Unakataje miti milioni 4 ili kujenga la umeme (JNHPP)

Aisee!
Kweli nchi hii tuna wavivu na vilaza wanaoendeshwa na upepo wowote ili mradi wajipe furaha ya dharura
Ukataji wa miti ni uharibifu wa mazingira na wala uhitaji rocket science kuelewa
 
Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.

Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.

TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.

Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.

Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?

Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.

Je, hatukua na option nyingine?

Inasikitisha sana.

Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.

RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
Hiyo milioni nne uliihesabu au unadahania tu?
 
Umeme wa maji ni outdated mzee watu wanatumia alternative source of energy zisizochafua mazingira Sasa mtu anakata miti ma milion bila kufikiria hyo huleta rain formation, Matokeo yake na bwawa halitajaa kwa ukosefu wa mvua na ndio maana Dar kulikuwa na mgao wa maji
Uchimbaji wa gesi makadirio yake yalikuwa ni kwa miaka 30 hadi 40. Je baada ya hapo umeshajiuliza tungepata wapi source nyingine ya umeme?
Screenshot_20211122_112555.jpg
 
Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.

Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.

TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.

Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.

Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?

Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.

Je, hatukua na option nyingine?

Inasikitisha sana.

Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.

RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
Hivi hamjajua tu kwamba kwa kumsimanga mwenda zake ndio kwaza mnazidi kupotea njia,unaona faida ya miti tu lakini huoni faida ya umeme utakao patikana hapo,tunaujua hamuwezi kuacha kumalizia bwawa kinacho wasumbua Ni performance ya mwenda zake Kila mnapojipima mnakuta mnapwaya mnachanganyikiwa ndugu zangu pumzikeni tu kigezo na rekodi ya mwendazake haitabadirishwa mnapaswa kuibunja sio kuikana.
 
Umeme wa maji ni outdated mzee watu wanatumia alternative source of energy zisizochafua mazingira Sasa mtu anakata miti ma milion bila kufikiria hyo huleta rain formation, Matokeo yake na bwawa halitajaa kwa ukosefu wa mvua na ndio maana Dar kulikuwa na mgao wa maji
Hivi wewe si ndie ulie okota kunguru Jana? Nilikuwa na mashaka Sana Ila sasa Sina Shaka kabisa!
 
Baba Joseph mwenye miaka 17, swali langu la msingi liko pale pale.. Kwavile miti inakatwa kila kukicha kwa shughuli za kibinadamu ndo serikali ikaamua ku-top up kwa kukata miti zaidi?
Kuna mdau ameuliza sehemu, plan yenu kama serikali ni ipi ya at-least kupanda nusu ya miti mliyokata?
Ulishafika hapo JNHPP ukaona eneo ambalo limekatwa miti? Mbona ni eneo dogo sana hata kata 1 ya Dar haivuki achana na maneno ya kisiasa na ya wanaharakati
 
Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.

Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.

TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.

Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.

Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?

Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.

Je, hatukua na option nyingine?

Inasikitisha sana.

Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.

RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
Usiwe poyoyo na wewe kwa kushadadia akili za mabeberu. Ngoja nikueleze: Mabeberu (US, EU, Israeli, Canada, Australia) wamesababisha political instability na kuwezesha mauaji ya Wakongo zaidi ya milioni 6 ili kufanikisha azma yao ya uporaji wa rasilimali nchini DRC. Hebu tuambie, ni wapi mabebebru hao wamepigia kelele mauaji hayo? Wewe mwenyewe ni lini umefanya hivyo? Kipi bora kati ya uhai wa mwanadamu na miti? Mnaudhi sana!
 
Eneo litalotumika kwa mradi ni kilometa za mraba 1350

Ukubwa wa mkoa wa Dar es Salaam ni kilometa za mraba 1590.

Tukirudi kwenye mada, nina maswali makubwa mawili

1. Je faida za mradi ni ndogo kuliko kuliko faida za kubaki na pori?

2. Ekolojia ya Tanzania itaathirika kwa ajili tu ya kukata eneo la kilometa 1350 kwa nchi ambayo ina kilometa za mraba 33500 za misitu ambayo ni sawa na hecta million 33.5?

3. Kuna stadi za athari kwa mazingira (assessment) zilifanyika kabla ya kutekeleza mradi huu?

4. Ipi namna bora ya matumizi ya rasilimali zetu? Ni lazima mataifa mengine yakubaliane nasi ndio tufanye jambo?
 
Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.

Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.

TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.

Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.

Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?

Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.

