Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,641
- 218,091
Aliyekuwa Mgombea Urais wa TFF Aliyeenguliwa kwa fitna , Oscar Oscar na Rafiki yake ambaye sikumtambua jina lake wametangaza hadharani kwamba wamepata chanjo ya corona nchini Marekani, watu hao wawili ni raia wa Tanzania nchi ambayo miezi michache iliyopita iliamini kwamba virusi vya corona vinaisha kwa kupiga nyungu .
Kwangu haya ni maendeleo makubwa sana!
Kwangu haya ni maendeleo makubwa sana!