cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Ukataji wa miti ni uharibifu wa mazingira na wala uhitaji rocket science kuelewaAisee!
Kweli nchi hii tuna wavivu na vilaza wanaoendeshwa na upepo wowote ili mradi wajipe furaha ya dharura
Ukataji wa miti ni uharibifu wa mazingira na wala uhitaji rocket science kuelewaAisee!
Kweli nchi hii tuna wavivu na vilaza wanaoendeshwa na upepo wowote ili mradi wajipe furaha ya dharura
Hiyo milioni nne uliihesabu au unadahania tu?Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.
Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.
TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.
Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.
Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?
Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.
Je, hatukua na option nyingine?
Inasikitisha sana.
Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.
RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
Uchimbaji wa gesi makadirio yake yalikuwa ni kwa miaka 30 hadi 40. Je baada ya hapo umeshajiuliza tungepata wapi source nyingine ya umeme?Umeme wa maji ni outdated mzee watu wanatumia alternative source of energy zisizochafua mazingira Sasa mtu anakata miti ma milion bila kufikiria hyo huleta rain formation, Matokeo yake na bwawa halitajaa kwa ukosefu wa mvua na ndio maana Dar kulikuwa na mgao wa maji
Hivi hamjajua tu kwamba kwa kumsimanga mwenda zake ndio kwaza mnazidi kupotea njia,unaona faida ya miti tu lakini huoni faida ya umeme utakao patikana hapo,tunaujua hamuwezi kuacha kumalizia bwawa kinacho wasumbua Ni performance ya mwenda zake Kila mnapojipima mnakuta mnapwaya mnachanganyikiwa ndugu zangu pumzikeni tu kigezo na rekodi ya mwendazake haitabadirishwa mnapaswa kuibunja sio kuikana.Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.
Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.
TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.
Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.
Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?
Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.
Je, hatukua na option nyingine?
Inasikitisha sana.
Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.
RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
Hivi wewe si ndie ulie okota kunguru Jana? Nilikuwa na mashaka Sana Ila sasa Sina Shaka kabisa!Umeme wa maji ni outdated mzee watu wanatumia alternative source of energy zisizochafua mazingira Sasa mtu anakata miti ma milion bila kufikiria hyo huleta rain formation, Matokeo yake na bwawa halitajaa kwa ukosefu wa mvua na ndio maana Dar kulikuwa na mgao wa maji
Sijawahi okota kunguru nadhani umechaganya madesa yakoHivi wewe si ndie ulie okota kunguru Jana? Nilikuwa na mashaka Sana Ila sasa Sina Shaka kabisa!
Source ziko nyingi hata za wind, solar na nyinginezo nyingi tu, why depend one source of energy tena zama hizi za mabadiliko ya nchiUchimbaji wa gesi makadirio yake yalikuwa ni kwa miaka 30 hadi 40. Je baada ya hapo umeshajiuliza tungepata wapi source nyingine ya umeme?
View attachment 2019506
Ulishafika hapo JNHPP ukaona eneo ambalo limekatwa miti? Mbona ni eneo dogo sana hata kata 1 ya Dar haivuki achana na maneno ya kisiasa na ya wanaharakatiBaba Joseph mwenye miaka 17, swali langu la msingi liko pale pale.. Kwavile miti inakatwa kila kukicha kwa shughuli za kibinadamu ndo serikali ikaamua ku-top up kwa kukata miti zaidi?
Kuna mdau ameuliza sehemu, plan yenu kama serikali ni ipi ya at-least kupanda nusu ya miti mliyokata?
Usiwe poyoyo na wewe kwa kushadadia akili za mabeberu. Ngoja nikueleze: Mabeberu (US, EU, Israeli, Canada, Australia) wamesababisha political instability na kuwezesha mauaji ya Wakongo zaidi ya milioni 6 ili kufanikisha azma yao ya uporaji wa rasilimali nchini DRC. Hebu tuambie, ni wapi mabebebru hao wamepigia kelele mauaji hayo? Wewe mwenyewe ni lini umefanya hivyo? Kipi bora kati ya uhai wa mwanadamu na miti? Mnaudhi sana!Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.
Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.
TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.
Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.
Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?
Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.
Je, hatukua na option nyingine?
Inasikitisha sana.
Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.
RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
Kwamba Nyerere aliacha mradi sababu ya mazingira? Nenda kwenye uzi wa kula tunda kule ndio size yakoKweli alikuwa na maono ya kutofata taarifa za wataalamu wa mazingira wa kina Nyerere walioacha huo mradi Hadi Kikwete hawakuwa na maono eeeh
Na kama pia ulikuwa hujui kipindi cha Magufuli ndo miti ilipandwa kwa wingi kila mkoa... umesahau sera ya jiti milioni 1 kila mkoa ambapo ni sawa na miyi milioni 26 kwa mikoa 26 tu sasa hiyo iliyobaki malizia mwenyewe... Acha upotoshaji.Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.
Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.
TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.
Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.
Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?
Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.
Je, hatukua na option nyingine?
Inasikitisha sana.
Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.
RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
wewe ndio hauna akili ndugu yangu aliyekupatia uhuru na kukusisitiza utumie lugha ya kiswahili na kujenga viwanda kila kona ndio mwenye akili kuliko wewe huyo ndio aliyechora ramani ya huo mradi nenda kazungumze naye ahela.Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.
Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.
TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.
Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.
Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?
Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.
Je, hatukua na option nyingine?
Inasikitisha sana.
Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.
RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
Cubic meter million 2 ni sawa na miti million 2 eti?Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.
Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.
TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.
Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.
Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?
Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.
Je, hatukua na option nyingine?
Inasikitisha sana.
Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.
RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
Cubic meter million 2 ni sawa na miti million 2 eti?
Acheni kutumalizia bundle kwa utopolo wa namna hii