwani wanajiona watanzania/wazanzibar na wako proud. Lakini walioko huku bara, wanaona nchi yetu ni shambani wanachuma tu, wanaenda zao kivulini ni kama mamluki.
Hapa Mwanakijiji naomba kupingana na wewe, sio kwa msingi wa ubaguzi wa rangi wala ukaburu, ni kutokana na tabia zao. niksema zao naomba ieleweke kuwa sio wote. Wapo wachache ambao (alnoor Kassam, shivji likes) ni wa maana sana, alkini wengi michosho. Let us be frank.

kaka THATS THE GOOD SIDE OF UDIKTETA....zanzibar wamshukuru KARUMEsr..Kwani yeye aligundua mapema tabia ya wahindi ya kupenda kujitenga...solution aliyoifikiria ilikuwa kama ya hitler lakini softly kidogo...ALIAGIA RAIA ZAKE WOTE KUWAOA MABINTI WA KIHINDI....kama njia ya kuwafanya wachanganyikane na raia wengine..alilaumiwa sana na serikali ya india na huko india waliandamana ..lakini matunda yake tunayaona..leo hii wahindi wa zanzibar hawana nasaba kabisa na bombay wapo kivyao..msishangae siku moja zanzibar waakawa na RAIS muhindi.......kuna yule waziri wa elimu anatajwa tajwa....angalieni namna mtu kama raza alivyo na uzalendo na zanzibar.....

mara nyingine ukifikiria saana ...kama nchi ikifikia mkwamo ..wa kuinasua inatakiwa mpate kiongozi DIKTETA awaburuze angalau miaka mitano......watu wananyooka ...na kama maendeleo yakipatikana yanakuwa ni ya kasi....lakini pia huwa wanaweza kuwaangusha chini kwa kasi vile vile...it is the game of chance!!!


VILE VILE TO ADD UP ..SIO WAHINDI WOTE WANAWEZA JESHI ..INDIA FIGHTERS WAZURI NI KALASINGA[SING,KAPOUR et al]....KWA wahindi kila jamii wana speciality yao ya kazi.......

msitegemee wahindi ...jamii ya ismailia,hindu ,au bohora ambao ndio wengi hapa kwetu wakajiunga na jeshi..kwani hata india sio wengi wa jamii hii wanaofanya jeshi......ni kama vile usitegemee mhindi jamii ya GOHA akafungua duka ...kwani hawa ni watumishi wazuri sana wa umma[walimu,engneers..in short goha are proffessionals]..........ukiajiri mgoha atafanya kazi vema sana na ni nadra kuwa na tamaa ya kutamani kuanzisha biashara..
 
[SIZE="4
hata mwalimu siku zote aliheshimu hili thats why alikuwa na mawaziri kama derek bryson ...alnur kassam,amir jamal....etc ...nadhani kuna wazungu wazalendo tu...NEXT TIME MUHESHIMIWA KIKWETE ANAWEZA KUMPA UBUNGE RICHARD MABALA.......kawa waziri wa elimu ya juu ....au sio![/SIZE]

PM.. kati ya wote ni wewe pekee umeweza kujua nimeuliza kitu gani. Umenipa mwanga kwani nilikuwa namkumbua Gen Walden (Mamba something)... watu wakishatoka kwenye suala la rangi na hofu zetu wataoana kuwa kama Taifa we will gain tukiweza kuwahusisha raia wote katika ulinzi wa nchi yetu.
 
Hakuna kitu kinachoonesha utii wa mtu kwa nchi yake kama utayari wake kufa kwa ajili ya nchi hiyo. Ni kipimo cha juu kabisa cha mapenzi ya mtu kwa nchi yake. Lakini pia kuitumikia nchi katika nafasi mbalimbali kunaonesha jinsi gani mtu anavyolipenda Taifa lake.

Mojawapo ya vitu ambavyo havionekani sana katika Taifa letu ni Watanzania wenzetu wenye asili ya Asia (wahindi, Waarabu, n.k) kujiunga na vyombo vyetu vya usalama hasa majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama.

Nikikumbuka vizuri baada ya uasi mwaka 1964 ni maafisa wachache wa kizungu ambao waliendelea na jeshi na ni mmoja ambaye aliendelea kuitumikia kwa muda mrefu tu. Sifahamu sasa hivi kama kuna maafisa wowote wa JWTZ ambao aidha wana asili ya Uhindi au Uarabuni.

