Watanzania wa kwenye mitandao, ombeni msaada kwa Wakenya namna ya kupambana na mabeberu. Mnatia huruma

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,757
48,403
Kawaida mabeberu na vyombo vyao kama CNN wakijikanganya na kuingia kwenye kumi na nane za Wakenya, huwa wanakiona cha moto na kutengua kauli zao. Naona Marekani wameanza shughuli dhidi ya Watz kwa kusindika kura kwenye uchaguzi uliopita, ila sasa mataga wanajibu bila mikakati.

Ombeni msaada kutoka kwa Wakenya wa kwenye mitandao muone itakavyowaka moto na ndani ya masaa machache Marekani watawaomba msamaha, ila mkiendelea wenyewe hivi mnajiabisha maana mtapuuzwa tu.

Poleni bandugu ila hiyo issue ya uchaguzi naona kama haitawatoka hivi hivi tu, japo nakosa kuwaelewa Marekani mbona hawajasema vya Uganda ambapo demokrasia imebakwa mchana kweupe.

2670892_59548241-158E-4D33-92EC-C088798C7252.jpeg



2671008_Screenshot_20210119-194346.jpg
 
SecPompeo is a crooked person with a twisted mind like his boss D.Trump!

How about Trump not wanting a legit president take his seat in the oval office?

Is that even democratic?

Is that not interfering with a democrat process in a country arguably known as the father of democracy?
 
Soma historia ya Tanzania vs Kenya ujue taifa gani limekuwa likipambana na Mabeberu na lipi limekuwa likilamba matak* ya beberu.

Elekeza huu mzuka kwa huyo Pompeo...hehehe nyie kwenye haya mavitu huwa mnatia aibu sana.
Nakumbuka kuna siku mliulizwa namna mumetumia ule msaada wa hela za Corona mkaanza kubwatuka mara sijui eti mlipigana Kagera sijui Uganda mara Comoros mara mliikomboa Afrika...
 
Elekeza huu mzuka kwa huyo Pompeo...hehehe nyie kwenye haya mavitu huwa mnatia aibu sana.
Nakumbuka kuna siku mliulizwa namna mumetumia ule msaada wa hela za Corona mkaanza kubwatuka mara sijui eti mlipigana Kagera sijui Uganda mara Comoros mara mliikomboa Afrika...
Kuanzia kesho Pompeo atakuwa nobody. Tatizo kumbukumbu zako zimejaa changamoto zetu tu lakini siyo matokeo.
Kwa jinsi ule uchaguzi ulivyoenda ni jambo la kushangaza kwa US kutoa adhabu ndogo kama hiyo, tena hawataki kutoa majina. Jiulize kwanini.
 
Mk254 unasikitisha sana. Unafikiri Tanzania inashindana kwa maneno? Hivi Kenya mna nini chenu nyie? Vibaraka wakubwa nyie. Hamna mnachomiliki.

Sisi tumejikita kuinua uchumi nyie endeleeni kupiga domo mitandaoni. Njooni muombe msaada wa chakula kwetu.
 
Nchi iliyouzwa kwa mabeberu haiwezi kuisaidia Taifa lenye nguvu, makini na lenye umoja kama Tanzania.

Dunia inajua Tanzania ni Taifa with dignity, si kibaraka kama mlivyo nyie.

Nyie mnatumika na mabeberu katika kutimiza malengo yao.

By the way, huyo Pompeo ni oval office pumpkin. No one is taking him seriously.
 
SecPompeo is a crooked person with a twisted mind like his boss D.Trump!

How about Trump not wanting a legit president take his seat in the oval office?

Is that even democratic?

Is that not interfering with a democrat process in a country arguably known as the father of democracy?
The issue here is, did we have a transparent and fair election?
 
Kawaida mabeberu na vyombo vyao kama CNN wakijikanganya na kuingia kwenye kumi na nane za Wakenya, huwa wanakiona cha moto na kutengua kauli zao. Naona Marekani wameanza shughuli dhidi ya Watz kwa kusindika kura kwenye uchaguzi uliopita, ila sasa mataga wanajibu bila mikakati.

Ombeni msaada kutoka kwa Wakenya wa kwenye mitandao muone itakavyowaka moto na ndani ya masaa machache Marekani watawaomba msamaha, ila mkiendelea wenyewe hivi mnajiabisha maana mtapuuzwa tu.

Poleni bandugu ila hiyo issue ya uchaguzi naona kama haitawatoka hivi hivi tu, japo nakosa kuwaelewa Marekani mbona hawajasema vya Uganda ambapo demokrasia imebakwa mchana kweupe.

2670892_59548241-158E-4D33-92EC-C088798C7252.jpeg



2671008_Screenshot_20210119-194346.jpg
MK254 mwelezeni Pompeo kilichowapata mlipojaribu kuijaribu Tanzania 😂😂😂😂
 
Kha! Tuogope aibu ya kiingereza!!? Kwani yeye anajua kiswahili? Anaogopa aibu ya kutojua kiswahili?

Hehehe yeye Kiswahili haitokuja hata siku moja akitumie, hata kwa salamu...ila nyie lazima mjitutumue kuongea lugha yake maana kwenu huko hata kiwanda cha sindano hamna, mnaagiza nje, yaani kila kitu iwe silaha ni za kwao, mifumo ya mawasiliano hata simu inayotumika ikulu vya kwao, mifumo ya usafiri hata mindege na madaladala vya kwao hamna chochote cha kwenu hivyo jeuri ya kutunisha misuli
hamuna.
Hata madini na gesi ni wao wanachuma, nyie mnapanda mihogo tu...

Na muandae sentensi zinazoeleweka wakati mtamjibu, msilipuke lipuke na kufyatuka....
 
I beleive democracy can exist and it is the best system. BUT this democracy that America and Europe are preaching is a load of bullshit.
Uganda wana puppet wao ndomâana wameikalia kimya, Tz puppet wao ni TAL ndomaana wanashupaza shingo, watafanya chochote ili subsaharan Africa isi Industrialize na kuendelea ili tuendelee kuwauzia raw materials at a cheap price.

Ndiyo mana Magufuli kahubiri viwanda wameharibu uchumi. Kikwete aliyehubiri kilimo uchumi ulikuwa bwerere
Tatizo waafrika hata hatumjui adui yetu na mipango yake.

Adui wa kwanza ni IMF,WTO,WB,EU na CCP
 
battle ya mtandaoni wanafanya wapuuzi,watu makini wanafanya battle halisi kwa ground.

nyinyi hata hizo kelele huwa mnapiga ili muonekane mumeelewa sana kiingereza cha mhusika,ila kiuhalisia hamko kupambana naye

sasa kaa uone vile anapuuzwa.ndio utajua hatuna habari na maneno ya khanga sisi.
 
Back
Top Bottom