#COVID19 Watanzania waanza kujiachia na Chanjo ya COVID 19 kwenye nchi za watu

Kuna kipindi kukataa chanjo ilikuwa kana umepewa tiketi na visa ya kwenda mbinguni🤣🤸🐒
Binafsi suala la chanjo halinishughulishi hata kidogo sijawahi kupinga wala kuhitaji, iwepo au isiwepo sio issue kwangu. Anayehitaji chanjo adungwe apige picha watu waone na asiyehitaji nae ni uamuzi wake basi ni hivyo tu.
 
Aliyekuwa Mgombea Urais wa TFF Aliyeenguliwa kwa fitna , Oscar Oscar na Rafiki yake ambaye sikumtambua jina lake wametangaza hadharani kwamba wamepata chanjo ya corona nchini Marekani, watu hao wawili ni raia wa Tanzania nchi ambayo miezi michache iliyopita iliamini kwamba virusi vya corona vinaisha kwa kupiga nyungu .

Kwangu haya ni maendeleo makubwa sana!

Hivi hawa jamaa ni mashoga au? nauliza kwa sababu Kitenge anabana sana pua akiongea na anapenda kuvaa vijisuruali za kubana pumbu kama vile hazitaki pumbu zake. Huyu Oscar akiongea wala simuelewagi hata na ndiyo maana nauliza kama hawa jamaa ni mashoga.
 
Aliyekuwa Mgombea Urais wa TFF Aliyeenguliwa kwa fitna , Oscar Oscar na Rafiki yake ambaye sikumtambua jina lake wametangaza hadharani kwamba wamepata chanjo ya corona nchini Marekani, watu hao wawili ni raia wa Tanzania nchi ambayo miezi michache iliyopita iliamini kwamba virusi vya corona vinaisha kwa kupiga nyungu .

Kwangu haya ni maendeleo makubwa sana!

Hizi ni propaganda za mabeberu na madalali wa chanjo nchini, hao wamelipwa na hilo ni tangazo la biashara; tulishasema na tunarudia, hatuna pesa za mchezo na hizo sumu hatuchomi!
 
Mwili wangu ni hekalu la Holy Ghost hautachezewa kwa chanjo ya corona yenye agenda ya ushwetwani mwingi mno. Wambie hawa mabwana ulimbukeni huu wa kupiga picha USA hakuanza awamu hii umejirudia tu.
Huendi popote nje ya Tz kwanini ujidunge
 
Pole kwenu mliyofanya hizo chanjo kama fashion, mie sihitaji pole kwa sababu si mtu wa fashion iwepo au isiwepo hiyo chanjo si tatizo kwangu sababu sihitaji kupiga picha kuonesha watu kwamba nimedungwa teyari.
Hao wamelipwa na madalali wa chanjo bongo, ni kama brand ambassador na hilo ni tangazo la biashara, kwani unashindwa kujua hilo kweli?! Wanataka kutuingiza kingi kwa vijisenti vidogo sana hawa mbuzi
 
Aliyekuwa Mgombea Urais wa TFF Aliyeenguliwa kwa fitna , Oscar Oscar na Rafiki yake ambaye sikumtambua jina lake wametangaza hadharani kwamba wamepata chanjo ya corona nchini Marekani, watu hao wawili ni raia wa Tanzania nchi ambayo miezi michache iliyopita iliamini kwamba virusi vya corona vinaisha kwa kupiga nyungu .

Kwangu haya ni maendeleo makubwa sana!

Huyu mwenye t-shirt nyekundu si Maulid Kitenge huyu? Duh, raia wameshapiga mambo teyari?
 
Hii ndio Tanzania yetu, na walivyokua wakimtukuza marehemu hata wakipewa habari ya corona hawaamini na wanakua wakali na ubishi juu....tulia tu mkuu, wataikubali tuu...ningependa wakatembelee zaidi Hospital za serikali wakajionee wagonjwa wa corona na wengine hufariki.
Hatari
 
Back
Top Bottom