Kwa upande wa Polisi kumekuwepo na maafisa kadhaa wa Kihindi na wenye asili ya Uarabuni lakini nadhani sasa hivi wengi watakuwa wameshastaafu. Nafahamu wapo vijana wachache ambao waliingia huko (namkumbuka Bi. Khadija K. binti wa kiarabu aliyejiunga toka Tanga) na pia Insp. Khan ambao at the time nilikuwa nashangaa kweli kuwaona kwenye jeshi letu.

Hata kwenye taasisi nyingine (ukiondoa za Kitaaluma) bado jamii hii ya Watanzania inakosekana sana. Sijui idadi yao kwenye TRA, Public service n.k

Kwa upande wa Magereza ndiyo sijui kabisa kama kuna watanzania wenye asili ya nje ya bara letu ambao wanaitumikia nchi yao hivyo. Wakati ambao nakumbuka tuliweza kuwaona Wahindi na Waarabu wengi ni wakati wa JKT ule. Sijui katika JKT hiii ya kujitolea inakuwaje.

BIla ya shaka unajiuliza "what is the point". Point yangu ni kuwa inaonekana aidha kwa makusudi au by default mchango wa Watanzania hawa unataka kuishia kwenye siasa na biashara au sekta binafsi na siyo kwenye utumishi wa umma.

Nakabiliwa na maswali machache:

a. Kwanini Watanzania wenye asili ya Uhindi au Uarabuni hawaingii kwenye vikosi vya usalama? Zamani nakumbuka tulikuwa tunawatania kuwa wao ni "watoto mayai" hawawezi kazi za shurba lakini nikagundua kuwa hata kule Uhindi na Uarabuni kuna majeshi na POlisi na wao wanapewa mafunzo ya kijeshi na kuhenyeka kama sisi. Hivyo suala la "umayai" halipo.

b. Ni juhudi gani zinafanyika kurecruit Watanzania hawa hasa kutokana na ujuzi wao wa mambo ya biashara, utaalamu wa IT, n.k n.k na hivyo kuleta vipaji ambavyo vinahitajika sana kwenye vyombo vyetu hivi?

c. NI kwa kiasi gani familia za ndugu zetu hawa zinawa encourage watoto wao kuitumikia nchi yao kwa zaidi ya siasa na biashara na kuingia kwenye utumishi wa umma. Watakuwa wanaendelea kutoa misaada tu mpaka lini.
Msiende mabli sio siku nyingi zilizopita hapa Tz alibahatika msichana wa kiasia kuchukuwa ushindi wa miss wengi wenu mkaanza mane kuwa huyu hivi na vile bado mna matatizo na mumegubikwa na giza la siasa za ujamaa na kujitegemea na fikra zake itachukuwa muda kwa tz
 
PM.. kati ya wote ni wewe pekee umeweza kujua nimeuliza kitu gani. Umenipa mwanga kwani nilikuwa namkumbua Gen Walden (Mamba something)... watu wakishatoka kwenye suala la rangi na hofu zetu wataoana kuwa kama Taifa we will gain tukiweza kuwahusisha raia wote katika ulinzi wa nchi yetu.

mjj ...binafsi ningekuwa na uwezo ningeifanya tanzania iwe rainbow nation by demographic ratios as much as i could........siku hizi dunia ni moja.........

hata makampuni makubwa duniani yanayofanikiwa ili ku diversify mawazo ya uendeshaji yanakuwa na watu wa kila aina kwenye management...zao..hii hujenga imani kwa watu mbali mbali.....

kwa mfano sintaona tatizo ...kama waziri wa kilimo akiwa mzungu ili aweze kuvutia wakulima wakubwa ...ambao mimi najuwa hawa ndio tiba pekee ya tatizo la njaa..na kukosa mazaao ya biashara kuuza nje....au kuwa na mzungu waziri wa fedha[mtanzania]......angalieni south africa pamoja na ujanja wao wote..weusi pale wizara ya fedha ...hawataki kumnyanganya TREVOR EMMANUEL...Kwani wanaamini anavutia uhusiano na wawekezaji wa ndani na nje...hatu juzi alipoingia KIGLEMA MOTHLANTHE...trevor alitaka kujitoa serikalini lakini ilibidi ZUMMA personally akamuombe abakie...,na kwa kifupi anayeendesha uchumi wa south africa ni TREVOR ...kina zumna wanapiga siasa tu.......