Je, hatukua na option nyingine?

Inasikitisha sana.

Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.

RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
Na kama pia ulikuwa hujui kipindi cha Magufuli ndo miti ilipandwa kwa wingi kila mkoa... umesahau sera ya jiti milioni 1 kila mkoa ambapo ni sawa na miyi milioni 26 kwa mikoa 26 tu sasa hiyo iliyobaki malizia mwenyewe... Acha upotoshaji.
 
Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.

Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.

TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.

Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.

Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?

Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.

Je, hatukua na option nyingine?

Inasikitisha sana.

Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.

RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
wewe ndio hauna akili ndugu yangu aliyekupatia uhuru na kukusisitiza utumie lugha ya kiswahili na kujenga viwanda kila kona ndio mwenye akili kuliko wewe huyo ndio aliyechora ramani ya huo mradi nenda kazungumze naye ahela.
 
Leo nilipata wasaha wa kupitia answered za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi.

Mradi wa JNHPP haukuangalia athari za mazingira leo unaona mvua zinasumbua, joto linaongezeka, ukame unanyemelea maeneo ya kusini mwa Tanzania, maeneo ambayo hayajawahi kuwa na ukame.

TFS walitangaza tenda ya kukata miti cubic metre milion 2 bila tathimini ya athari ya mazingira. Wabunge waliotoa maoni kama ya Nappe waliitwa vibaraka wa mabeberu.

Watu ambao hawajui cubic metre hapo ni nini ngoja niwape Shule. Kwa kawaida kutokana na range za miti cubic metre 1 inaweza kuwa na wastani wa miti 2 hadi mi 3 hii ni sababu miti ina kuwa na ukubwa tofauti tofauti. Ni miti michache sana ambayo unaweza kupata cubic metre 1 kwa mti mmoja.

Kwaio kimsingi miti iliyokatwa ili kutengeneza bwawa la JNHPP ni wastani wa miti milion 4 hadi milion 6. Ukubwa na eneo sawa na mkoa mzima wa Dar es Salaam. Swali tulikua wapi hadi tukaruhusu mradi huu?

Wizara ya mazingira na wizara ya misitu sijaona replacing plan ya angalau miti milion 1. Nawakumbusha watanzania kuna mambo hayahitaji siasa.

Je, hatukua na option nyingine?

Inasikitisha sana.

Rais Samia anabeba mzigo wa kusahihisha makosa yaliyofanywa awamu iliyopita.

RAIS SAMIA
KAZI IENDELEE
Cubic meter million 2 ni sawa na miti million 2 eti?

Acheni kutumalizia bundle kwa utopolo wa namna hii
 
Zilipatikana bilioni au Trillioni ngapi kutoka hiyo miti iliyovunwa?
 
Hivi huyu kijana mtoa mada amesoma kweli? Anasema iliyokuwa selous game reserve sasa hivi Mwl Nyerere national park na Nyerere Hydro combined ilikuwa na miti milioni nne ambayo ilikatwa na ina usawa na mkoa wa Dar essalaam/ kwanza kile kitendo cha kupasisha game reserve kuwa national park ni cha kupongezwa . Mwaka 1984 wakati nasoma Austria chuo cha utalii mwalimu wetu wa tourism na heritage mgt alizungumzia selous game reserve na alikuwa anashangaa kwa nini hatukupasisha iwe national park kuna faida nyingi hapo tulizokuwa tunakosa kuiacha kuwa game reserve. Sasa suala la kukata miti ni lipi bora kukata miti official inayojulikana kama vile kukata miti ya Mufindi kwa ajili ya karatasi au kule Olmotonyi kwa ajili ya mbao au kukata miti ovyo unofficial kwa ajili ya mkaa. Serikali inao watu waliosoma wanajua mipango ya kufidia miti wanayokata. Tuache siasa za chuki kama huyo mtoa mada kwa sababu ya kukosa cheo cha uwaziri Mungu atawaadhibu.
 
Tujiulize hivi magogo mangapi yameuzwa nje ya nchi kwa magendo na hao vigogo wetu sembuse miti milioni nne? Jeee Meno ya tembo wa hapo hapo selous magapi tena kwa makontena yaliyouzwa nje mpaka tembo wakakimbilia Msumbiji kujificha. Tembo walianza kurudi baaa ya JPM kuingia madarakani nani anabisha?
 
Yule mnyamulenge alihakikisha anaharibu kila kitu kabla hajapata hifadhi kaburini
 
Back
Top Bottom