..we need to reach out to diferent ideas to run gov......

NANI HAPA ANAWEZA KUHOJI UZALENDO WA DR leader STERLIN r.i.p......HUYU alikuwa waziri wa afya aliyeweka misingi imara ya wizara hii..haipingiki..uliza daktari yoyote,...je tumekuwa wabaguzi ...nani anajuwa kuwa huyu alishakufa??....ni nani pale wizara ya afya anayemuenzi ..ANGALAU HATA KUITA WARD MOJA YA HOSPITALI .....ie...DR LEADER STERLIN MATERNITY BLOCK...............

pia ongea na wazee wa kinondoni uwauilize kati ya wabunge ambao wamepata kuwa nao pale ...nani anamfikia DEREK BRYSON???....ni mzungu huyo R.I.P....juzi wamebatiza barabara...je wamempa hata moja!!!!!????

MANI hapa anahoji uzalendo wa MUSTAPHA SABODO..au uzalendo wa ISSA SHIVJI au MABALA...???

nadhani bado tunao monority race population ..wanaoipenda nchi hii..watumike..???....rudini kwenye wazo la mwalimu kwenye AZIMIO LA KURA TATU......
 
Wana JF Salaam!

Imenipita muda hapa lakini nitajaribu kurukia hii.

Mzee MM,

c. NI kwa kiasi gani familia za ndugu zetu hawa zinawa encourage watoto wao kuitumikia nchi yao kwa zaidi ya siasa na biashara na kuingia kwenye utumishi wa umma. Watakuwa wanaendelea kutoa misaada tu mpaka lini.

Ntajibu kiunagaubaga...

Nimesoma na wahindi ...wengi wao wamekuwa/waliendeleza biashara za wazazi wao. Sikumbuki wakati wowote ule niliosoma nao wakizungumzia Tanzania-bali UK-London, Zambia, Canada n.k Sikumbuki any of them kwenda au kutaka kuwepo kwenye utumishi wa umma.

Misaada walitoa kweli-Nakumbuka mmoja S.V Ladwa, huyo jamaa alinibugudhi nilijaribu kumsii asinichokozechokoze lakini ali persist, nilimwasha kibao-baada ya hapo ni cheuro kila siku, BiG G, mabungo ndio usiseme-toka kipindi hicho ndio ilivyokuwa...kibao-msaada!

Anyways the change movement is yet to sweep our continent, and I just hope some of these changes will have S.V Ladwa controling Traffic at salender.

Asante.
 
Tatizo haliko kwetu bali liko kwa hawa ndugu zetu wenye asili ya kiasia. Kwanza walio wengi hawakubali kutumikishwa kwa kujiona wao ni bora kuliko sisi. Wanafanya mambo yao kwa kujitenga kama vile kuwa na misikiti yao, umoja wao wa biashara katika kupeana mikopo na dili za biashara, kuwa na mdisco yao nk. Na zaidi ya hapo hawakubali kwamba wao wako chini ya sheria za nchi na kama watabanwa na sheria basi wako tayari kununua haki. Je tangu lini ukamwona muhindi gerezani?, unafikiri hawashikwi na makosa?. Pili, kiukweli kabisa hawana uzalendo wa kweli na Tanzania kwani bado wana-uhindi ndani yao na wanaamini kwamba wako Tanzania kwa ajili ya kuchuma mali kadri wawezavyo.

Kwa kifupi sishangai kabisa kutowaona katika vyombo hivyo ulivitaja kwa sababu wao si watanzania.
 
Wahindi hawana nchi maana yake nini?

Wahindi wangapi hao wanaofungasha virago wakati wa Uchaguzi? Unaweza kutupatia statistics za wahindi waishio Kenya na wangapi kati yao hukimbia wakati wa Uchaguzi?

Kukimbia kwao wakati wa machafuko hayo yana justify vipi na hii subject matter? Ungekuwa wewe ungefanyaje wakati wa machafuko hayo?

Hata hapo bongo wakati wa uchaguzi hususan ule wa 1995 waliingia hapo kwa baba Moi fasta fasta.
 
Back
Top Bottom